Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Ndugu Mwigulu Nchemba ameionya serikali
kuacha kuendekeza anasa, semina na sherehe
wakati wananchi wanaishi maisha ya dhiki.
"Haiwezekani serikali inafanya sherehe kubwa
wakati wanafunzi wanakaa chini na wananchi
hawana huduma ya maji, barabara na umeme.
Hatujawahi kusikia fedha za semina na sherehe
zimekosekana lakini kila siku tunaambiwa fedha
za kuchimbia visima vya maji na kununulia
dawa za hospitali hakuna! Kuna wengine
wanadiriki hadi kufanyia semina nje ya nchi",
alisema Nchemba.
Bwana Nchemba alimuagiza mlipaji mkuu wa
serikali asiwe anaidhinisha fedha za umma kwa
ajili ya sherehe na anasa ambazo hazina tija
katika maendeleo ya wananchi. Alisema
atakayekiuka agizo hilo ajiandae kufutwa kazi.
MAONI YANGU
Nampongeza Bw Nchemba kwa kuwatetea
wanyonge na kukataza matumizi ya ovyo ya
fedha za umma. Serikali imekuwa ikipoteza
fedha nyingi kwenye sherehe nyingi za kipuuzi
huku wananchi wakiishi maisha ya dhiki. Sasa
tutaanza kuona MAISHABORA KWA KILA
MTANZANIA.
Chanzo:RFA
hiyo serikali ni ya chama gani? ,.
 
Ndugu Mwigulu Nchemba ameionya serikali
kuacha kuendekeza anasa, semina na sherehe
wakati wananchi wanaishi maisha ya dhiki.
"Haiwezekani serikali inafanya sherehe kubwa
wakati wanafunzi wanakaa chini na wananchi
hawana huduma ya maji, barabara na umeme.
Hatujawahi kusikia fedha za semina na sherehe
zimekosekana lakini kila siku tunaambiwa fedha
za kuchimbia visima vya maji na kununulia
dawa za hospitali hakuna! Kuna wengine
wanadiriki hadi kufanyia semina nje ya nchi",
alisema Nchemba.
Bwana Nchemba alimuagiza mlipaji mkuu wa
serikali asiwe anaidhinisha fedha za umma kwa
ajili ya sherehe na anasa ambazo hazina tija
katika maendeleo ya wananchi. Alisema
atakayekiuka agizo hilo ajiandae kufutwa kazi.
MAONI YANGU
Nampongeza Bw Nchemba kwa kuwatetea
wanyonge na kukataza matumizi ya ovyo ya
fedha za umma. Serikali imekuwa ikipoteza
fedha nyingi kwenye sherehe nyingi za kipuuzi
huku wananchi wakiishi maisha ya dhiki. Sasa
tutaanza kuona MAISHABORA KWA KILA
MTANZANIA.
Chanzo:RFA

Ajiuruzu kutoka katika hiyo serikali na chama hafu ndo aanze kuikosoa
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!

Una akili ndogo sana na ndoi maana ulifukuzwa CDM kama mbwa koko.Kuna watu wanaumwa hayo magonjwa na tunakushangaa unapokuja hapa kuwabeza kana kwamba wewe hutaugua.Elimu uliyoipata haijakusaidia kitu zaidi ya kujipendekeza kwa wanaume na kupost ujinga ili uishi.
 
Kuna mtu ana mweka Wassira kwenye kundi la washindani ni huwa nitamshangaa sana
Hawajitambui hawa misukule wa lumumba,wakiskia tu Dr Slaa mapepo yanawapanda.Watahara sana kwenye hii sred ili tu buku 7 iingie
 
Ndugu Mwigulu Nchemba ameionya serikali
kuacha kuendekeza anasa, semina na sherehe
wakati wananchi wanaishi maisha ya dhiki.
"Haiwezekani serikali inafanya sherehe kubwa
wakati wanafunzi wanakaa chini na wananchi
hawana huduma ya maji, barabara na umeme.
Hatujawahi kusikia fedha za semina na sherehe
zimekosekana lakini kila siku tunaambiwa fedha
za kuchimbia visima vya maji na kununulia
dawa za hospitali hakuna! Kuna wengine
wanadiriki hadi kufanyia semina nje ya nchi",
alisema Nchemba.
Bwana Nchemba alimuagiza mlipaji mkuu wa
serikali asiwe anaidhinisha fedha za umma kwa
ajili ya sherehe na anasa ambazo hazina tija
katika maendeleo ya wananchi. Alisema
atakayekiuka agizo hilo ajiandae kufutwa kazi.
MAONI YANGU
Nampongeza Bw Nchemba kwa kuwatetea
wanyonge na kukataza matumizi ya ovyo ya
fedha za umma. Serikali imekuwa ikipoteza
fedha nyingi kwenye sherehe nyingi za kipuuzi
huku wananchi wakiishi maisha ya dhiki. Sasa
tutaanza kuona MAISHABORA KWA KILA
MTANZANIA.
Chanzo:RFA

