Kwako Dr,
Nchii hii bado inakuhitaji sana. Ni dhahiri hao Chagadema hawakuhitaji tena; Zezeta lenye pesa zake limeshanunua sio tu chagadema bali ukawa yote; nacheka kila siku nikikiona hicho ki salum mwalimu kikijifanya kuvaa viatu vyako.
Hakina uzoefu wowote wa kuratibu siasa hasa za kipindi cha uchaguzi; hakina elimu na upeo wa kutosha; hakika kitavuruga uchaguzi huu kila kona, na Chagadema kama chama hakitapata wabunge wengi kama kinavyodhani.
Ni kijibaraka cha Mbowe; Na hakimjui born town Freeman vizuri mzee wa Mega deals, na baada tu ya uchaguzi mkuu; kitasahaulika kabisa kabisa kisiasa. Bora Mnyika alivyoamua kukaa kimya.
Karibu ACT Dr, tangaza mali zako; njoo tukijenge chama kwa ajili ya upinzani wa ukweli baada ya october 2015.
Tena mstue na Professor Lipumba mje wote( wazee wa Ukawa asili).
Wasalaaam;
Mkonozi.
Nchii hii bado inakuhitaji sana. Ni dhahiri hao Chagadema hawakuhitaji tena; Zezeta lenye pesa zake limeshanunua sio tu chagadema bali ukawa yote; nacheka kila siku nikikiona hicho ki salum mwalimu kikijifanya kuvaa viatu vyako.
Hakina uzoefu wowote wa kuratibu siasa hasa za kipindi cha uchaguzi; hakina elimu na upeo wa kutosha; hakika kitavuruga uchaguzi huu kila kona, na Chagadema kama chama hakitapata wabunge wengi kama kinavyodhani.
Ni kijibaraka cha Mbowe; Na hakimjui born town Freeman vizuri mzee wa Mega deals, na baada tu ya uchaguzi mkuu; kitasahaulika kabisa kabisa kisiasa. Bora Mnyika alivyoamua kukaa kimya.
Karibu ACT Dr, tangaza mali zako; njoo tukijenge chama kwa ajili ya upinzani wa ukweli baada ya october 2015.
Tena mstue na Professor Lipumba mje wote( wazee wa Ukawa asili).
Wasalaaam;
Mkonozi.