ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
kupumzika siasa ni jk,kila kitu ni kuambiwa..Slaa lately amekuwa mtu wa kujiabisha sana.
Nadhani baada ya watu kujua ufisadi wake sasa anajitahidi kutafuta njia nyingine ya kutoka, lakini mwisho wake anaharibu!
Kuna watu walimshauri apumzike siasa akakubali ila Josephine ndio anamshinikiza kuendelea na siasa kwa sababu anadhani kuna siku atakuwa first lady!!!