Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Dr makini anaeitendea haki taaluma yake na kipaji chake alichopew na mwenyezi mungu bila kuwalaghai na kuwanyanyasa watz kama wafanyavyo wengine waliolaaniwa kama vile kina dr. Chimbi na nhemba

Hapa Muhimbili wanafunzi wako vikundi vikundi kujadili ujio wa Dr Slaa.Kila mtu ana shauku kujua atakachozungumza!
 
haishangazi habari hii kuwa kubwa , maana UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU ZAIDI KWENYE UKANDA WA MAZIWA MAKUU , AKIFUATIWA KWA MBALI SANA NA PAUL KAGAME .
 
Zaidi ya kusema amedaka nyaraka za siri, kuna lingine tena?

endelea kutega sikio mkuu , maana wananchi wote wanasubiri kitakachojiri , na huenda kamati kuu ya chama chakavu ikakutana kwa dharula jumatatu kwenye ofisi za serikali !
 
endelea kutega sikio mkuu , maana wananchi wote wanasubiri kitakachojiri , na huenda kamati kuu ya chama chakavu ikakutana kwa dharula jumatatu kwenye ofisi za serikali !

Umemueleza vema mkuu.Akizungumza Dr Slaa nchi inatikisika!
 
haishangazi habari hii kuwa kubwa , maana UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU ZAIDI KWENYE UKANDA WA MAZIWA MAKUU , AKIFUATIWA KWA MBALI SANA NA PAUL KAGAME .

Mwacheni Mungu aitwe Mungu jamani.Tanzania tuna bahati kubwa ya kuwa na mtu wa aina hii.
 
Safi sana wasomi kwa kujitambua.

Dr. Slaa ni tishio sana kwa maccm

Ni kweli Dr. Slaa na Mbowe ni tishio kubwa kwa CCM. Kila CCM wanaposikia majina ya wapambanaji wawili hawa huenda msalani! Aisee iko kazi. Mfano rahisi ni kelele za sasa za Oooh CHADEMA hakuna demokrasia, mara Ooh waachie ngazi maana vipindi vyao kikatiba vimekwisha, tena utawasikia Ooh wamebadili Katiba ili waendelee kuongoza n.k. Hapa ndipo ninapoamini, sawa na watanzania tulio wengi kwamba mwembe wenye matunda ndiyo unaotupiwa mawe. Mbona hawamzungumzii John Cheyo aliyeimiliki UDP kama koti lake tokea kuasisiwa? Mbona hawamzungumzii yule shoga yao aliyefisika kabisa kisiasa kama anavyojinadi mwenyewe Mrema ambaye anarukaruka chama hadi chama na kila anakoenda anang'ang'ania nafasi ya uenyekiti pekee? Seif amekuwa Katibu Mkuu CUF tangu iasisiwe na Lipumba Mwenyekiti kwa karibu muda sawa na wa mwenzie tena wamegombea Urais kwa zaidi ya mara tatu tatu; mbona CCM hawajawaona hawa ila wanahunyahunya na Dr. Slaa aliyewatikisa mara moja tu na Mbowe mara moja?
Kwetu wenye akili sasa tumeigundua janja yao. Haiwezekani CCM itamke habari ya kuitetea demokrasia katika vyama vingine wakati wao hata kutangaza nia ya kugombea nafasi fulani ni dhambi ya "Mauti".
Down with CCM.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom