Dar hamna kitu. wamemshtukia kuwa mbabaishaji tu
Nasema hivi, gathering ya Dar ilivyo, kwa kweli wameshamshtukia kuwa ni mbabaishaji. Huyu Slaa
Nasema hivi, gathering ya Dar ilivyo, kwa kweli wameshamshtukia kuwa ni mbabaishaji. Huyu Slaa
Nasema hivi, gathering ya Dar ilivyo, kwa kweli wameshamshtukia kuwa ni mbabaishaji. Huyu Slaa
Sijui nani kajidhihirisha kwamba ni mbabaishaji mbele ya Watanzania kati ya Dr Slaa na Kikwete.
It all depends BAK. Wakipangwa wababaishaji mia, mmoja atakuwa kiongozi wao. Slaa anaweza kuwa kwa hii stage
Duh! I don't know of what happended right now! But I gave all the weaknesses of slaa, Mod have have removed them!. strange as it is! I previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I never knew that it is a platfom where Chadema dare talk openly! And for the same reasons, I will never be back on this platform. However, at this juncture, I have no means to convince you that Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all. Keep on dreaming and goodluck
Kwanini utushawishi kwamba Dr. Slaa hafai kuwa rais ila anafaa kuwa Mbunge? Inakuwaje mtu afae kuwa Mbunge lakini asifae kuwa Rais? Sifa za wagombea wa nafasi hiyo ni zile zile, kasoro umri tu. After all, wewe ni nani mpaka utuambie kwamba hafai? Hoja zako za kum-disqualify Dr. Slaa hazina mashiko hata kidogo, sana sana naona ni uzushi.
Mwisho kabisa, naona Dr. Slaa ni tishio kwa Kikwete na ndio maana umekazana kwamba anafaa akagombee Ubunge ili Kikwete apate mteremko. Mwaka huu JK ataupata Urais kwa jasho, hatapewa kwenye sahani bila kuutolea jasho. Hakuna cha ushindi wa tsunami wala nini.
Wewe Keil, hujui unaongeaje na unaongea katika hanga hizi. Ni hiari yako, anyway. Lakini jamaa yenu Slaa kwisha bin mufulisi. Karatu hana lolot jipya kaleta. Yaaani hana mpya yoyote. Ataaibika sana na kupoteza umaarufu wake wa bungeni hivi hivi. Chukua maneno yangu. Si kweli kwamba CCM ni mafisadi, ila kuna watu mafisadi ambao wanashughulikiwa squarely right now. Wanachama wa Chadema ni mafisadi zaidi. Yeye mwenyewe Slaa, Mbowe na wenzake wakina Komu just to mention a few. Nitawapa mafile yao soon. Subirini tuanze kampeni. Niwafungue macho yenu muone nyuchi (uchi) zao.
Kanyafu Nkanwa Never say NeverI previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I will never be back on this platform.
This is great, mmeanza kukiri mmoja baada ya mwingine, kwamba the man is great, hilo ni joto tu bado moto unakuja.Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all.