MWANAHAKI unaonekana ni mgeni wa siasa za Tanzania ,ushindi wa CCM hautegemei kupigiwa kura ,hilo kwanza napenda ulifahamu kabisa na uliweke kama akiba pindipo matokeo hayatakufurahisha kwani unaweza kupata maradhi ya ghafla.
Ningependa pia ufahamu kuwa wananchi wengi sana bado wanaimani na CCM kwani wanafaidika nayo kama ulivyomti ,shina matawi na majani ndivyo hivyo majani ni hao wananchi ambao huna la kuwambia ,watakuja kwenye mikutano yako wataishambulia CCM lakini yote hayo kura yao bado wataipeleka CCM na kukuwacha wewe ukiwa na kubaki na kilemba cha ukoka kwamba ni chama kinachopendwa sana na chenye muamsho na mvuto.
Kwa kukukatisha tu usijipe tamaa ya ushindi hata kidogo na si wewe bali na wengine wote wale wenyetatizo kama lako kuwa CHADEMA itaibuka mshindi ,maana kama ni hilo basi CUF ingelishinda huko tutokako pigo ililolipata haikupata mbunge hata mmoja na si kuwa wananchi hawakuichagaua au hawakuwachagua wabunge kwa tiketi ya CUF waliwachagua tena sehemu nyingi tu CUF ilishinda ,bali kumbuka CCM haishindi kwa kutegemea kura na hapo ndipo mtakapopigwa na chini.
Licha ya CCM kukataa kukiri jambo ambalo ni kweli, CCM yenyewe imeutambua umakini wa Dk. Slaa, jambo ambalo limekifanya chama hiki kikongwe cha siasa kuingia kiwewe, badala ya kurekebisha mambo ambayo ni dhahiri kwamba yamekwenda mrama, badala yake, CCM inazidi kujichimbia kaburi miongoni mwa wananchi.
Ukweli ni kwamba wananchi wengi sana wameamka, na wametamka wazi wazi (mimi nikishuhudia) kwamba HAWATAIPA KURA CCM mwaka huu. Juzi nilikuwa Moshi Mjini, nikashuhudia akinamama - wajasiriamali, ukipenda kuwaita - wakijadiliana hadharani, tena kwa hoja nzito, kwamba wamechoka kuwaona viongozi wa CCM wakineemeka, mwaka hadi mwaka, wakati wao hali yao kiuchumi inazidi kuwa mbaya, tena wakipandishiwa ushuru kwenye masoko kila siku, sasa wanayakimbia masoko hayo. Wameamua kutafuta maeneo yasiyo rasmi kufanya biashara zao kwa kuwa ushuru wanaotozwa kwenye masoko ni mkubwa kuliko kipato chao.
CCM wametambua tishio kubwa dhidi yao kutoka kwa Dk. Slaa na wabunge wengi wa CHADEMA. Huu ndio msingi wa kesi isiyo na kichwa wala miguu, ya kwenda kudai fidia kwa Dk. Slaa, wakimchukua mamluki Mahimbo, ambaye anadaiwa kulipwa fedha nyingi kwa ajili ya KUJIABISHA hadharani. Hivi mwanaume anayejiheshimu anaweza kweli kutamka hadharani kwamba NIMEPORWA MKE na fulani? Ingekuwa mimi ningekaa kimya kuliko kujidhalilisha; UTU wa MTU haununuliwi, hata kwa shilingi bilioni moja!
Mahimbo anadai kuporwa mke. Hivi inawezekana mwanamke - tena mrembo, mwenye akili timamu kama Josephine - akakubali "kuporwa" kutoka kwa mumeme Mahimbo? Inaingia akilini kweli hii?
CCM wamekosea step. Badala ya wananchi kumchukia, sasa wanampenda zaidi. JK anajidhalilisha, kwani wananchi hawamwelewi. Wana-CCM wengi tu wamekiri - tena wengi wakiwa viongozi waandamizi - kwamba kesi ya madai dhidi ya Slaa ina msingi wa kisiasa, kwamba ni lengo la kumharibia.
Mimi nilidhani kuna mtu ambaye aliwaambia wananchi WASIICHAGUE CCM. Waliamua hata kabla Slaa hajatangazwa kugombea urais, na alipotangazwa rasmi, kwa wengi wa maskini hawa imekuwa ni majibu ya ndoto zao. Sikujua kwamba kila kona nchini, Kaskazini hadi Kusini, Mashariki hadi Magharibi, ni wimbo mmoja tu unaoimbwa - CHADEMA! Hata vyama vingine vya siasa havitajwi kwa mapenzi. Tembea mtaani kwako, wasalimie kwa alama ya vidole viwili - nembo ya CHADEMA - uone ni mikono mingapi itarudi kwako.
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema: Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Viongozi wa CCM hawakumwelewa. Walidhani kwamba kutatokea baadhi ya watu, ndani ya CCM, wakajitokeza na kuleta upinzani. La hasha! Wapinzani wa kweli ndani ya CCM ni WANACHAMA WAKE, ambao sasa wamechoshwa na kila aina ya uonevu, majungu, vitimbi na ufisadi ndani ya CCM. Ile kauli ya "CCM ina wenyewe na wenyewe ndio sisi" ni mojawapo ya vitendo vya ufisadi ambavyo wana-CCM wamechoshwa navyo. Nenda kwenye Jimbo la Uchaguzi, Masasi, uone jinsi mgombea wa CCM, Mariam Kasembe, anavyohenyeshwa kwenye kampeni. Rudi hapa Kawe, uone jinsi Angela Kizigha anavyozomewa, tena na wana-CCM, wanaompa alama ya vidole viwili kila anapojaribu kwenda kuhutubia.
