Dr Slaa kutikisa Arusha Jumamosi

Dr Slaa kutikisa Arusha Jumamosi

Sija ziona na wala sijasikia issue yoyoyte na niko hapa mjini kati labda nifatilie nikizipata nitakujuza...

sidhani kama kuna shida mkuu......nimekutana nao Mbauda naona wanarudi ofisini kwao......
 
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM

Ha ha haa chama uwezo wako wa kufikiri na kujenga hoja una deteriorate kwa spidi ya ajabu sana, sijui utakuwa katika hali gani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

We endelea na miradi yenu ya visima vya majimachafu huko gongolamboto, hii mambo ya Arusha ni makubwa kwako.
Juzi juzi tumemshuhudia kikwete akigawa ng'ombe wilayani monduli kwa mshikaji wake lowasa lakini hatujawahi kusikia wananchi wa Arusha wanaomba msaada wa chakula kwakuwa wanajitambua na wanajiweza, na hawategemei magamba kuendesha maisha yao, na hilo ndilo linawaumiza vichwa vya kuku wengi hapa JF na huko mitaani.
 
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM

Utashangaa na mji ndio uchumi unapanda kwa kasi ya ajabu. Wakati wa kufanya kazi wanafanya kwa bidii na wakati wa kuutafuta ukombozi wanafanya hivyo kwa bidii.
 
Safiiiiiiiii!!
Karibu Dr Slaa Rais wa wanainchi na siyo wa Tiss na Nec!

Tupo pamoja mwanzo mwisho na hakuna kuchoka mpaka kieleweke!

Viva Chama makini kwa Watanzania!!
 
kama kuna mkulima huacha mazao yaliyostawi ovyo ovyo akili yake ni ndogo (mwehu) as you think cdm kuacha Arusha kisa ni ngome think deeply
 
Chama gamba kijani at work!

Pole sana! Tumia kichwa na siyo masaburi.

Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Hivi watu wa Arusha hawana shughuli za kufanya za maendeleo? Haya maandamano na mikutano isiyokwisha taifa wanalijenga wakati gani?kweli tuliimaanisha Arusha iwe mji wa mikutano kwa kujenga AICC hatukumaanisha uwe mji wa mikutano hii ya kiwendawazimu isiyokwisha au ndio tuseme wana vichwa vigumu kuelewa?
Chama
Gongo la mboto DSM

wewe hiyo mikutano ya dhaifu wenu inayotuletea foleni huku na kutafuna mali za uma imetusaidia nini? We box kweli mtatumika sana na huyo riz1 mwezako ila hamtaiweza cdm.
 
Welcome dr slaa, on every second in politics things change,it has been long time since then citizens are still waiting for you,karibu arusha feel at home not as home.
 
Who is Chama, hivi bado kuna vijana design hii Tanzania tena Dsm. Mbona huyu jamaa hajielewi. Eti campain za udiwani zisizinduliwa na SLAA, SASA ANATAKA KUKIPANGIA CHAMA. Aise Chadema inakimbia kutoa elimu ya urai vijijini kumbe town imeacha vilaza kibao,. Zinduka wewe.
 
Makamanda tupo tayari hawa wahuni wa ccm watapita wapi archuga ha ha wajisumbua viva M4C
 
Pamoja kamanda,
wanaohoji vipi mara kwa mara tatizo lenu ni nini?mnaogopa au?
Pamoja na kuambiw rais dr slaa anaenda kufungua kampeni za udiwani bado unakaza?
 
Ukweli husemwa:

Huko Arusha kuna nini?. Kila kukicha mikutano ya kisiasa. Mbona hata viongozi wa CDM wanaonekana kama hawana uhakika wa kisiasa na wananchi wa mkoa huu. Mimi nilifikili ni Ngome Kuu ya CDM au ndo yale ya Watanzania kuwa 'fickly' kisiasa.

Call it a political battlefield. Inaonekana kama vile Arusha hakieleweki.

magamba na mke wake wanaliaaa wamekalili misumali. Teh then teh teh!
 
Back
Top Bottom