Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Sijajua kwa nini CDM hakuna utaratibu wa kusomba watu kutoka Dar kwenda Arusha kwa kutumia mabasi 8 kama CUF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una hasira, kamata mop kadeki bahari! Ebo!mkuu ritz
hivi watu wa arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga aicc hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
gongo la mboto dsm
safari anazoenda m.k.were nje ya nchi hata naibu waziri nyingine angwakilisha acha waziri mkuu,..huyu bwana kwa ushamba wa ndege ni nouma!!!!!huko america alipo akisikia jina la slaa anapoteza appetite ya burger maana anajua rais wake anakusanya umatiTena uendawazimu mkubwa udiwani hata katibu wa wilaya angeiweza hiyo kazi
Chama
Gongo la mboto DSM
Hayo ni mawazo yako sio ya watu wa Arusha. Haji Arusha kuendesha ibada, anakuja kwa mambo ya kisiasa. kwenye siasa kwa hayo uliyoyataja hapo hakuna msafi, hata wewe jichunguze vizuri.
Siku nyingi sana sija kuona jukwaani, hujambo?...hapo wamekufikisha wa kunyumba, but Molemo hajasema utafanyikia wapi exactly.
hapo wamekufikisha wa kunyumba, but Molemo hajasema utafanyikia wapi exactly.
Ni mabasi 15Sijajua kwa nini CDM hakuna utaratibu wa kusomba watu kutoka Dar kwenda Arusha kwa kutumia mabasi 8 kama CUF.
sawa mzee wa vitu vyenye nja kaliNatanguliza salaamu za rambirambi kwa yule ambaye ni zamu yake. kwa yeyote ambaye siku hiyo ndiyo zamu yake, basi RIP. Tumezoea katika kila mkutano wa chama hicho, mmoja hutangulia mbele za haki. Kama huyo anayeitwa raisi kivuli ana nia njema na watu anaodai ni wapiga kura wake, basi abuni njia nyingine, na siyo kuangamiza watu wasio na hatia.
Jamani sisi tulio nje ya Arusha chama hakijatufanyia mpango wowote wa usafiri wa kufika huko?
weraaaa weraaa....ngoja nikae mkao wa kutikisika.......
karibu sana kamanda.....tunakusubiri kwa hamu.....
wewe ndio Rais wetu tunaekutambua.......
Tena uendawazimu mkubwa udiwani hata katibu wa wilaya angeiweza hiyo kazi
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
Sijajua kwa nini CDM hakuna utaratibu wa kusomba watu kutoka Dar kwenda Arusha kwa kutumia mabasi 8 kama CUF.
Umeonyesha ukomavu wa kufikiri kwa kupiga mbizi! Uchaguzi wa madiwani nao umeitishwa ili Mikutano ya AICC isifanyike?
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.