Nafikiri hata list za magazetini huwa zinatolewa na watu is not a computerized research.
Huwa siziwezi ligi za namna hiyo am not of that caliber sorry to say this.
Big up first lady. Umewapatia jibu la ukweli. Jamaa wacha ajidhalilishe kwa kusikiliza mashauri ya ccm hayatamsaidia kitu. Mbona hawamsemi Kikwete aliyejaza wake na vimada kila kona ya nchi hii. Yaani hata vianafunzi!Pamoja na yote,Siangalii sana majadiliano yenu,my point ni kwa watu wanaoendelea kushikilia bango kuwa ameiba mke wa mtu.
i don't beg you to stop it but you should mind your own business on this,hakuna mtu anayeyajua vizuri maisha yangu ya ndoa except me.
Swala la kuibiwa mnalizungumza ninyi,am not a child kuibiwa and i have wright to decide my own life and as a woman am not ready to allow mgandamizo katika maisha ati kwa sababu ya sheria ya ndoa.
I told you i decided to quite and i will continue with my new love.NO Body can change this.
Kabla hujahukumu toa boriti kwenye jicho lako mwenyewe.
Thank you saaaaaaaana, ila hapo kwenye red, He got more than 10mil votes, tuliibiwa, hizi 2mil baada ya uwizi wa NEC & CCM, no dought he is the Greatest ever leader no one can change that, he is a hero in genaral
Man of God
Hivi unaweza kumpima vipi mtu kuwa ni Man of God?
Dedicated to the people of Tanzania,
Raised people's self awareness,
Raised his political party from bottom to second top,
First person from opposition party to get more than 2mil. votes in a single election,
He fears no body except God-list of shame,
Man of the Bunge (2010),
Making ruling party work, sleepless,
He is ready for change,
He loves Tanzania and its people 'from his heart',
Man of peace,
Man of no tribe,
Man of no religion,
Man of no groups,
Man of no classes,
He is everywhere-reachable-even here,
Loves wealth of his nation,
He wants all people of Tanzania to share its wealth and fruits,
Forgiveness,
...........
...........
Man of God.
l dont think he does not deserve to be MAN OF THE YEAR.
Wana JF,
i) Nawashukuru sana wote. Wenye kusifu na wenye kutukana. Katika yote kuna jambo la kujifunza.
ii) Namshukuru sana zaidi Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kufikia mwisho wa 2010. Natumaini atatufikisha dakika ya mwisho ya 2010 na kutuchagua kuona 2010.
iii) Wakati huu ni wakati wa kutafakari, nini nitalifanyia Taifa langu na watu wake. Haya mengine yote ni ya ziada. Nisingelipenda sana kusifiwa kwani Mungu tu ndiye mwenye kujua nafsi ya Mtu, na ndiye mwenye kuona yote hata yaliyojificha chini ya Ardhi.
iv) Kwa wote wenye kutumia muda wao kuandika mawazo yao, mazuri au vinginevyo, Mungu awabariki, awape afya na nguvu tele kutekeleza mapenzi ya Mungu. Sina baya na yeyote na nisingelipenda kufikiria baya kwa yeyote kwa vile wote ni watoto wa Mungu mmoja, mwema, mjua yote na mkarimu kwa kila mmoja wetu. Heri sana kwa wana JF wote kwa 2011.
Asante sana Dr.Slaa kwa comment yako hasa nilipo-bold "Don't ask what your country can do for you, ask instead what you can do for your country" ,Ingawa umesema hupendi kusifiwa but i think you deserve.Wana JF,
i) Nawashukuru sana wote. Wenye kusifu na wenye kutukana. Katika yote kuna jambo la kujifunza.
ii) Namshukuru sana zaidi Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha kufikia mwisho wa 2010. Natumaini atatufikisha dakika ya mwisho ya 2010 na kutuchagua kuona 2010.
iii) Wakati huu ni wakati wa kutafakari, nini nitalifanyia Taifa langu na watu wake. Haya mengine yote ni ya ziada. Nisingelipenda sana kusifiwa kwani Mungu tu ndiye mwenye kujua nafsi ya Mtu, na ndiye mwenye kuona yote hata yaliyojificha chini ya Ardhi.
iv) Kwa wote wenye kutumia muda wao kuandika mawazo yao, mazuri au vinginevyo, Mungu awabariki, awape afya na nguvu tele kutekeleza mapenzi ya Mungu. Sina baya na yeyote na nisingelipenda kufikiria baya kwa yeyote kwa vile wote ni watoto wa Mungu mmoja, mwema, mjua yote na mkarimu kwa kila mmoja wetu. Heri sana kwa wana JF wote kwa 2011.
Hakuna kitu hapa umempamba sana.
Hizi sifa ni za manabii tu sio Slaa hafikii hata robo ya robo ni mtu wa kawaida tu tena ana dhambi sana kuchukua mke wa mtu ni dhambi kubwa sana.
huyu ni Moto tu kwa Mungu.
Dedicated to the people of Tanzania,
Raised people's self awareness,
Raised his political party from bottom to second top,
First person from opposition party to get more than 2mil. votes in a single election,
He fears no body except God-list of shame,
Man of the Bunge (2010),
Making ruling party work, sleepless,
He is ready for change,
He loves Tanzania and its people 'from his heart',
Man of peace,
Man of no tribe,
Man of no religion,
Man of no groups,
Man of no classes,
He is everywhere-reachable-even here,
Loves wealth of his nation,
He wants all people of Tanzania to share its wealth and fruits,
Forgiveness,
...........
...........
Man of God.
l dont think he does not deserve to be MAN OF THE YEAR.
Asante sana Dr.Slaa kwa comment yako hasa nilipo-bold “Don’t ask what your country can do for you, ask instead what you can do for your country” ,Ingawa umesema hupendi kusifiwa but i think you deserve.
Niliposema you are everywhere kuna mtu aliniuliza 'everywhere ni wapi' nafikiri jibu kalipata, thanks.