Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Duh! Hii imekaje? hebu fafanua zaidi.Slaa's very disappointing on the podium
Duh! Hii imekaje? hebu fafanua zaidi.Slaa's very disappointing on the podium
Duh! Hii imekaje? hebu fafanua zaidi.
Hakika yalikuwa maneno mazito yalijaa hekima, busara na moyo wa kumcha Mungu. Kabisa! Hata mimi yalinigusa sana.Key words to NOTE from Dr. W. Slaa
........Watanzania mkinipa ridhaa ya kuongoza.............Jambo la kwanza ninawaomba Mtuombee Duwa ili atupe hekima ya KUONGOZA NA SI KUTAWALA kama walivyofanya wenzetu...................
Mwaka huu JK ataupata Urais kwa jasho, hatapewa kwenye sahani bila kuutolea jasho. Hakuna cha ushindi wa tsunami wala nini.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dkt.Wilbrod Slaa, akizungumza na wakazi wa Dar es Salaam waliofika katika viwanja vya Jangwani kumsikiliza.
Nasema hivi, gathering ya Dar ilivyo, kwa kweli wameshamshtukia kuwa ni mbabaishaji. Huyu Slaa
Nilidhan we CCM,kumbe hata Kampeni bado hamjaanza..duSubirini tuanze kampeni. Niwafungue macho yenu muone nyuchi (uchi) zao.
Duh! I don't know of what happended right now! But I gave all the weaknesses of slaa, Mod have have removed them!. strange as it is! I previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I never knew that it is a platfom where Chadema dare talk openly! And for the same reasons, I will never be back on this platform. However, at this juncture, I have no means to convince you that Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all. Keep on dreaming and goodluck
It all depends BAK. Wakipangwa wababaishaji mia, mmoja atakuwa kiongozi wao. Slaa anaweza kuwa kwa hii stage
Go join Michuzi's blog where you can talk nonsense and be cheered just as you cheer when Kikwete talks nonsense.Duh! I don't know of what happended right now! But I gave all the weaknesses of slaa, Mod have have removed them!. strange as it is! I previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I never knew that it is a platfom where Chadema dare talk openly! And for the same reasons, I will never be back on this platform. However, at this juncture, I have no means to convince you that Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all. Keep on dreaming and goodluck
Aha Kibunango Upo ? ama kweli Mmungu kadiri ,wengi wetu wahaka ulitungia na kujiuliza yuwapi huyu kiumbe wake ?kampeni ndio zimeanza hizo ,hebu tupe kidogo mtazamo wako jungu kuu halikosi ukoko.Duh! Hii imekaje? hebu fafanua zaidi.
Picha ya pili hao ni wapemba wa kafu wanamsikiliza mwalimu sefuMkutano wa Dr.Slaa kutafuta wadhamini Zanzibar
Kwanini utushawishi kwamba Dr. Slaa hafai kuwa rais ila anafaa kuwa Mbunge? Inakuwaje mtu afae kuwa Mbunge lakini asifae kuwa Rais? Sifa za wagombea wa nafasi hiyo ni zile zile, kasoro umri tu. After all, wewe ni nani mpaka utuambie kwamba hafai? Hoja zako za kum-disqualify Dr. Slaa hazina mashiko hata kidogo, sana sana naona ni uzushi.
Mwisho kabisa, naona Dr. Slaa ni tishio kwa Kikwete na ndio maana umekazana kwamba anafaa akagombee Ubunge ili Kikwete apate mteremko. Mwaka huu JK ataupata Urais kwa jasho, hatapewa kwenye sahani bila kuutolea jasho. Hakuna cha ushindi wa tsunami wala nini.