Leo katika pitapita yangu nikakutana na sofa jekunde sehemu mahususi ya kumuapisha Raisi wetu Dr. wa ukweli ambaye alitakiwa kushinda kihalali katika jukwaa hili pale Kawe roundabout kwa Mh.Halima mdee
Leo katika pitapita yangu nikakutana na sofa jekunde sehemu mahususi ya kumuapisha Raisi wetu Dr. wa ukweli ambaye alitakiwa kushinda kihalali katika jukwaa hili pale Kawe roundabout kwa Mh.Halima mdee