Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Sikudhani Dr. Slaa angekuwa mwepesi kiasi hicho.
I knew it
Sikudhani Dr. Slaa angekuwa mwepesi kiasi hicho.
ila nilikuwa siwachukii kwa dini zao.Kamanda kwani wewe ulikuwa unampenda Lowassa, Tabwe Hiza, Sumaye?
Tatizo ni yule mdada mwenzenu alishafanya mazoezi ya ufirst lady kabisa.
Wacha tuweke akiba ya maneno lakini Dr Slaa ameboa, option iliyopo mwaka huu ni kuing'oa ccm kwa gharama yoyote tuifumuwe nchi tupange mifumo upya na katiba mpya ili sasa wajr aina ya viongozi tuwatakao awamu ijayo.
Currently mtu mwenye ushawishi mkubwa ni Lowasa tu, Dr Slaa angegalagazwa na magufuri mapema asubuhi aanze kutudanganya kuna kontena la kura.
Kama Dr alidhani yeye ni bora ni kwamba ajuwe kuanzia leo watu tunataka mabadiriko na hatuna mpango na vyama vyao.
Mnataka tu ku-preempt pigo litakalowapata maana mnajua Dr Slaa anajua madhambi yenu yote.
Kama mnajiamini kwa nini mnaanza kwa kumchafua eti kahongwa.
Unafikirk sote hatuna upeo wa kudadavua mambo?
Ni wazi sasa hivi kuna Chadema asilia na Chadema maslahi. Na mgombea wenu feki Lowassa hana upeo wa kumfikia hata 10% Dr Slaa.
Wananchi nao wameanza kuzinduka na Dr Slaa atakapomaliza kesho mtakuwa mmebaki uchi!
Na muache kutumia excuse ya mabadiliko kutaka kutuingizia Fisadi papa kwa mlango wa nyuma! Mwacheni Dr Slaa aongee na muache spinning!
Inasikitisha kuona CHADEMA asili nao wamepewa limbwata na kina LAKI si pesa, nao eti 'wanamtukana' Dr. Slaa, kweli?????
Hatimaye katibu mkuu wa Cham cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr. Wilbrod Slaa ameamua rasmi kuachana na siasa baada ya tafakari ya muda mrefu.
Kesho Slaa anatarajiwa kutangaza uamuzi wake huo ndani ya 'Dar es Salaam Serena hotel' ambao utakuwa ni pigo kubwa kwa vyama vinavyounda UKAWA.
Katika hatua nyingine mwanachama wa CHADEMA anayeamini katika siasa za Dr. Slaa, G Sam ameamua kumuunga mkono kutokana na mizengwe ya uteuzi wa mgombea urais ndani ya chama hicho.
"Nitapiga kura kwa Halima Mdee na mgombea udiwani wa Chadema ila siyo kwa Edward Lowassa" anasema G Sam.
G Sam anamuonea Edward Lowassa kama mgombea dhaifu sana asiyeweza kwenda sambamba na kasi ya chama hicho. Aidha G Sam anakiri kuwa hana tatizo na Edward Lowassa kuhusu mambo ya ufisadi bali ni kutokana na udhaifu unaoonekana waziwazi juu ya mgombea huyo.
Naona umeona sheria imenza so unaamua kutuprovoke
Safi sana ngoja tuangalie mawasiliani yakoje, hawa wezi koko wanafikiri Tanzania ni ya kwao peke yao au ni mali yao. EL amekuwa mwizi tangu miaka ya 1970 hadi leo bado ana kiu ya pesa za walipa kodi. It will never happen whatever the case.
Naona umeona sheria imenza so unaamua kutuprovoke
Kwahiyo kama Dr.slaa angegaragazwa na magufuri ina maana endapo lowassa angegombea urais kupitia ccm chadema/ukawa wasingesimamisha mgombea urais?
Hujatendea haki jina lako.... hapa sio suala la cross multiplication rather the best ndo anae pewa nafasi na kwa sasa EL ni zaidi ya Dr. Slaa...Kwahiyo kama Dr.slaa angegaragazwa na magufuri ina maana endapo lowassa angegombea urais kupitia ccm chadema/ukawa wasingesimamisha mgombea urais?
Mtihani huu,,, lakini ukawa itasonga hata bila Silaha
Sijawahi kuona mtu ambaye amewahi kuwa padre akawa na uchu wa madaraka! hii ndio naanza kuiona sasa hivi! kama walimuita ili ajieleze na akajieleza na wakamuelewa sasa Dr alitaka nini? eti aruhusiwe ila asipewe kugombea nyadhifa kubwa nyooo!! Wewe Dr wewe ona aibu! yaani lowassa awe pembeni kuwa mwanachama wa kawaida wewe ndio upeperushe bendera ya UKAWA? Duu haya yangekuwa maajabu ya dunia kabisa! Tunahitaji mtu mwenye uwezo, mbinu, akili, mikakati na mipango ya kutupeleka tunakotaka na kati ya Dr na lowassa, lowassa alimzidi Dr! Wewe ita press fanya lolote ongea lolote ila haturudi nyuma! tukirudi nyuma tutageuka kuwa jiwe. Kamwe wanaharakati hawana tabia ya kuangalia nyuma.Dr Slaa staafu tu baba! Umejenga chadema kwa ukimya wa Lowassa! Leo Lowassa ameongea ukweli kuhusu ufisadi anaolazimishwa nao! Ukweli huo umemweka huru na kuaminiwa na vyama vyote vya siasa kupeperusha bendera yao ya urais 2015!
Sio Ikulu sio Kikwete aliyewahi kukana ukweli aliobainisha Lowassa kuhusu richmond. Hii maana yake ni kwamba Lowassa kaongea ukweli mtupu!
Sasa wewe unasusa nini? Unataka Lowassa asiseme ukweli?
Mwombe radhi Lowassa kwa kumbebesha mzigo mkubwa wa ufisadi aliotakiwa kubebwa na Bosi wake! Ukimya wa Lowassa ni hekima toka kwa Mungu! Mungu ni mkimya! Kwa kumuomba radhi maana yake Mungu naye atakusamehe. Japo ni siasa lakini Mungu bado ana nafasi kuu. Usibeze maana kila mtu hulipwa sawasawa na maneno na matendo yako!
Kikwete ndio fisadi sio Lowassa!