assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
- Thread starter
- #201
mkuu...dk wamemuonea sana...wamemkatalia kuchukua form alafu wanasema kesho wanaenda kukaa kikao cha kupitisha mgombea mmoja..amakweli hiki ni chama cha demoghasia na malumbano
alimfanyia ubaya zito haya sasa