Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,339
- 3,913
huyu mzee anapenda utukufu, Lema si yupo raisi wa Arusha!
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
We CHAMA hata Siasa ni sehemu ya maendeleo acha ukiazi mkuu
Ni kweli aisee maana ulipofanyika mkutano wa cuf watu wa arusha waliendelea na shughuli zao kama kawaida waliohudhuria walikuwa ni wageni walioletwa na mabasi kutoka dar n.k lakini kwa mkutano wa cdm lazima nyomi la arusha litinge kunako shughuli.
Hiki si chama cha Magamba wala CUF kusafirisha watu kwenye mikutano,kama kweli unakipenda CDM basi hautosubiri kusafirishwa bali utakwenda mwenyewe kama wengine wanavyofanya.Jamani sisi tulio nje ya Arusha chama hakijatufanyia mpango wowote wa usafiri wa kufika huko?
jk membe balozi wetu usa na balozi wa un na watu kabao wa magamba wapo new york tena kila mtu kasafiri na kivyake hilo unasemaje sio kuchezea pesahuyu mzee anapenda utukufu, lema si yupo raisi wa arusha!
Ni kweli ni maendeleo kwa wachache wanaolipwa posho kuhudhuria
Chama
Gongo la mboto DSM
Ndoto sana mchana labda kama unaamanisha kuindoa CUF Arusha
Chama
Gongo la mboto DSM
Ni kweli chama ni ndoto kuiondoa CCM madarakani!
In life you must have dreams in order to make it!!
Kama ndoto ya kuiondoa CCM ARUMERU ilivyotimia, hii nayo nayo itatimia. Tayari ndoto ya kuiondoa CCM Ubungo, Jijini Mwanza, Iringa mjini, Jijini Arusha na kwingineko ilivyotimia; hii nayo itatimia! WE ARE DREAMING BIG!!!
I have a dream..... Martin Luther King
Lakini posho yao haiwezi kuwa kubwa kama ya wale walioko Canada,kutafuta pesa ya akina RizNi kweli ni maendeleo kwa wachache wanaolipwa posho kuhudhuria
Chama
Gongo la mboto DSM
Jamani Mods naomba huyu jamaa mmusamehe afunguliwe ili kesho tupate Updates.. Invisible , Paw , Maxence Melo
Pamoja sana Mkuu naona kamanda Mungi kapigwa ban sijui ni hujuma baada ya kazi nzuri aliyofanya juzi kwenye kesi ya Lema...Huyo Mods alie mfungia atakuwa CCM tu...Hizi ni salamu zangu kwako mjomba! kesho kama kawa, camera full charge!
Sasa mkuu unamshitua mjinga...Mkuu Chama unachonifurahisha unajaza sana post zangu hata usiku hulali.Good and Keep it up.Kila Thread yangu inakuwa Live kwa muda mrefu kwa sababu wewe unaziweka Live.
Asante kwa taarifa. Kamanda Crushwiser Do the needful plz!oa
Ni Crashwise sio Crushwise namuaminia kwa coverage yake na picha safi tunakutegemea kamanda kuturushia picha kali kama kawaida yako!!