Dr. Slaa kugombea jimbo la Segerea kupitia CHADEMA

Dr. Slaa kugombea jimbo la Segerea kupitia CHADEMA

inasemekana kwamba ukawa tukichukua dola Dr.Slaa atakuwa waziri mkuu coz bila kuwa mbuge hautaweza kuchukua huo wodifa.
 
Tetesi kuhusu BABU Dr.W.Slaa hazitakiwi kuaminika tena, yeye mwenyewe alishasema kuwa akihitaji kusema atasema mwenyewe, na sio kusemewa na vijana wa BAVICHA.
 
Last edited by a moderator:
Ingawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu chadema kwamba jimbo la segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CDM.

Tusubiri.

Shost.

Hapo ushindi ni lazima tena asubuhi na mapema sana.babu rudi ukawa tumemisi siasa zako hakika naamini mwaka huu ni wa mabadiliko makubwa aka mwaka wa matumaini
 
Ingawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu chadema kwamba jimbo la segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CDM.

Tusubiri.

Shost.

wamemdanganya kumpa uwaziri mkuu. ikulu wataishia kuisikia!
 
Hivi Josephine amemfugulia geti? Au Mzee slaa bado yuko likizo?
 
Tetesi kuhusu BABU Dr.W.Slaa hazitakiwi kuaminika tena, yeye mwenyewe alishasema kuwa akihitaji kusema atasema mwenyewe, na sio kusemewa na vijana wa BAVICHA.

We nn kinakuuma? Tulia dozi ikuingie vizuri dogo😉
 
Last edited by a moderator:
Naombea iwe kweli.
Natamani kumwona Dr. Slaa anarudi ulingoni.
 
Back
Top Bottom