Elections 2010 Dr.SLAA Hataukaribia ushindi

MWANAHAKI unaonekana ni mgeni wa siasa za Tanzania ,ushindi wa CCM hautegemei kupigiwa kura ,hilo kwanza napenda ulifahamu kabisa na uliweke kama akiba pindipo matokeo hayatakufurahisha kwani unaweza kupata maradhi ya ghafla.

Ningependa pia ufahamu kuwa wananchi wengi sana bado wanaimani na CCM kwani wanafaidika nayo kama ulivyomti ,shina matawi na majani ndivyo hivyo majani ni hao wananchi ambao huna la kuwambia ,watakuja kwenye mikutano yako wataishambulia CCM lakini yote hayo kura yao bado wataipeleka CCM na kukuwacha wewe ukiwa na kubaki na kilemba cha ukoka kwamba ni chama kinachopendwa sana na chenye muamsho na mvuto.

Kwa kukukatisha tu usijipe tamaa ya ushindi hata kidogo na si wewe bali na wengine wote wale wenyetatizo kama lako kuwa CHADEMA itaibuka mshindi ,maana kama ni hilo basi CUF ingelishinda huko tutokako pigo ililolipata haikupata mbunge hata mmoja na si kuwa wananchi hawakuichagaua au hawakuwachagua wabunge kwa tiketi ya CUF waliwachagua tena sehemu nyingi tu CUF ilishinda ,bali kumbuka CCM haishindi kwa kutegemea kura na hapo ndipo mtakapopigwa na chini.

MOD, please ulituahidi kulifanyia kazi ombi letu la kutuwekea Button ya "Shame" as opposed to that of "Thanks", mbona hujatuwekea?
 
mwisho wa sisi M unakaribia. labda watafute herufi nyingine badaala ya M kutoka A-Z , sisi A? labda sisi K ? nooo! sisi Z itawafaa.
Kufuatilia maisha binafsi ya mgombea wa nafasi yoyote ya uongozi ni upuuzi mtupu na ni siasa za maji taka.Tukitaka tuanze kumvua nguo mgombea mmoja baada ya mwingine mbona itakuwa balaa!
Tuachane na huo ujinga! watanzania sio wajinga hivyo wa kudanganyika eti...amepora mke wa mtu? ongeleeni sera zenye kuleta maendeleo kwa nchi hii
 
Licha ya CCM kukataa kukiri jambo ambalo ni kweli, CCM yenyewe imeutambua umakini wa Dk. Slaa, jambo ambalo limekifanya chama hiki kikongwe cha siasa kuingia kiwewe, badala ya kurekebisha mambo ambayo ni dhahiri kwamba yamekwenda mrama, badala yake, CCM inazidi kujichimbia kaburi miongoni mwa wananchi.

Ukweli ni kwamba wananchi wengi sana wameamka, na wametamka wazi wazi (mimi nikishuhudia) kwamba HAWATAIPA KURA CCM mwaka huu. Juzi nilikuwa Moshi Mjini, nikashuhudia akinamama - wajasiriamali, ukipenda kuwaita - wakijadiliana hadharani, tena kwa hoja nzito, kwamba wamechoka kuwaona viongozi wa CCM wakineemeka, mwaka hadi mwaka, wakati wao hali yao kiuchumi inazidi kuwa mbaya, tena wakipandishiwa ushuru kwenye masoko kila siku, sasa wanayakimbia masoko hayo. Wameamua kutafuta maeneo yasiyo rasmi kufanya biashara zao kwa kuwa ushuru wanaotozwa kwenye masoko ni mkubwa kuliko kipato chao.

CCM wametambua tishio kubwa dhidi yao kutoka kwa Dk. Slaa na wabunge wengi wa CHADEMA. Huu ndio msingi wa kesi isiyo na kichwa wala miguu, ya kwenda kudai fidia kwa Dk. Slaa, wakimchukua mamluki Mahimbo, ambaye anadaiwa kulipwa fedha nyingi kwa ajili ya KUJIABISHA hadharani. Hivi mwanaume anayejiheshimu anaweza kweli kutamka hadharani kwamba NIMEPORWA MKE na fulani? Ingekuwa mimi ningekaa kimya kuliko kujidhalilisha; UTU wa MTU haununuliwi, hata kwa shilingi bilioni moja!

