Hana jipya huyu mzee.siasa imemshinda, arudi kumtumikia mungu.
huyu mzee naye anajichanganya.anataka kutuambia kwamba kikwete huwa anazungumzia zaidi chadema kuliko ccm au kuliko mikakati,mafanikio nachangamoto zinazoikabili serikali! aache usanii aisee! au slaa hataki asikie akitajwa au chama chake kikitajwa na kikwete? kuhusu ccm kuchukuwa sera ya kusomesha wanafunzi bure,kwa hiyo kumbe anachotaka slaaa si watanzania wapate nafuu kwa kusomesha watoto bali anachotaka ni kupingana tu hata kama mwenzako anataka kufanya jambo la msingi?
Kweli kabisa Dr tatizo unaye mwambia hasikii kabisa!
Maskini babuuuu, pole sana kwa kuikosa ikulu. Cheki ulivyochoka. Umeishiwa mashairi sasa umebaki kujibu hoja za J.K. Mwanzoni ulifikiri ungefanikiwa kwa maandamano ikawa hola, migomo hola, m4c holaaa. Na bado utapanga vingi lakini vitaishia kuwa hola. Pole Dr. Slaa uongo wooote mara makontena ya kura sijui nini, watanzania wameng'amua ujanja na uongo wako uliokubuhu. Utaisoma mzee CCM hiyoooooooooo na bado hadi ujinyon*********e mwaka huu.
hivi kuchukua sera za wapinzani kwa ajili ya kufanikisha maendeleo ni dhambi
huyu mzee naye anajichanganya.anataka kutuambia kwamba kikwete huwa anazungumzia zaidi chadema kuliko ccm au kuliko mikakati,mafanikio nachangamoto zinazoikabili serikali! aache usanii aisee! au slaa hataki asikie akitajwa au chama chake kikitajwa na kikwete? kuhusu ccm kuchukuwa sera ya kusomesha wanafunzi bure,kwa hiyo kumbe anachotaka slaaa si watanzania wapate nafuu kwa kusomesha watoto bali anachotaka ni kupingana tu hata kama mwenzako anataka kufanya jambo la msingi?
sasa huyo anayewakejeli waliochukua ilani yao ana maana gani
Mleta mada ebu tueleweshe vizuri Dr Slaa kamwambia rais Kikwete aache kuishambulia Chadema au aache kuvishambulia vyama vya upinzani.
Dr Slaa umri unakwenda mpaka anajichanganya mwenyewe, sasa mbona Dr Slaa yeye kila siku anaishambulia CCM nani kamkataza. Sasa hivi atasema tena usalama wa taifa wanataka kumpa sumu.
Maskini babuuuu, pole sana kwa kuikosa ikulu. Cheki ulivyochoka. Umeishiwa mashairi sasa umebaki kujibu hoja za J.K. Mwanzoni ulifikiri ungefanikiwa kwa maandamano ikawa hola, migomo hola, m4c holaaa. Na bado utapanga vingi lakini vitaishia kuwa hola. Pole Dr. Slaa uongo wooote mara makontena ya kura sijui nini, watanzania wameng'amua ujanja na uongo wako uliokubuhu. Utaisoma mzee CCM hiyoooooooooo na bado hadi ujinyon*********e mwaka huu.