General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,186
Ingawa bado haijadhibitishwa lakini ni chanzo toka kwa kada wa kamati kuu CHADEMA kwamba jimbo la Segerea ambalo lilipendekezwa liwe CUF ameachiwa Dr. Slaa kuipeperusha bendera ya chama chake CHADEMA.
Tusubiri.
Shost.
Tusubiri.
Shost.