Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Lengo la mleta mada anataka tumuone kama yeye ni mccm ambaye yupo tofauti na wenzake kwa kukubali mawazo bila kujali yanatoka wapi.
Sijui kwanini aliamua kudandia hili la pombe wakati yapo mambo mengi ya msingi ambayo wapinzani wanayasimamia kwa mfano kwenye katiba mpya au tume huru.
hamna msingi wowote wa kuruhusu chang'aa hapa kwetu. Hata hizi pombe zilizopo madukani tukisema tuwaulize watanzania najua zaidi ya 70 percent watasema zifutwe sasa sijui Dr Slaa na wewe mlikuwa mnazungumza kwa niaba ya nani.
Sijui kwanini aliamua kudandia hili la pombe wakati yapo mambo mengi ya msingi ambayo wapinzani wanayasimamia kwa mfano kwenye katiba mpya au tume huru.
hamna msingi wowote wa kuruhusu chang'aa hapa kwetu. Hata hizi pombe zilizopo madukani tukisema tuwaulize watanzania najua zaidi ya 70 percent watasema zifutwe sasa sijui Dr Slaa na wewe mlikuwa mnazungumza kwa niaba ya nani.