Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Wenye akili hawataambiwa make mtu yeyote katika du nia hii ana hitaji haki za msingi bila kukosa so wa tz tuna itaji changes kiongozi makini hadharau wananchi wa ngazi zoote zikiwemo na shuguli zao so no problem Dr.slaa kufungua tawi bigup we are together mpaka kieleweke
 
Mbona mkutano wa chadema Kimara umedoda leo? Mnyika hana mvuto tena?
 
Kama kawaida yake anaenda kuwakumbusha wanachuo waanze kufanya maandalizi ya maandamano. Kwa maana halisi kwamba huyu mzee huwa kazi yake ni matukio hataongea cha maana zaidi ya Katiba na mambo ya Mbunge wa NCCR-MAGEUZI Kafulila. Wakati sisi tunategemea azungumzie kinachojili ndani ya chama. Kwanini viongozi na wanachama wa Chadema wanaondoka kila kukicha na kuamia vyama vingine? Je ni kweli wamekosa strategies mbadala kama alivyosema Kitila na Mwigamba kwenye waraka wa mabadiliko 2013? Au ni kwasababu ya udikiteta wa Mwenyekiti na Katibu kukataa kuitisha uchaguzi wa Viongozi wakuu wa chama? Kilichobaki sasa hivi ni kila kukicha wanakuja na ratiba ya uchaguzi ambayo haitekelezeki.
 
Back
Top Bottom