Dr. Slaa hatimaye aibuka

Dr. Slaa hatimaye aibuka

"DK SLAA amefunguka kwamba dakika za mwisho MBOWE aliwaburuza na kulazimisha tumpokee LOWASA , hapo nikaona nikae pembeni. muda si mrefu nitaitisha press confrence kwani watu wanapotosha sana kuhusu mimi DK SLAA."
sioni maneno ya dr slaa, Illa nakuona wewe ndio unasema.
 
dr. Slaa yuko honey moon...!!!

Aendelee na honey moon, hatuna muda wa kubembelezana...mwanaume hadeki, habembelezwi...lowassa ndio kila kitu, tushaamua...!!!

Dr. Slaa anajiona yeye ndio yeye tu, au mtakatifu fulani hivi, of which he is not at all...!!! Atambae tu...nn bana...!!!

du hii hatar
 
Mambo yatakaa sawa. Ni imani kuwa Dr Silaa anatumia busara na wala hakuna sababu ya kuweka watu katika tension. ni lazima tumpe nafasi yeye atamaliza yote. Mungu yupo pamoja nae.
 
Tena anachelewa kuondoka maana hatuna muda wa kusubiri mtu mwezake Lipumba ameshaondoka na hakuna aliyemfuata ukombozi wa kuondoa Kaburu ndiyo unaohotajika
 
"DK SLAA amefunguka kwamba dakika za mwisho MBOWE aliwaburuza na kulazimisha tumpokee LOWASA , hapo nikaona nikae pembeni. muda si mrefu nitaitisha press confrence kwani watu wanapotosha sana kuhusu mimi DK SLAA."

Mijadala ya slaa ilishafungwa ukawa tupo pamoja slaa ni kama tone kwenye bahari.
 
kaa pembeni milele usituletee story zile zile kila siku.lowasa anashida gani huoni jinsi ukawa unavyo zidi kupata nguvu.shida yako wewe slaa ulikuwa unataka urais.kaa mbali kabisa ccm wakununue.
 
Huyumzee ninamuheshimu sana apumzike kwa amanitu.

Asijaribu kuzuiya mafuriko, yata mzoa.
 
"DK SLAA amefunguka kwamba dakika za mwisho MBOWE aliwaburuza na kulazimisha tumpokee LOWASA , hapo nikaona nikae pembeni. muda si mrefu nitaitisha press confrence kwani watu wanapotosha sana kuhusu mimi DK SLAA."

"DK SLAA amefunguka kwamba ASSADSYRIA3 sio msemaji wake na chochote atakachosema kuhusu yeye ni upoteshaji hivyo tukipuuze mpaka hapo atakapoitisha press conference"
 
CHANZO: NIPASHE


Mytake: Kauli hizi za Dr. Slaa zinazidi kuonesha namna gani baadhi ya viongozi na wasemaji wa CHADEMA wanavyojribu kuwahadaa Watanzania kuhusu Sakata la Mwanasiasa huyu tegemeo kabisa katika CHADEMA. Sote tunaothamini mchango wa Dr. Katika kukijenga chama hatuna budi sasa tuachane na habari za hawa watu na tusubiri kauli ya Dr. Slaa mwenyewe.

Kauli ya Dr. Slaa imekuja wakati tayari zilishatolewa taarifa mbalimbali na viongozi na wasemaji wa Chadema kuhusiana na sakata hili, taarifa ambazo kwa kauli hii ya Slaa ni wazi zilikuwa ni za kuwahadaa watanzania. Kauli hizo ni pamoja na:

1. Dr. Slaa ameamua kupmzika, akiwa tayari atajiunga nasi-FREEMAN MBOWE

2. Dr. Slaa kukutana na Secretarieti ili kupanga mikakati ya ushindi ya UKAWA-YERIKO NYERERE

3. DR. SLAA atazindua Kampeni za UKAWA-JOHN MNYIKA n.k

Ok twamsubiri
 
kaa pembeni milele usituletee story zile zile kila siku.lowasa anashida gani huoni jinsi ukawa unavyo zidi kupata nguvu.shida yako wewe slaa ulikuwa unataka urais.kaa mbali kabisa ccm wakununue.

Wanaondoka wasafi wanazama wachafu alafu bado unajisifia ..hiyo ndo CCM B mkuu ukubali ukatae
 
Unajua chadema wanadhani kuwa UKAWA ni yao wakati hayo ni makubaliano ya wapinzani!,pili hawakumbuki pia hawajui walio against lowassa,wale wa prof lipumba,na dk slaa ndio watawaangamiza! kutokana na kujichanganya kwao!,tatu,vijana wengi hawawaeshimu wazee na wanawake! hao hakika hawawapi UKAWA (ya lowassa) kura!,bomu la mwisho vijijini watu hawapo tayari kwa utata wa serikali tatu(tishio la muungano!),alafu Watu wanajiuliza CUF ikishinda visiwani,chadema bara! ilani ipi itaongoza nchi! kwa sababu ukawa sio chama cha siasa!
 
Kitu cha msingi CCM iondoke madarakani. CCM imejifanya ina hati miliki ya hii nchi na inapuuza maoni ya wananchi. Unabii wa mwalimu Nyerere ndio unatimia wasione kuna mchawi. Ni muda wa mabadiliko.
 
Dr s. Anamaadili na anajitambua..... Kama 2010 mbowe na wabunge wa chadema walitoka bungeni wakidai dr silaa alishinda uchaguzi ila akaibiwa kuraa kwanini safariii hiii asiweze kushindaaa amaa walitudanganyaaa au deal la billion 10 ni la ukweli kwa kamanda wa angaa. Mzee wa mabisinessss

Tusijidanganye, sumu haionjwi. Kuna faida gani kumpitisha mgombea ambaye mna hakika anakwenda kushindwa endapo kuna mtu hapo jirani ambaye mnaona kabisa kwamba ana uwezo wa kusaidia chama kishinde. CCM iliyokamilika wagombea wote wa UKAWA ukimuondoa Lowassa hakuna anayemuweza Magufuli, ukweli ndiyo huo. Advantage ya Lowassa ni kwamba ametoka CCM na wafuasi, hivyo anapunguza kura za CCM na kuongeza kura za UKAWA. Dr akubali kuungana na wenzake kwani UKAWA wakishinda vyeo viko vingi, asirudie makosa aliyoyafanya profesa atapata aibu, watu wanachotaka ni kuiondoa CCM madarakani kwa kutumia silaha yeyote halali itakayoonekana.
 
Back
Top Bottom