Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Dr. Slaa na Prof. Baregu kwenda ACT-Wazalendo?

Status
Not open for further replies.

Dkt Kilembwe

Senior Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
154
Reaction score
102
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.


Dr. Silaa alishatoa msimamo wake na post yake ililetwa humu asubuhi. Itafute ijihabarishe!!
 
wakati kazi walioifanya ya kupanda mti umeshaanza kuzaa matunda alafu wayaache wengine wayale sio kweli,
haawzi ama hata siku moja
 
umekosa la kuandika jipange upya na buku saba zenu za Lumumba
 
Naona kama Zitto ana Zama Baharini-karibia azame jumla.

"Eti CDM kuna nguvu zangu" sasa wazila wengine.
 
Lumumba leo hakukaliki kabisa, umbea umbea, na majungu ndio yamewaponza mta nyooka mwaka uhu,
 
Pengine mtoa mada yuko sahihi, sijawaona hawa watu wawili kwenye Press conference ya kumkaribisha Lowasa CHADEMA.
Wameenda/walienda wapi?? kwenye kikao cha jana usiku Prof. Baregu anaonekana kama anafichama sura yake kwa aibu ya kukutana na Lowasa...tuambieni ukweli...siasa za BONGO sasa zimekuwa za kuigiliza...Katika Hotuba ya Mbowe anaonekana kumtumia ujumbe mtu Mkubwa ndani ya CDM ambaye hajakubaliana na ujio wa Lowasa,..huyu mtu ni nani???

Je tunafika tunakotaka kwenda???
 
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba kuwa huku ni kuwadharau watanzania na kuwaona ni wajinga asema sio dhambi kufanya kazi na Zitto.

Beregu nae amesikika akisema kamwe haiwezi idhalilisha taauluma yake sasa ndio wakati wa kukaa pembeni na kuamua kujiunga na harakati mpya. Vikao vya kimya kimya vimekaa kujaribu kubadili misimamo ya wawili hawa.
Ha ha ha mkuu, ndiyo kujifariji huku ama??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom