Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Kwani JK wakati anaingia Ikulu 2005 aliacha kipya gani Chalinze? Eleza japo viwili tu.............. Karatu hana lolot jipya kaleta. Yaaani hana mpya yoyote....
Kukusaidia tu, JK amekuwa mbunge wa Bagamoyo (chalinze iliwepo) kwa miaka ishirini.
1. Aliacha shule moja ya serikali (Lugoba Sec ambayo yeye alisoma middle School)
2. Kituo cha afya kibovu, hakina gari, tabibu wala dawa
3. Shule za Msingi 11 kwenye jimbo lenye kata 6
4. Vijana wakipoteza mwelekeo, wengi wakikimbilia kuuza korosho barabarani na kutengeneza magenge ya wezi na majambazi
5.Barabara za vijijini zisizopitika iwe kiangazi au wakati wa Masika
6
7
8
Kulinganisha Miaka 15 ya Rais Slaa Karatu na miaka 20 ya JK Chalinze ni sawa na kulinganisha umakini na Usanii