Dr Slaa kutikisa Arusha Jumamosi

Dr Slaa kutikisa Arusha Jumamosi

Mkuu Chama unachonifurahisha unajaza sana post zangu hata usiku hulali.Good and Keep it up.Kila Thread yangu inakuwa Live kwa muda mrefu kwa sababu wewe unaziweka Live.

Mkuu molemo tunapeana mawazo na makmanda wengine bado hawajaelewa dhana nzima ya m4c

Chama
Gongo la mboto DSM
 
We CHAMA hata Siasa ni sehemu ya maendeleo acha ukiazi mkuu

Mkuu ikiwa kama mikutanao ni sehemu ya maendeleo basi inawezekana kabisa wananchi wa Arusha hawaelewi nadhani mpaka sasa hivi Arusha inaongoza kwa hiyo mikutano unataka kuniambia wananchi wa Arusha ni viazi?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kumekucha jamani mlioko Arusha tunaawachia jukumu mtupe Live coverage.
 
Pamoja sana Mkuu naona kamanda Mungi kapigwa ban sijui ni hujuma baada ya kazi nzuri aliyofanya juzi kwenye kesi ya Lema...Huyo Mods alie mfungia atakuwa CCM tu...

Usiwe na shaka Mkuu Crashwise, kwa busara za mods, ban imekuwa lifted! Infact siyo kosa la mods, bali kuna member alinikera nikafanya makosa niliyostahili adhabu!
Kama kawaida tutaripoti yatakayojiri kwenye uwanja wa Ndarvoi!
 
Last edited by a moderator:
Kumekucha jamani mlioko Arusha tunaawachia jukumu mtupe Live coverage.

Tutakuwepo uwanjani kuanzia majira ya saa saba hivi. Muda huu tunakwenda kumtumikia kaisari!
 
Tuko nanyi, Mungu awalinde.

Kuna uwezekano wale walioachiwa kutoroka juzi waliachiwa ili watumiwe dhidi ya huu mkutano. Muwe macho sana.

Kama sio uwepo wa CDM Watanzania wengi wangekuwa wameshakata tamaa.

The hopes of a nation are riding on you guys. Please take good care of Dr. Slaa.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr Wilbriad P. Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika jiji la Arusha siku ya Jumamosi tarehe 06.10.2012 kuanzia saa 8 mchana. Pamoja na mambo mengine Kiongozi huyo wa CDM pia atatumia mkutano huo kuzindua rasmi kampeni za udiwani katika kata ya daraja mbili,uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vilivyopo mtaa wa NDARVOI.

Tayari kuna hekaheka kubwa katika jiji la Arusha kuhusiana na mkutano huo ambapo mazungumzo ya watu mbalimbali yanazungumzia mkutano huo unaotarajiwa kuwa gumzo.

Taarifa za awali zinasema mkutano huo pia utatumika kufuta nyayo za chama cha CUF ambacho kilisomba watu Dar-es-Salaam kwenda kuwahutubia Arusha ili kuepuka aibu ya kukosa watu.Pia inadaiwa wananchi wa Arusha wamedhamiria kuonyesha dunia uungaji mkono wao kwa chama cha CDM.

Arusha imetosha sasa,nguvu pelekeni mliokoanguka vibaya uchaguzi mkuu uliopita,kuna sehemu hamkua hata na wagombea which means hamna hata mwanachama mmoja huko otherwise angegombea angalau kutoa mkosi
 
Arusha imetosha sasa,nguvu pelekeni mliokoanguka vibaya uchaguzi mkuu uliopita,kuna sehemu hamkua hata na wagombea which means hamna hata mwanachama mmoja huko otherwise angegombea angalau kutoa mkosi

Mkuu KIM KARDASH, mkutano wa leo ni wa kuzindua kampeni za uchaguzi, siyo M4C. Amka
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mungi mbona nilisika ulikula Ban?

Ni kweli Mkuu Molemo, kuna member alinikera nikafanya kosa lililostahili adhabu, nashukuru mods wamekuwa waungwana, baada ya kukata rufaa na kusafisha kauli yangu nilieleweka. Imenitesa, manake siku nzima ya jana nilikuwa ban ambayo ingelikuwa lifted one week later!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Mkuu Molemo, kuna member alinikera nikafanya kosa lililostahili adhabu, nashukuru mods wamekuwa waungwana, baada ya kukata rufaa na kusafisha kauli yangu nilieleweka. Imenitesa, manake siku nzima ya jana nilikuwa ban ambayo ingelikuwa lifted one week later!

Mkuu nadhani leo utakuwa frontline kutuhabarisha kila kitakachojiri kwenye mkutano.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Tumechoka na tamthiliya za mikutano na maandamano.
 
Ni kweli Mkuu Molemo, kuna member alinikera nikafanya kosa lililostahili adhabu, nashukuru mods wamekuwa waungwana, baada ya kukata rufaa na kusafisha kauli yangu nilieleweka. Imenitesa, manake siku nzima ya jana nilikuwa ban ambayo ingelikuwa lifted one week later!
Jifunze wanawake ni mama zetu na usirudie kutukana wavaa baibui kwani tofauti ya mama yako na yule mama ni mavazi tu.

 
Back
Top Bottom