Mahimbo anadai kuporwa mke. Hivi inawezekana mwanamke - tena mrembo, mwenye akili timamu kama Josephine - akakubali "kuporwa" kutoka kwa mumeme Mahimbo? Inaingia akilini kweli hii?

CCM wamekosea step. Badala ya wananchi kumchukia, sasa wanampenda zaidi. JK anajidhalilisha, kwani wananchi hawamwelewi. Wana-CCM wengi tu wamekiri - tena wengi wakiwa viongozi waandamizi - kwamba kesi ya madai dhidi ya Slaa ina msingi wa kisiasa, kwamba ni lengo la kumharibia.

Mimi nilidhani kuna mtu ambaye aliwaambia wananchi WASIICHAGUE CCM. Waliamua hata kabla Slaa hajatangazwa kugombea urais, na alipotangazwa rasmi, kwa wengi wa maskini hawa imekuwa ni majibu ya ndoto zao. Sikujua kwamba kila kona nchini, Kaskazini hadi Kusini, Mashariki hadi Magharibi, ni wimbo mmoja tu unaoimbwa - CHADEMA! Hata vyama vingine vya siasa havitajwi kwa mapenzi. Tembea mtaani kwako, wasalimie kwa alama ya vidole viwili - nembo ya CHADEMA - uone ni mikono mingapi itarudi kwako.

Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema: Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.

Viongozi wa CCM hawakumwelewa. Walidhani kwamba kutatokea baadhi ya watu, ndani ya CCM, wakajitokeza na kuleta upinzani. La hasha! Wapinzani wa kweli ndani ya CCM ni WANACHAMA WAKE, ambao sasa wamechoshwa na kila aina ya uonevu, majungu, vitimbi na ufisadi ndani ya CCM. Ile kauli ya "CCM ina wenyewe na wenyewe ndio sisi" ni mojawapo ya vitendo vya ufisadi ambavyo wana-CCM wamechoshwa navyo. Nenda kwenye Jimbo la Uchaguzi, Masasi, uone jinsi mgombea wa CCM, Mariam Kasembe, anavyohenyeshwa kwenye kampeni. Rudi hapa Kawe, uone jinsi Angela Kizigha anavyozomewa, tena na wana-CCM, wanaompa alama ya vidole viwili kila anapojaribu kwenda kuhutubia.

Mwanzo wa mwisho wa utawala wa CCM umefika. Kila kadri CCM wanavyozidi kumchafua Dk. Slaa na wagombea wengine wa CHADEMA, ndivyo wanavyozidi kumfagilia yeye pamoja na CHADEMA. Walivyoharibu (EPA, Richmond, Meremeta, Deep Green, n.k.), labda hawakufikiria kwamba wangekuja kulipa siku moja, tena wangekuja kulipa kwa KUONDOLEWA madarakani. Vyama vya upinzani havina kazi kubwa ya kujinadi, kwani tayari CCM imeshawafanyia kampeni miaka mingi iliyopita. Wananchi waliipa CCM mtihani wao wa mwisho, walipomchagua Kikwete kwa kura nyingi (Lina uhakika hili?), lakini AMEFELI mtihani huo!

Kadri CCM wanavyochafua - na kweli wamejichafulia, kuanzia kwenye kura za maoni ndani ya CCM - ndivyo wanachama wao wanavyochukia, na wameapa kupiga kura ya kisasi. Watanzania wengine wamesema HAWAYAONI hayo maisha bora waliyoahidiwa, na wanashangaa ari zaidi ni ya nini wakati kuna mafisadi ambao bado hawajahukumiwa; kasi zaidi ni ya nini wakati hata nusu ya ahadi za uchaguzi za 2005 hazijatekelezwa; na nguvu zaidi ni ya nini wakati umaskini umekithiri na unazidi kuwaangamiza vijana wanaoteketea kwa kukimbilia mijini (wengi wao wakipigwa, kuchomwa moto na kupoteza maisha yao, kwa kujihusisha na ubakaji), huku vijiji vikibakia na wazee, watoto na wanawake!

