Dr.Slaa: Kichwa kimoja sawa na vichwa vyote CCM

Dr.Slaa: Kichwa kimoja sawa na vichwa vyote CCM

kagarara

Senior Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
118
Reaction score
9
Huyu ndo dr Slaa wa ukweli, ambaye jana akiongea na wasomi viwanja vya mabibo, amesema yuko tayari kupimwa akili kwan inashangaza kuona kichwa chake kimoja kinazid vichwa vyote vya ccm. Hii imetulia na ni ukwel mtupu!
 
Huyu ndo dr Slaa wa ukweli, ambaye jana akiongea na wasomi viwanja vya mabibo, amesema yuko tayari kupimwa akili kwan inashangaza kuona kichwa chake kimoja kinazid vichwa vyote vya ccm. Hii imetulia na ni ukwel mtupu!

Mbavu sina!
 
Huyu ndo dr Slaa wa ukweli, ambaye jana akiongea na wasomi viwanja vya mabibo, amesema yuko tayari kupimwa akili kwan inashangaza kuona kichwa chake kimoja kinazid vichwa vyote vya ccm. Hii imetulia na ni ukwel mtupu!

wanataka(ccm) wapime akili zake kwa sababu hata yeye(slaa) anahisi ziko maili 100 mbele zaidi ya watu wa CCM.

jamaa kichwa kama mourinho.

kila kijembe anachotupiwa lazima akitolee jibu on the spot bila kuangalizia
 
Jamaa ninoma,Jana kasema hamlaumu sana JK b'coz elimu ya JK ipo kwenye certificate.
 
Huyu jamaa anawaendesha sana yaani kila mtu anapayuka kule CCM karibia watu wote CCM wanagombana na mtu mmoja tu kuanzia mwenyekiti wao hadi wanachama
 
Tatizo la sisi wanaccm hatukubali kushindwa so tunatumia nguvu nyingi na hii ni kutokana na mbegu mbaya tulizopanda tangu awali sasa zimeshindwa kumea so tunavuna tulicho panda,nadhani mabadiliko ni muhimu tumechoka wanaccm kuongozwa kwa matukio ya mzee makamba

mapinduziiii daimaaaaaa:A S-fire1::kev:
 
DR slaa ni machine ya kusaga na kukoboa . CCM hawana ubavu wa ku simama naye . Refer to the last election . CCM bado wanatibu majeraha na sijui kama watapona . You wait and see what will come with Dowans . I hope Utawala wa JK utakwisha kabla ya 2015.
 
Na majeraha waliyonayo ni makubwa sema wanajitahidi kuyafichaficha
 
Kama samson alivyowahangaisha wafilisi!
 
Huyu ndo dr Slaa wa ukweli, ambaye jana akiongea na wasomi viwanja vya mabibo, amesema yuko tayari kupimwa akili kwan inashangaza kuona kichwa chake kimoja kinazid vichwa vyote vya ccm. Hii imetulia na ni ukwel mtupu!
UVCCM wameona hiki kichwa si cha kawaida lazima kipimwe maana ni sawa na CC nzima ya CCM, hata Newton kwa waliosoma Physics watu wa enzi yake walitaka apimwe akili kwa vile alikuwa si wa kawaida.
 
Nina wasi wasi na akili za Alhaji shekhe mufti dr Mkwere!
 
Nina wasi wasi na akili za Alhaji shekhe mufti dr Mkwere!
Kaambiwa na PhD wa ukweli kuwa akili zake ziko kwenye certificates akiona ukuta umejaa vyeti anafikiri ndiyo akili nyingi, ha ha haaa.
 
Nimelipenda jibu zuri la Dr Slaa.Kwa jibu hili imejidhihirisha wazi kuwa the guy ni kichwa cha kuotea mbali..
 
na mficha maradhi kilio humuumbua!!!!

Amani yetu inatumiwa vibaya.

Mkuuu kamuzu hapo nafikiri umewastahi kidogo maana kilio kinaweza kuwa kwa sababu ya maumivu, ilitakiwa kuwa mficha maradhi kifo humuumbua!!!!
 
Back
Top Bottom