Dr. Slaa: Kukimbia bunge hakusaidii

Slaa kumbe yupo, huyu mzee amepotea kabisa ktk local politics. Naona anaendelea kula pensheni kutoka upande wa pili. Billion 3
 
yeye mbona alikimbia kanisa,akaona aitoshi akakimbia mke pia akaona haitoshi,,akakimbia ccm,akaona haitoshi akakimbia chadema............kilichobaki akae kimyaaa kama mihogo imemuishia aseme.
 
Huyu naye hajitambui kabisa labda naye anataka ukuu wa wilaya maana njaa inazidi kumsumbua. Kuna faida gani ya Wabunge wa upinzani kuwemo Bungeni huku kila wanachotaka kukizungumza ndani ya Bunge wanazuiliwa kukizungumza kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu. Kufukuzwa kwa Wanafunzi 7,802 tukio ambalo lilistahili kabisa kujadiliwa Bungeni jipu tulia akazuia mjadala huo. Hotuba ya waziri kivuli wa mambo ya ndani ikazuiliwa pia kisa tu kuna suala la lugumi na MACCM wakaitaka kwanza waisome na kuamua nini kibaki katika hotuba ile na nini kiondolewe. Ni bora kukaa nje ya Bunge haramu kuliko kuwemo ndani huku mkiwa mmedhibitiwa na jipu Tulia akisaidiwa na polisiccm.


 
Yuko wapi huyu MTU? Nilidhani watu wenye elimu watatutoa hola, huyu msomi mwoga, alinunulika kwa kipande cha nnkate kakimbia ati, alitarajia nini?
 
yeye mbona alikimbia kanisa,akaona aitoshi akakimbia mke pia akaona haitoshi,,akakimbia ccm,akaona haitoshi akakimbia chadema............kilichobaki akae kimyaaa kama mihogo imemuishia aseme.
Du!
 
Well said
 
Kama Dr Slaa niliulaza CDM baada ya mafisadi kuingia na kupiga kambi.
 
Nafikiri dr slaa alisahau falsafa ya ccm kuwa wakishakutumia kuhujumu upinzani na lengo lao likafanikiwa basi wanaachana naye mara moja na mifano ipo wazi na wana jf wanawakumbuka kina ............... ambao leo hawajulikan walipo. Wao ccm wanaamini ukikubali kusaliti wenzio kwa fedha basi ipo siku utatumika kuwageuzia kibao hivyo dawa ni kukutupa kabisa. Namshauri asirud kwani atapata aibu
 
ndio nani?(in jotis voice)
 
e e! bado kuna mtu wa kumsikiliza huyu mkimbizi!! naye aonege aibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…