Dr. Slaa Msikivu, Mfano wa kuigwa

Tafuteni mtu mwingine wa kumuuza lakini huyu jamaa yenu hafai hata kidogo, hivi hakuna watu waliosoma huko chadema kuliko kutuletea degree za kanisani wanandugu???

Tafuteni msomi wa elimu dunia bana
Islamic fundamentalism km hii duh, hatari sana. nadhani ww ni mmoja wa member wa kikundi cha al shabab hapa bongo.
 
Islamic fundamentalism km hii duh, hatari sana. nadhani ww ni mmoja wa member wa kikundi cha al shabab hapa bongo.

Kanoni = Kanuni za kanisani.

Ambazo hata yeye mwenyewe kashindwa kuzifata, sasa hapo ndipo kwenye kazi.
 
Kanoni = Kanuni za kanisani.

Ambazo hata yeye mwenyewe kashindwa kuzifata, sasa hapo ndipo kwenye kazi.
Kinachokusumbua ni udini tu,. ukweli mmepungukiwa sana katika kufikiri. bahati mbaya hauwezi kushaurika kwa njia yoyote. kwa sababu unafikilia sunna tu
 
Kanoni = Kanuni za kanisani.

Ambazo hata yeye mwenyewe kashindwa kuzifata, sasa hapo ndipo kwenye kazi.

Umeyaandika haya baada ya kusoma post ya Deodat au yanatoka kwenye moyo wako uliojaa udini? Bora kusoma kanuni za kanisa with a bit of social studies kuliko kuishia std 7 na kuongoza watu wenye mwili na roho.

Kama unaona Dr. Slaa alizishindwa kanuni za kanisa, mbona tusianzie kwenye swali langu kuhusu huduma zilizokuwa zinatolewa pale Mwembecha na Marehemu Sheikh, je nazo zina baraka ya kitabu chetu mpk zitolewe na Sheikh?
 
Sasa naamini Wtz wengi tumekuwa ma-mbumbumbu au Mazezeta, hivi tunashindwa kujadili majanga makubwa yaliyopo nchini kwa sasa, tunajadili na kulumbana juu ya imani za dini? ndiyo maana tunaendelea kutawaliwa ki-imla kwani tunawalaumu hao viongozi wakati na sisi tunaonesha matatizo ndiyo yaleyale, hapa tatizo ni Sisi wananchi kuacha ushabiki ili itakapofika fulsa nyingine ya kuwapata viongozi wapya wenye muonekano wa kutujali basi tuwachague. Na swala hapa sio usomi bali Busara, Hekima na kuwajali watu unaowaongoza. Mungu wabariki watanzania wote na uwaondolee roho za chuki uwape amani. Amina
 
Kanoni = Kanuni za kanisani.

Ambazo hata yeye mwenyewe kashindwa kuzifata, sasa hapo ndipo kwenye kazi.

FaizaFox nikupe darasa hapa. Kanuni na sheria ni vitu viwili tofauti. Kanuni ni kitu kinachoendana na taratibu ambazo pengine hazibadiliki zipo zilivyo na baadhi ni za kimaumbile. Mfano wewe ubongo wako unatumia kanuni katika kufanya kazi yake kwa ajili ya kuregulate mambo mbalimbali mwilini yafanye kazi yake, na huwezi kubadilisha kwa namna ye yote ingawa kwa kiswahili tumeshindwa kutoa tafsiri sahihi tumejaribu kusema tu sheria za maumbile. Mfano kanuni ya imani si sheria bali ni doctrine - swala.

Sheria ni kitu kingine ambacho kinahusiana na mfumo wa kulinda na kutetea maisha na shughuli, sheria huwekwa na wanadamu na zinaweza kutenguliwa au kubadilishwa wakati wo wote. Lakini kanuni ni doctrine. Ndio maana dini licha ya kuwa na msahafu kama biblia au kurani, wana kitabu cha sheria kama mwongozo wao wa kila siku na mara kadhaa hufanyiwa marekebisho kulingana na mazingira, wakati na matukio. Kanuni hazibadiliki kwani ni kama ulivyo msahafu wa Kurani na biblia - ni doctrine.

