Dr. Slaa, Kwanini umeitelekeza familia ya Daudi Mwangosi?

MUSSA ALLAN

JF-Expert Member
Oct 13, 2013
18,925
13,259
Wana Jamvi, Amani Iwe nanyi!

Kama mtakumbuka mwaka 2012 baada ya Mwandishi wa habari aliyekuwa anaripotia CHANNEL TEN ndugu Daudi Mwangosi kuuawa kwa kupigwa Bomu na Polisi huko Iringa.

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema Ndugu W. Slaa, aliitembelea familia ya marehemu na kuahidi kuitunza, pamoja na kuwasomesha watoto walioachwa na marehemu mpaka kidato cha nne.

Sasa imepita miaka minne lakini hakuna kilichofanyika!Watoto wa Marehemu bado wanakabiliana na changamoto kali za kukosa mahitaji muhimu kama ada za shule na mengineyo.

Mjane wa Mwangosi bado anapambana na maisha magumu haswa baada ya kuachwa na Mumewe!

Wakazi wengi wa Iringa na Tanzania kwa ujumla wanajiuliza, wako wapi wafadhili waliojitapa enzi zile kuwa watasimama kidete kuhakikisha kuwa Familia ya Mwangosi haitaabiki?

Wako wapi wanasiasa uchwara mithili ya Mzee Slaa ambao walisema kuwa watatumia mpaka senti yao ya mwisho kuhakikisha kuwa familia hii haitawahi kutaabika kwa namna yoyote ile?

Je,Zile zilikuwa porojo tu za kisiasa?

Imekuwaje leo Mzee Slaa umekimbilia Canada na kuiacha Familia hii ikipata shida?

Au maneno uliyomwambia mjane siku ile yalikuwa ni porojo tu za kisiasa?

Mungu atusamehe!

Dr.W.Slaa
a1.jpg

a1.jpg
[UNSET].jpg
 
Naona umeamua kukixhafua chama, Dr kama Katibu Mkuu alitoa kauli ya CHAMA, hata kama yeye hayupo waliopo walipaswa kutekeleza.
 
Akili ya shujaa imetekwa na mkewe he is not the same as everyone use to know,anahitaji maombi ili arudi kwenye sense zake za kawaida
 
Wewe unajua unamdhalilisha Dr.Slaa, bila kujielewa unatangaza ulaghai wa Chadema.!
 
Chadema walijenga mpaka mnara wa Mwangosi ila sijui ni lini ata walimkumbuka mtoto wa Mwangosi mpira sasa anapewa mtu sio chama.
 
Shule siku hizi bure tunashukuru Mungu. Huyo Mama inaonekana hakuweza pesa maana si ndio nakumbuka wengi pia walichanga hata chilisosi alisimamia michango ya ulaya sijui.

Sasa wapi mlimsikia Dr Slaa anasema watakuwa familia yake ya pili? Na kama hana pesa akakope?

Pia ni mzigo wa Chadema, so toeni pesa zenu hizo kuwaangalie kwani Dr. nae alikuwa atoe pia humo humo...mlimtosa sasa kazi kwenu.

Pia haina shida Lowassa achukue mzigo sasa.
 
Shule siku hizi bure tunashukuru Mungu. Huyo Mama inaonekana hakuweza pesa maana si ndio nakumbuka wengi pia walichanga hata chilisosi alisimamia michango ya ulaya sijui.

Sasa wapi mlimsikia Dr Slaa anasema watakuwa familia yake ya pili? Na kama hana pesa akakope?

Pia ni mzigo wa Chadema, so toeni pesa zenu hizo kuwaangalie kwani Dr. nae alikuwa atoe pia humo humo...mlimtosa sasa kazi kwenu.

Pia haina shida Lowassa achukue mzigo sasa.
Ndio sasa hivi mnazila canada?
 
Ndio sasa hivi mnazila canada?

Nani anazila? Mliacha kumfundisha huyo mama kupanga maisha, pia mnatafuta kumchafua Dr. Slaa.

Mlimtupa na mti wake now mmejaa wivu.

Kamuombe Lowassa aendelee kuwalea au wana Chadema kama mnaroho nzuri changeni.

Utakuta mleta mada hata sumni hajatoa anakimbilia humu.
 
Nani anazila? Mliacha kumfundisha huyo mama kupanga maisha, pia mnatafuta kumchafua Dr. Slaa.

Mlimtupa na mti wake now mmejaa wivu.

Kamuombe Lowassa aendelee kuwalea au wana Chadema kama mnaroho nzuri changeni.

Utakuta mleta mada hata sumni hajatoa anakimbilia humu.
Si Mgetoa hata kwenye lile fungu mlilogawiwa ili mumseme mh. El vibaya
 
Dr.Slaa na mkewe, wao binafsi walijitolea kuitizama ile familia pamoja na kuwasomesha watoto.
 
Dr.Slaa na mkewe, wao binafsi walijitolea kuitizama ile familia pamoja na kuwasomesha watoto.
Kijana umeanza kuchanganyikiwa,ulizowea enzi zile Lowassa akiwafuga kwenye mahoteli mkila na kulala bure na posho nono kuhakikisha safari ya matumaini ila kwa sasa nauhakika jamaa hana mianya na marafiki zake wameacha kumchangia sababu kisiasa hana matumaini. Nikupe ushauri tu,jishughulishe kwa chochote au urudi mererani....muda sio mrefu utapagawa.....kwanza umeidhalilisha chadema kwamba sio taasisi na unamaanisha ukimwondoa Dr.Slaa akina Mbowe na wenzake ni wanafki,walitumia msiba kisiasa..nakumbuka Lissu alizunguka nchi nzima kuyalaani madhila hayo...wewe na wenzako 4U mmekuja kuangamiza bavicha.
 
Back
Top Bottom