Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

Dr Slaa kuunguruma leo Dar!

haishangazi habari hii kuwa kubwa , maana UTAFITI HURU UNAONYESHA KWAMBA DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU ZAIDI KWENYE UKANDA WA MAZIWA MAKUU , AKIFUATIWA KWA MBALI SANA NA PAUL KAGAME .

pamoja na kina Jeykey kushinda angani km mbayuwayu lkn hata top ten hayumo
hakika Dr.W.Slaa ni masia aliyeletwa kuibadilisha Tz kutoka kwa ibilisi¿ccm
 
Last edited by a moderator:
Kesho Wassira afungwe kamba shingoni avutwe kama mbuzi hadi kwenye mdahalo wa katiba Serena Hotel. Mbona vipindi vya Dk 45 vya ITV huwa ana burst kwa kurudia?!

Sasa tunamtaka aende akatetee S2 zilizoboreshwa ili Watanzania tupembue chuya na ngano
 
Kesho Wassira afungwe kamba shingoni avutwe kama mbuzi hadi kwenye mdahalo wa katiba Serena Hotel. Mbona vipindi vya Dk 45 vya ITV huwa ana burst kwa kurudia?!

Sasa tunamtaka aende akatetee S2 zilizoboreshwa ili Watanzania tupembue chuya na ngano

Mkuu umenichekesha sana!
 
Kesho Wassira afungwe kamba shingoni avutwe kama mbuzi hadi kwenye mdahalo wa katiba Serena Hotel. Mbona vipindi vya Dk 45 vya ITV huwa ana burst kwa kurudia?!

Sasa tunamtaka aende akatetee S2 zilizoboreshwa ili Watanzania tupembue chuya na ngano
 
hapo ndipo watu watafurahia maneno ya busara na ukombozi sio linalofanyika mwanza haibu tupu
 
Kiongozi shujaa na maarufu EAfrika na duniani,Amerika wanamjua.
 
labda anataka kuwaeleza kuhusu kuhalalisha gongo na mabomba ya gesi kuelekea ulaya
 
Hivi Dr Slaa hadhi yake ni kuzindua matawi ya chadema? Hii ni aibu kubwa na ni fedheha kwake

Mbona baba mwanaisha kila siku safarini hadi sit za ndege zimeisha anaenda kupiga picha na Rais wa fifa na kubembea,kweli hiyo ndo hadhi za Rais wa Tz?
 
Back
Top Bottom