Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
from hero to zero
isingekua tamaa ya urais nilipenda iwe hivi
Prof.lipumba temeke
Dr.slaa kinondoni
Urais hadi ubunge
ACHENI kudanganyana .DR Slaa hana m pango wa kurudi chadema
Urais hadi ubunge
Tetesi za kijinga. Uteuzi katika vyama unaanza kwa kura za maoni kwa watu walioomba au kuonyesha nia ya kugombea. Mchakato huo umepita, sasa wewe unakuja na porojo yako mradi tu mmwekee maneno kinywani Dr Slaa! Alishawaomba msitumie jina lake, atakapokuwa tayari ataongea!Ingawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu chadema kwamba jimbo la segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CDM.
Tusubiri.
Shost.
Ingawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu chadema kwamba jimbo la segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CDM.
Tusubiri.
Shost.
Urais hadi ubunge
Safi sana kama and kweli.
Apeleke nguvu bungeni. Lipumba nae arudi aje kugombea ubunge.