ni kweli mkuu,kwenu nyinyi jipya ni kugawa t shirts,kanga,wali na kutisha wapinzani wenu kwa mapanga na mishale!Hana jipya huyu mzee.siasa imemshinda, arudi kumtumikia mungu.
Chadema walipohubiri hizi sera CCM walisema haiwezekani sasa leo ccm kuzihubiri inashangazahuyu mzee naye anajichanganya.anataka kutuambia kwamba kikwete huwa anazungumzia zaidi chadema kuliko ccm au kuliko mikakati,mafanikio nachangamoto zinazoikabili serikali! aache usanii aisee! au slaa hataki asikie akitajwa au chama chake kikitajwa na kikwete? kuhusu ccm kuchukuwa sera ya kusomesha wanafunzi bure,kwa hiyo kumbe anachotaka slaaa si watanzania wapate nafuu kwa kusomesha watoto bali anachotaka ni kupingana tu hata kama mwenzako anataka kufanya jambo la msingi?
si dhambi lakini inakuwa dhambi pale ulipoziponda na kusema haiwezekani. CCM ilisema elimu ya bure haiwezekani, leo watawezaje? Walisema kupunguza bei ya vifaa vya ujenzi haiwezekani, leo inachekesha wanakula matapishi yao. Na ukumbuke si kwamba wanafanya ila wanadanganya wakichaguliwa tena ndio watafanyahivi kuchukua sera za wapinzani kwa ajili ya kufanikisha maendeleo ni dhambi
Maskini babuuuu, pole sana kwa kuikosa ikulu. Cheki ulivyochoka. Umeishiwa mashairi sasa umebaki kujibu hoja za J.K. Mwanzoni ulifikiri ungefanikiwa kwa maandamano ikawa hola, migomo hola, m4c holaaa. Na bado utapanga vingi lakini vitaishia kuwa hola. Pole Dr. Slaa uongo wooote mara makontena ya kura sijui nini, watanzania wameng'amua ujanja na uongo wako uliokubuhu. Utaisoma mzee CCM hiyoooooooooo na bado hadi ujinyon*********e mwaka huu.
Mkuu Ritz
Kati ya Kambi ya Lowassa na Kambi ya Membe unaunga mkono Kambi ipi?
Kambi ya Zitto Kabwe.
Maskini babuuuu, pole sana kwa kuikosa ikulu. Cheki ulivyochoka. Umeishiwa mashairi sasa umebaki kujibu hoja za J.K. Mwanzoni ulifikiri ungefanikiwa kwa maandamano ikawa hola, migomo hola, m4c holaaa. Na bado utapanga vingi lakini vitaishia kuwa hola. Pole Dr. Slaa uongo wooote mara makontena ya kura sijui nini, watanzania wameng'amua ujanja na uongo wako uliokubuhu. Utaisoma mzee CCM hiyoooooooooo na bado hadi ujinyon*********e mwaka huu.
Kambi ya Zitto Kabwe.
Mkuu Ritz
Nimekuuliza kati ya kambi ya Lowassa na Kambi ya Membe mkuu wangu.Kwani Zitto yuko CCM? Umechanganya madesa mkuu wangu.
maskini babuuuu, pole sana kwa kuikosa ikulu. Cheki ulivyochoka. Umeishiwa mashairi sasa umebaki kujibu hoja za j.k. Mwanzoni ulifikiri ungefanikiwa kwa maandamano ikawa hola, migomo hola, m4c holaaa. Na bado utapanga vingi lakini vitaishia kuwa hola. Pole dr. Slaa uongo wooote mara makontena ya kura sijui nini, watanzania wameng'amua ujanja na uongo wako uliokubuhu. Utaisoma mzee ccm hiyoooooooooo na bado hadi ujinyon*********e mwaka huu.
huyu mzee naye anajichanganya.anataka kutuambia kwamba kikwete huwa anazungumzia zaidi chadema kuliko ccm au kuliko mikakati,mafanikio nachangamoto zinazoikabili serikali! aache usanii aisee! au slaa hataki asikie akitajwa au chama chake kikitajwa na kikwete? kuhusu ccm kuchukuwa sera ya kusomesha wanafunzi bure,kwa hiyo kumbe anachotaka slaaa si watanzania wapate nafuu kwa kusomesha watoto bali anachotaka ni kupingana tu hata kama mwenzako anataka kufanya jambo la msingi?
Chadema wanamnyima usingizi, badala ya kufikiria ni jinsi gani ataondoa rushwa kwenye chama chake, anapoteza muda kuwashambulia chadema.
Ilikuwa asubuhi ikawa jioni, CCM wakaondoka!!!