Dr. Slaa: Natishwa

Dr. Slaa: Natishwa

Mnashangaa nini? Chadema waliwahi kumpiga mlinzi wa Dr Slaa, hivi karibuni.
Haya mnamkumbuka Chacha Wangwe?
Mbowe ni muuaji mzuri tu.
 
Ukweli Wa mambo anaujua dr slaa mwenyewe mi nadhani reliable source ni yy mwenyewe tusubiri pale atakapoamua kutoka maelezo namheshimu sana Dr kafanya kazi nzuri sana na siamini kama kweli unaweza kuondoka CHADEMA japo kwenye siasa lolote lawezekana binafsi namkubali sana kuliko MTU yeyote ndani ya chama ikitokea ataondoka mm ataniacha pale pale
 
yaani wewe sijui mwanamke wa kabila gani hii mihemuko yako imemzidi anaepungwa... Tanzania nchi yenye matahira wa kila fani
 
Dk amesema anatishwa yeye na familia yake. Akielezea amezidi kusema kama ni mapenzi ya mungu yatimizwe mimi sitang"ang'ania.

Chanzo: Rfa magazeti/RAIA TANZANIA.
Natoa wito kawa jeshi la polisi wampe ulinzi Dr.Slaa kwenye hiki kipindi kigumu yeye na familia yake.
 
Dr.Slaa lazima ajue umuhimu wa kuigawa CCM.Na ujio wa Lowassa ni faida zaidi kwa chama na mageuzi.....Lowassa ameshajiandaa wakati naona Dr alikuwa bado.

Ukumbuke yule anamuogopa mungu unafiki hautaki
 
Slaa akitoka na wengine wanaingia. Kama ana ugomvi wa kugombania wamama na Lowassa asiulete kwenye mambo muhimu ya Chama. Hii ni roho chafu ya kisasi. Ina maana alimwekea Lowassa kisasi cha nini hadi hataki aingie CDM. Yeye naye alikuwa CCM mbona alikaribishwa? Haka kazee kasituletee tabia ya ubinafsi hapa!!!!
 
Slaa akitoka na wengine wanaingia. Kama ana ugomvi wa kugombania wamama na Lowassa asiulete kwenye mambo muhimu ya Chama. Hii ni roho chafu ya kisasi. Ina maana alimwekea Lowassa kisasi cha nini hadi hataki aingie CDM. Yeye naye alikuwa CCM mbona alikaribishwa? Haka kazee kasituletee tabia ya ubinafsi hapa!!!!

Unaongea kirahisi hata hujiulizi amakweli CDM wana maboya
 
Ukweli Wa mambo anaujua dr slaa mwenyewe mi nadhani reliable source ni yy mwenyewe tusubiri pale atakapoamua kutoka maelezo namheshimu sana Dr kafanya kazi nzuri sana na siamini kama kweli unaweza kuondoka CHADEMA japo kwenye siasa lolote lawezekana binafsi namkubali sana kuliko MTU yeyote ndani ya chama ikitokea ataondoka mm ataniacha pale pale

Acha kujikweza mmemfanyia unafiki
 
Natoa wito kawa jeshi la polisi wampe ulinzi Dr.Slaa kwenye hiki kipindi kigumu yeye na familia yake.

Name naongezea kwa jwtz watoe ulinzi wakutosha huyu DJ akome desturi yake
 
ni kweli akubaliane na maoni ya weng ila huo msemo w maoni ya wengi pia bado una utata. wengi wa aina gani wangapi wanaweza kua sawa na wachche wa aina nyingine wangapi? hawa wengi/ wa kugawiwa nguo/ zidumu fikira za mwenykiti ndo wawe sawa na thinker km slaa?

Umenena mkuuu
 
Ndiyo viongozi wa Tanzania walivyo, wnang'ang'ania mambo hata ambayo hawayawezi.
Kiuhalisia Dr.Slaa uwezo wa kuiondoa ccm madarakani hana ila anataka bado tuendelee na yaleyale kuwa CCM mafisadi huku tukishindwa kuwatoa.

Ndio mmejua Leo sikuzote mlikuwa mnasemaje
 
Raia Tanzania ni kijalida cha ccm! Ingawa mmiliki ni jenerali Ulimwengu lkn nashangaa saaanaa

Mkuy umedensa! General ulimwengu yeye ana miliki Raia mwema na si Raia Tanzania.
 
Back
Top Bottom