Huu upumbafu na unafiki wa interahamwe peleka lumumba kwa misukule wenzio,hapa Dr Slaa ndiye habari ya mujini
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!
Siasa za mitandaoni na za kitoto? Is it really necessary to publicise someone's illness. Don't you know that illness is confidential between the patient and his doctor? My advice to you young man: You can be seen to be wise in your politics if you refrain showing your anger to the people you think wronged you.
 
Dr Slaa ameingia ndani yaukumbi madr wamejipanga vema nitawapa kinachoendelea
 
Mambo ya UDSM utayajulia wapi!? mtu mwenyewe ata Veta hujafika.
mkuu sambai aliyefika veta hupata ujuzi na kuutumia kujipatia riziki huyo masalani aka choo hanaujuzi ndiyo maana kaamua kujikabidhi kwenye B7 ili angalau apate pakujipatia chochote, AIBU yake.
 
babu slaa ameshapona mkono na kisukari!!!!!

bw mdogo kuugua si kufa hivyo hata wagonjwa wana haki ya kushiriki siasa za nchi hii,Angalia inapoishia zipu ya suruali yako uone kama kilichopo kinaruhusu kuishi unavyoishi.
 
vip yule hawala amekuja nae?
Wenye wachumba hapo chuoni kuweni makini sana huyo ni mtu hatari sana ukizingatia hajaoa.
 
Simu inaishiwa Umeme ila Dr kaifananisha CCM na Adolf H. Kuwa alikifa kutokana na ukatiri wake hata kaburi lake halijulikani lilipo ndivyo itakavyokuwa kwa CCM kutokana na ukatiri wake kuwanyanyasa wanafunzi kuwafukuza vyuo kufunga vyuo bila sababu hii nikuuwa kizazi cha wasomi matokeo yake CCM itakufa kama gaidi Hitla na kaburi lake kutokuonekana
 
Ndugu Mwigulu Nchemba ameionya serikali
kuacha kuendekeza anasa, semina na sherehe
wakati wananchi wanaishi maisha ya dhiki.
"Haiwezekani serikali inafanya sherehe kubwa
wakati wanafunzi wanakaa chini na wananchi
hawana huduma ya maji, barabara na umeme.
Hatujawahi kusikia fedha za semina na sherehe
zimekosekana lakini kila siku tunaambiwa fedha
za kuchimbia visima vya maji na kununulia
dawa za hospitali hakuna! Kuna wengine
wanadiriki hadi kufanyia semina nje ya nchi",
alisema Nchemba.
Bwana Nchemba alimuagiza mlipaji mkuu wa
serikali asiwe anaidhinisha fedha za umma kwa
ajili ya sherehe na anasa ambazo hazina tija
katika maendeleo ya wananchi. Alisema
atakayekiuka agizo hilo ajiandae kufutwa kazi.
MAONI YANGU
Nampongeza Bw Nchemba kwa kuwatetea
wanyonge na kukataza matumizi ya ovyo ya
fedha za umma. Serikali imekuwa ikipoteza
fedha nyingi kwenye sherehe nyingi za kipuuzi
huku wananchi wakiishi maisha ya dhiki. Sasa
tutaanza kuona MAISHABORA KWA KILA
MTANZANIA.
Chanzo:RFA

SHERIA ZA JF ZINAKATAZA KABISA KUCHAKACHUA UZI , NITASHANGAA SaNA KAMA HUJALA BAN .
 
Simu inaishiwa Umeme ila Dr kaifananisha CCM na Adolf H. Kuwa alikifa kutokana na ukatiri wake hata kaburi lake halijulikani lilipo ndivyo itakavyokuwa kwa CCM kutokana na ukatiri wake kuwanyanyasa wanafunzi kuwafukuza vyuo kufunga vyuo bila sababu hii nikuuwa kizazi cha wasomi matokeo yake CCM itakufa kama gaidi Hitla na kaburi lake kutokuonekana

tunakushuru sana .
 
Back
Top Bottom