Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,170
- 175
Mkuu isome posti yangu vizuri imeweka wazi kila kitu
sasa meku hao kafu mlishidwa kuwatoa nduki na mayowe,uwiiii uwiiii!yeuwomii....ni nini mae kujificha hivyo...? basi uje hata mkutanoni tuonane ndaoo....sio vizuri eti.....
Jamani aksanteni kwa taharifa. Wana arusha msituangushe dr slaa ndo baba wa taifa mtarajiwa. Mumpe support dr uyu ni kichwa bana muadilifu sana uyu dr. Tuwaprove awa mashoga ccm na mkewe cuf kuwa arusha amdanganyiki.. Peopleeessss powerrrr
Mkuu chama,
Tatizo kubwa la vijana wa Arusha hawana ajira ndio maana kila kukicha wao na maandamano ya Chadema.
Unadhani wangekuwa wamejikita kwenye ajira zao binafsi viwandani au kwenye kilimo kwanza wangekuwa wanaangaika na mikutano isiyoisha pamoja na maandamano ni mradi wa kina Lema na Dr Slaa kugawana posho.
Chadema kwa mwaka wananatumia zaidi ya milioni 800 kwa maandamano tu.
Mkuu chama,
Tatizo kubwa la vijana wa Arusha hawana ajira ndio maana kila kukicha wao na maandamano ya Chadema.
Unadhani wangekuwa wamejikita kwenye ajira zao binafsi viwandani au kwenye kilimo kwanza wangekuwa wanaangaika na mikutano isiyoisha pamoja na maandamano ni mradi wa kina Lema na Dr Slaa kugawana posho.
Chadema kwa mwaka wananatumia zaidi ya milioni 800 kwa maandamano tu.
Hivi kuna chama kinaongoza kwa kutukana zaidi ya CCMabwepande
Na CHADEMA wakienda mikutanoni wanachanga pesa za kuisupport M4C, vuguvugu ambalo linafanya kazi ya kuhakikisha kwamba 2015 CCM ambayo imeshindwa kulete maendeleo yanayolingana na umri wake madarakani, inaondolewa!
Tena uendawazimu mkubwa udiwani hata katibu wa wilaya angeiweza hiyo kazi
Chama
Gongo la mboto DSM
Katika vuguvugu la mageuzi kama hili hao vijana wasiokuwa na ajira ni sehemu ama chachu kubwa ya mchakato wa mabadiliko (kumbuka every system digs its own grave - hujajiuliza kwa nini vijana wengi hawana ajira!). Hicho wanachokifanya ni haki na halali kabisa.
Kuhusu CDM kutumia zaidi ya milioni kwa maandamano tu, ninafikiri kwamba kama hayo maandamano yanaweza kuwatoa wananchi katika dimbwi la ujinga wa kutojua haki zao basi hiyo ni money well spent (tena nikidogo sana) kuliko mabilioni yanayotafunwa na kakundi kadogo ka mchwa wetu. Ndugu Ritz yaunge mkono maandamano maana saa ya ukombozi iko karibu na kila Mbongolese (awe mchwa au binadamu) atanufaika na matunda ya mageuzi.
Jamani sisi tulio nje ya Arusha chama hakijatufanyia mpango wowote wa usafiri wa kufika huko?
Chama, wahenga wanasema........ "Ni heri kukaa kimya bila kusema chochote, na kufikiriwa kuwa pengine u-mjinga kuliko kuamua kuongea katika namna ambayo itaondoa shaka yoyote iliyokuwepo, na hivyo kuthibitisha kuwa u-mjinga".Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mbona vasco dagama anawaingilia akina membe kazini? Rais slaa huwa Karibu na wapiga Kura wake ni jukumu lake ata ubalozi wa Nyumba kumi ni Sawa kufungua na kuhudhuria unawashwa nini APo?
Chama, wahenga wanasema........ "Ni heri kukaa kimya bila kusema chochote, na kufikiriwa kuwa pengine u-mjinga kuliko kuamua kuongea katika namna ambayo itaondoa shaka yoyote iliyokuwepo, na hivyo kuthibitisha kuwa u-mjinga".
Mkuu chama,
Tatizo kubwa la vijana wa Arusha hawana ajira ndio maana kila kukicha wao na maandamano ya Chadema.
Unadhani wangekuwa wamejikita kwenye ajira zao binafsi viwandani au kwenye kilimo kwanza wangekuwa wanaangaika na mikutano isiyoisha pamoja na maandamano ni mradi wa kina Lema na Dr Slaa kugawana posho.
Chadema kwa mwaka wananatumia zaidi ya milioni 800 kwa maandamano tu.