Dr Slaa katika ubora wake

Dr Slaa katika ubora wake

Dar, CCBRT, Dr Mihigo Slaa akiwa Mwenyekiti WA Baraza la wadhamini CCBRT, nafikiri Ni 2013, sina hakika, kabla hajatangaza dau lake na kununulika!!

Acha uongo ni Jana hiyo.
 
dr. slaa kama ana hepatic carcinoma, yaani cancer kabisa ya inii.... trust me....soon anakufa kama mchungaji mtikila




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.
 
Picha imepigwa juzi CCBRT, babu yupo kama anaogopa, kama anataka kujificha nyuma ya kikwete

jk bana,kama hamjui vile,,,,chadema mmemfanyia kitu si kizuri slaa,,,,kweli shukrani ya mbowe ni mateke asee,,,,,no i mean shukrani ya punda ni mbowe,,,,,,,,,mh,,,,,,shukrani ya mateke ni punda......duh...!!
hizi mehali za zamani zinachanganya sana
 
Mbna li dr.mihogo toka ale bilion za ccm amekuwa na sura ka sheta

Eti huyu ndo padri
 
Uso unaonesha stress. Huyu mzee ana msongo mkubwa wa mawazo. Poor Old frustrated man
 
Sijui ni macho yangu, naona kama Dr. Slaa kapungua sana! Kuishi na kuongea tofauti na unacho kiamini wanaweza watu wa ccm tu.
 
Huyu mzee hana jipya muacheni apumuzike
 
Mwaka huu ni mwaka wa maamuzi
 
Hilo sharti ni macho yangu au..mbona kama lipo oversize?....
 
Hilo sharti ni macho yangu au..mbona kama lipo oversize?....
 
Back
Top Bottom