Man of coveting someone's wife!
Luteni is this an issue we should be discussing here? you want debate in this matter or just information!
ok, I agree with you a man of the year! kupora mke wa mwanaume mwenzake wazi wazi yahitaji ungangari ati! padre!
Wengi wenu mngekutana nae uso kwa uso wala msingekuwa na ubavu wa kumwambia mnayoandika hapa! Yeye na mwenzake wameweka majina yao halisi basi na nyie mfanye hivyo hivyo ili kukata mzizi wa fitna. Mnatia aibu sana.
Amandla.......
tunamkubali na tulimpigia kura.
Kwani tumekwambia sisi muslims hatuitaji mabadiliko!
Alichotuboa ni hiyo ishu ya mke wa mtu lakini wengine tuliona ni mambo binafsi na kila mtu ana weaknesses zake sio dr tu. Hata hivyo jamaa alikuwa wapi siku zote asilalamike aje kulalamika kipindi cha kampeni!! Niliona ni kamchezo hapo.
That is spiritual insult to Dr. Slaa, as if ur a saint & asking if Dr Slaa is man of God, u r religious prostitute even physically i hope so.
This is shows how hypocrite u r, idiotism dominates ur mind & soul till to hell, pure & simple