Mwanzo wa mwisho wa utawala wa CCM umefika. Kila kadri CCM wanavyozidi kumchafua Dk. Slaa na wagombea wengine wa CHADEMA, ndivyo wanavyozidi kumfagilia yeye pamoja na CHADEMA. Walivyoharibu (EPA, Richmond, Meremeta, Deep Green, n.k.), labda hawakufikiria kwamba wangekuja kulipa siku moja, tena wangekuja kulipa kwa KUONDOLEWA madarakani. Vyama vya upinzani havina kazi kubwa ya kujinadi, kwani tayari CCM imeshawafanyia kampeni miaka mingi iliyopita. Wananchi waliipa CCM mtihani wao wa mwisho, walipomchagua Kikwete kwa kura nyingi (Lina uhakika hili?), lakini AMEFELI mtihani huo!
Kadri CCM wanavyochafua - na kweli wamejichafulia, kuanzia kwenye kura za maoni ndani ya CCM - ndivyo wanachama wao wanavyochukia, na wameapa kupiga kura ya kisasi. Watanzania wengine wamesema HAWAYAONI hayo maisha bora waliyoahidiwa, na wanashangaa ari zaidi ni ya nini wakati kuna mafisadi ambao bado hawajahukumiwa; kasi zaidi ni ya nini wakati hata nusu ya ahadi za uchaguzi za 2005 hazijatekelezwa; na nguvu zaidi ni ya nini wakati umaskini umekithiri na unazidi kuwaangamiza vijana wanaoteketea kwa kukimbilia mijini (wengi wao wakipigwa, kuchomwa moto na kupoteza maisha yao, kwa kujihusisha na ubakaji), huku vijiji vikibakia na wazee, watoto na wanawake!
Ushindi ni dhahiri kwa Slaa na CHADEMA, kwa kuwa ufisadi umevuka mipaka. Wananchi wameona jinsi CCM wanavyotumbua pesa kwenye kampeni. Wamesema kama ni hongo watapokea, lakini kwa upande wa kura, CCM isahau kurejeshwa madarakani. Asilimia themanini (80%) ya viti vya ubunge vitakwenda upinzani, huku asilimia tisini (90%) ya viti vya udiwani vitakwenda upinzani. Slaa atashinda kwa asilimia sitini (60%), na hii ni kwa kuwa bado kuna 'wajinga' wanaopumbazwa, kwamba Kikwete bado ni "mtu wa watu"!
-> Mwana wa Haki
2010 HATUDANGANYIKI. CCM mnajidanganya!
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
Jamani mnamuelewa huyu< Amekurupuka kutoka wapi huyu? Tizama amekuwa memba tangu lini utagundua tu, makapi yepi wanaharakati wepi...!The husband whose wife was messing around with Mr Slaa has the right to defend his marriage. Vote JK.
Vote CCM for the better life, transparency and equality for all Tanzanians regardless of national origin, religious back ground or race.
Chadema and CUF are anti-business, anti-foreign investment, and full of fear mongerers and xenophopic.
Give CCM another 5 years to take care the unfinished business.
Let's build Tanzania together! Tanzania is for all
Vote CCM
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
The husband whose wife was messing around with Mr Slaa has the right to defend his marriage. Vote JK.
Vote CCM for the better life, transparency and equality for all Tanzanians regardless of national origin, religious back ground or race.
Chadema and CUF are anti-business, anti-foreign investment, and full of fear mongerers and xenophopic.
Give CCM another 5 years to take care the unfinished business.
Let's build Tanzania together! Tanzania is for all
Vote CCM
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
Wishful thinking!!! Ili uishinde CCM inabidi uwashinde wafuatao:-
Je CHADEMA wamejipanga kuwashinda wote hapo juu au wanamwangalia Makamba na Kinana pekee?
- Ofisi ya Rais
- Wizara, idara za serikali, na mashirika ya umma
- Tume ya Uchaguzi
- Msajili wa Vyama
- Jeshi la Polisi
- Jeshi la Wananchi wa Tanzania
- Idara ya Usalama wa Taifa
- Mahakama
- Serikali za Mikoa kwa maana ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya
- Halmashauri za manispaa, miji na wilaya - kwa maana ya wasimamizi wa uchaguzi - ambao ndio wanatangaza mshindi (na si lazima awe na kura nyingi)
- Kundi kubwa la mafisadi ambao wanamiliki vyombo vya habari na magazeti.
kwa hiyo atakayeshinda ni huyo Professor Lipumba? Your joking dude! Kwa taarifa yako labda mshirikiane na boss wenu sisi m kuchakachua kula sio rahisi huyo Lipumb..... ashinde. Bila shaka yeye atakuwa wa tatu nyuma ya sisi m
One day nilipita maeneo ya fulani nikamkuta mtu anaishi a very miserable life amembeba mkewe kwa mkokoteni wa kukokotwa na Punda anampeleka kwa disp kama 10 km ivi.
Nikamuonea huruma,nikampa lift ili afike haraka na mkewe bse ni matendo ya huruma hayo +thawabu.
Njiani nkawa namhoji mbona uku hamna ata disp karibu na makazi ya watu akanambia mbunge ameahidi sasa ni 10years na mwaka huu tutampigia labda atajenga.
YAANI Hajui kuwa his miserable life kwa kiasi kikubwa imesababishwa na huyo mbunge wa chama fulani na chama chake.
UNAWEZA KUTA ATA MWIBA HAJUI WHY TZ TUKO KWA DIMBWI LA UMASKINI WITH ALL THE MADINI,MBUGA,MABONDE ETC
Oh My God, I thought it has been given more than 40 years...is n't the business finished yet?Give CCM another 5 years to take care the unfinished business.
Oh My God, I thought it has been given more than 40 years...is n't the business finished yet?
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.
Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.
Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.
Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.