Duh! I don't know of what happended right now! But I gave all the weaknesses of slaa, Mod have have removed them!. strange as it is! I previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I never knew that it is a platfom where Chadema dare talk openly! And for the same reasons, I will never be back on this platform. However, at this juncture, I have no means to convince you that Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all. Keep on dreaming and goodluck
Kwanini utushawishi kwamba Dr. Slaa hafai kuwa rais ila anafaa kuwa Mbunge? Inakuwaje mtu afae kuwa Mbunge lakini asifae kuwa Rais? Sifa za wagombea wa nafasi hiyo ni zile zile, kasoro umri tu. After all, wewe ni nani mpaka utuambie kwamba hafai? Hoja zako za kum-disqualify Dr. Slaa hazina mashiko hata kidogo, sana sana naona ni uzushi.
Mwisho kabisa, naona Dr. Slaa ni tishio kwa Kikwete na ndio maana umekazana kwamba anafaa akagombee Ubunge ili Kikwete apate mteremko. Mwaka huu JK ataupata Urais kwa jasho, hatapewa kwenye sahani bila kuutolea jasho. Hakuna cha ushindi wa tsunami wala nini.
walau chonga hicho kimombo basi! Utathubutje kukosea kuanzia lugha, hoja na ukweli wa mambo!?
Hiki ni nini sasa? Kwa kweli kama akili za wanaCCM wote ndo zipo kama hizi za kwako na MS, basi si ajabu kwa nchi kuwa maskini. Mtakaa mpange nini cha maendeleo ya nchi kama uwezo wenu wa kuchambua mambo ndo huu? Yale yale ya mbayuwayu..... akili za kuambiwa.....Khaa!! Huyu naye sijui kaibukia kutoka wapi na kimombo chake! Haya, kama hicho chako ni bora zaidi hongera sana. Mimi nipo nipo sana na nitakuwepo zaidi.
Kuchemsha kwako kumenikumbusha point muhimu sana. Chadema kuna nepotism ya hali ya juu kabisa. Leo Nime-retrieve files kibao kuthibitisha. Hii karata ni moja ya mbaya kabisa kukosa kura hasa kwa sisi wa mikoani ambao tuna chama letu la nguvu linaitwa Mwandosya. Anayepinga apinge kwa hoja, siyo kwa kidhungu kama huyu hapo juu au kwa kelele kama pombe shop.
Slaa's very disappointing on the podium
Hiki ni nini sasa? Kwa kweli kama akili za wanaCCM wote ndo zipo kama hizi za kwako na MS, basi si ajabu kwa nchi kuwa maskini. Mtakaa mpange nini cha maendeleo ya nchi kama uwezo wenu wa kuchambua mambo ndo huu? Yale yale ya mbayuwayu..... akili za kuambiwa.....
Haya mkuu. Subiri mtu aje achukue pesa za mafisadi awapeni. Sina ziada.
Wewe Keil, hujui unaongeaje na unaongea katika hanga hizi. Ni hiari yako, anyway. Lakini jamaa yenu Slaa kwisha bin mufulisi. Karatu hana lolot jipya kaleta. Yaaani hana mpya yoyote. Ataaibika sana na kupoteza umaarufu wake wa bungeni hivi hivi. Chukua maneno yangu. Si kweli kwamba CCM ni mafisadi, ila kuna watu mafisadi ambao wanashughulikiwa squarely right now. Wanachama wa Chadema ni mafisadi zaidi. Yeye mwenyewe Slaa, Mbowe na wenzake wakina Komu just to mention a few. Nitawapa mafile yao soon. Subirini tuanze kampeni. Niwafungue macho yenu muone nyuchi (uchi) zao.
Dar hamna kitu. wamemshtukia kuwa mbabaishaji tu
Kama ume quote maneno uwe unasema, kwa mfano hayo kwenye red yametamkwa na nani au ni komenti yako.''Ndugu wananchi Kikwete alikataa kura laki tatu na nusu za wafanyakazi pasipo kufanya mahesabu vizuri. hawa wafanyakazi kama ni mwanaume ana mke na kama ni mwanamke ana mume hivyo kakataa kura laki saba. Hawa nao wana watoto waliofikisha umri wa kupiga kura, wana wazazi ndug na jamaa wanawategemea kwa hali ya familia zetu za kiafrika. Tukijumlisha na kuzidisha hapo tunagundua Kikwete kakataa millioni sita na ushee. Sisi Chadema waheshimiwa wafanyakazi na wananchi kwa ujumla tunazihitaji tupate kuwapigania. Naziombeni hizo kura alizokataa Kikwete nipate kuwatumikia kwa uadilifu.''
Kwani wewe uko nchi ambayo ni tajiri na wewe ukiwa tajiri? Ni hiyo akili inakufanya uwe umaskini binafsi, ukisubiria Slaa akupe utajiri. Utaota sana njozi za mchana. Una hoja tuijadili hapa?!
Kanyafu Nkanwa
Senior Member Join Date Thu Jul 2010
Location Kaporogwe Falls, in Scenic Rungwe Escarpments, close to Kiwira River
Posts 239
Thanks : 53
Thanked 56 Times in 37 Posts
Mkuu, unaonaje ukiongea kiswahili tu ukaeleweka vizuri? Ukiandika kiingereza kibovu kama hiki watu wanaweza wakashindwa kuelewa kama uko seriousDuh! I don't know of what happended right now! But I gave all the weaknesses of slaa, Mod have have removed them!. strange as it is! I previoulsy have an idea that JF is a platform where we dare talk openly. I never knew that it is a platfom where Chadema dare talk openly! And for the same reasons, I will never be back on this platform. However, at this juncture, I have no means to convince you that Slaa he is unfit for anything except for MP position. The mass of Tanzania know it all, and we know it all. Keep on dreaming and goodluck