Soma tafsiri ya kiingereza kutoka kiswahili tofauti ya kanuni na sheria. Hivyo Kanuni si sheria na sheria si kanuni kama wengi wetu tunavyotafsiri na kuelewa. Ndio maana elimu dunia inahitajika kuipata pamoja na somo la falsafa ili kufahamu tofauti na fafanuzi mbalimbali katika mambo muhimu kama haya.

PHD za kupeana bila kukaa kwenye vitivo husika kupevuka kwa kujadiliana na kuhakikiwa kwamba mtu anastahili humfikisha mtu kutoa jibu au tafsiri nyepesi kama uliyofanya.


kanuni
nomino 9/10

rule, convention, condition, principle, regulation, doctrine

sheria
nomino 9/10

1 law, regulation
2 constitution
3 ruling
4 judgement
5 commitment, obligation

Tatizo tulilo nalo hapa JF wengine tunapojadili jambo muhimu wengine kama akina Faiza Fox, Rajeo na wengineo huleta mipasho
 
Kama Zitto ni msomi kwa nini msimpe cheo cha umufti badala ya kuongozwa na mufti ambaye ameishia darasa la saba? hamuoni huyu mufti Shabaani bin Simba akikaa na Cardinal Pengo inabidi akae kama bubu maana hawezi kuchangia mada yoyote?
Huyu Mufti anawatia aibu sana waislamu.

akae na pengo ili wajadili nini???MoU??ukatoliki na ucamerun?
 
Tuanze na Jakaya Kikwete ni Dr wa nini?

ww msomi bure kabisa??kwani jk ndie wakwanza kupewa dr??SLAA hana la mana alilofanya hapa duniani,ndio maana hawezi kupewa udokta!!labda aongezewe u-prof wa kanon law
 
Ni bora Dr. wa canon wa kusoma mwenyewe kuliko u Dr wa kupewa bila kujua ni wa nn. Nashauri urudi darasani kijana.

ww ndie hujui jk kapewa udaktari wa nn!!
Kama unajua ni dr. Wa kanoni law,kwnn musiwe munamuita kanisani huko au huku kwny masinagogi yenu??
Mm zamani nilikuwa najua slaa ni kichwa,kumbe...!!
 
Sasa naamini Wtz wengi tumekuwa ma-mbumbumbu au Mazezeta, hivi tunashindwa kujadili majanga makubwa yaliyopo nchini kwa sasa, tunajadili na kulumbana juu ya imani za dini? ndiyo maana tunaendelea kutawaliwa ki-imla kwani tunawalaumu hao viongozi wakati na sisi tunaonesha matatizo ndiyo yaleyale, hapa tatizo ni Sisi wananchi kuacha ushabiki ili itakapofika fulsa nyingine ya kuwapata viongozi wapya wenye muonekano wa kutujali basi tuwachague. Na swala hapa sio usomi bali Busara, Hekima na kuwajali watu unaowaongoza. Mungu wabariki watanzania wote na uwaondolee roho za chuki uwape amani. Amina

ur very right best angu.
 
Sasa naamini Wtz wengi tumekuwa ma-mbumbumbu au Mazezeta, hivi tunashindwa kujadili majanga makubwa yaliyopo nchini kwa sasa, tunajadili na kulumbana juu ya imani za dini? ndiyo maana tunaendelea kutawaliwa ki-imla kwani tunawalaumu hao viongozi wakati na sisi tunaonesha matatizo ndiyo yaleyale, hapa tatizo ni Sisi wananchi kuacha ushabiki ili itakapofika fulsa nyingine ya kuwapata viongozi wapya wenye muonekano wa kutujali basi tuwachague. Na swala hapa sio usomi bali Busara, Hekima na kuwajali watu unaowaongoza. Mungu wabariki watanzania wote na uwaondolee roho za chuki uwape amani. Amina

Pole, hata watu wawapo misibani huwa na masimulizi mbalimabli yaliyo nje ya tukio lililowaweka walipo, iweje hili? Hili la kukandia mada zinazojadilika ni kuwakosea wengine haki zao za mzingi za free speech.
 
Tafuteni mtu mwingine wa kumuuza lakini huyu jamaa yenu hafai hata kidogo, hivi hakuna watu waliosoma huko chadema kuliko kutuletea degree za kanisani wanandugu???

Tafuteni msomi wa elimu dunia bana

Ubongo wako umeliwa na kutu we mp*mb*v
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom