Urais hadi ubunge
Mwacheni babu apumzike hamchoki kumlisha maneno?Yerico kazimwa kama mshumaa lakini bado tu.mwenyewe kasema muda ukifika atasemaIngawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu chadema kwamba jimbo la segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CDM.
Tusubiri.
Shost.
Urais hadi ubunge
Urais hadi ubunge
kama ni ubunge labda Kawe kwa mdee ambaye anaweza kupta viti maalum kwa kuwa yeyeni mkiti wabawacha!
Naweza kuelewa kama intention ni kumpa PM!
hua sikurupukiKama wewe ndiye uliyepewa pesa uzipeleke kwa Dr. Slaa halafu hukuzifikisha ukidhani Dr. Slaa atasusa UKAWA imekula kwako .... jiandae kurudisha pesa za TISS
Kwahiyo Rais na PM wa UKAWA watatoka kanda moja ya kaskazini?!!
Ipi nafasi ya NCCR na NLD ktk ukawa iwapo rais atoke CDM,makamu CUF through CDM na PM nae atoke CDM?!!! Maana kikatiba tayari mgombea mwenza ni mwanachama wa CDM. Je hakutakuwa na mgawanyo wa madaraka?! Tukiacha habari ya ukandaKwani waliotoka Bagamoyo na sumbawanga wametusaidia nini na pamoja na kutoka sehemu tofauti? Haya mambovya v kugawana madaraka yapo ccm! Ndiyo maana baba mwanaasha alikuwa anahangaika kuta g uta mawaziri kubalance ukanda matokeo yake anakuja na vichwa maji tupuvili mradi tu eyi nao wapate waziri! UKAWA ni uwezo wa mtu siyo mambo ya ukanda na ndiyo maana wanataka katiba iwaondowe mawaziri kuwa wabunge na wawe wanaomba kazi kama kazi zinginee za umma! uko hapo?
From mtatiro, kasema hilo jmbo limeachiwa CDM ila hakumtaja nani anagmbea
Nyani haoni kundule!
Prof.Muhongo
J.Makamba
M.Nchemba
Nyarandu etc etc
Urais hadi ubunge
Kwahiyo Rais na PM wa UKAWA watatoka kanda moja ya kaskazini?!!