Leo saa saba kamili timu chadema itatua kinampanda hivi sasa shamramra zaendelea kuusubiri ugeni mzito bendera zapepea juu ya mzambarau tutakuwa tunawaletea habari kwani tuko ndani ya kinampanda
kinampanda ndio wapi huko!?
Pamoja sana Kamanda.Tupe Live bila chenga.
Singida MH,
Kumbuka Atlasi ya shule ya msingi.
Kule Chadema watakula za uso tu,, Iramba hawataki vyama vinavyochochea vurugu na uvunjifu wa amani. wamezoea kuishi kwa upendo