Ushindi ni dhahiri kwa Slaa na CHADEMA, kwa kuwa ufisadi umevuka mipaka. Wananchi wameona jinsi CCM wanavyotumbua pesa kwenye kampeni. Wamesema kama ni hongo watapokea, lakini kwa upande wa kura, CCM isahau kurejeshwa madarakani. Asilimia themanini (80%) ya viti vya ubunge vitakwenda upinzani, huku asilimia tisini (90%) ya viti vya udiwani vitakwenda upinzani. Slaa atashinda kwa asilimia sitini (60%), na hii ni kwa kuwa bado kuna 'wajinga' wanaopumbazwa, kwamba Kikwete bado ni "mtu wa watu"!

-> Mwana wa Haki

2010 HATUDANGANYIKI. CCM mnajidanganya!

Wishful thinking!!! Ili uishinde CCM inabidi uwashinde wafuatao:-

  • Ofisi ya Rais
  • Wizara, idara za serikali, na mashirika ya umma
  • Tume ya Uchaguzi
  • Msajili wa Vyama
  • Jeshi la Polisi
  • Jeshi la Wananchi wa Tanzania
  • Idara ya Usalama wa Taifa
  • Mahakama
  • Serikali za Mikoa kwa maana ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya
  • Halmashauri za manispaa, miji na wilaya - kwa maana ya wasimamizi wa uchaguzi - ambao ndio wanatangaza mshindi (na si lazima awe na kura nyingi)
  • Kundi kubwa la mafisadi ambao wanamiliki vyombo vya habari na magazeti.
Je CHADEMA wamejipanga kuwashinda wote hapo juu au wanamwangalia Makamba na Kinana pekee?
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.

Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.

Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.

Ndio maana nasema CCM ya leo inaungwa mkono na vichwa maji...
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.

Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.

Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.

Undumila kuwili wa wana-CCM

Jionee mwenyewe shabiki wa siasa za ccm anavomzalilisha waziri mkuu wake

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/35680-can-you-read-the-face-of-this-leader.html
 
The husband whose wife was messing around with Mr Slaa has the right to defend his marriage. Vote JK.
Vote CCM for the better life, transparency and equality for all Tanzanians regardless of national origin, religious back ground or race.
Chadema and CUF are anti-business, anti-foreign investment, and full of fear mongerers and xenophopic.
Give CCM another 5 years to take care the unfinished business.
Let's build Tanzania together! Tanzania is for all
Vote CCM
Jamani mnamuelewa huyu< Amekurupuka kutoka wapi huyu? Tizama amekuwa memba tangu lini utagundua tu, makapi yepi wanaharakati wepi...!
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.

Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.

Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.

Mwiba prediction zako tumezizoea na huwa hazizai matunda........mfano angalia hiyo post hapo chini uliyowahi kuitoa kipindi cha chuma. Leo yako wapi?

Re: Kikwete amtema rasmi Lowassa
Nawambia kuwa Karume mnae mkitaka msitake 2015 ,ni Raisi atakaetawala Tanzania kwa kipindi cha miaka kumi..niliwahi kusema as a TETESI ,je leo ukweli si umeanza kuchomoza :-


Karume Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano


Kuna tetesi kuwa Rais wa Seikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mheshimiwa Abeid Amaan Karume kuwa atapewa nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM 2015,habari zimezidi kuelezea kuwa yeye ndie atake kuwa mrithi wa Kikwete baaada ya Mheshimiwa Kikwete kumaliza ngwe yake 2015. Maandalizi ya kumuwezesha Mheshimiwa Karume kukubalika ifikapo mwaka 2015 yameanza na kufanya ziara za mara kwa mara katika mikoa ya Tanzania Bara ili kumjenga kwenye macho ya wananchi.

Hii inasemekana imetokana na utamaduni ambao kuna haja ya kuona unaendelezwa wa kupokezana nafasi ya kiti cha Urais wa Tanzania kwa upande wa bara na visiwani.Baada ya kokosekana wakati alipoondoka Mheshimiwa Benjamin Mkapa.

Pia habari zimezidi kutonya kuwa upo uwezekano wa mgombea huyo kupitia CCM kusimama katika kugombea kiti hicho kwa uchaguzi mkuu ujao 2010 endapo Rais Kikwete akiamua kupumzika, habari za wachunguzi wa mambo ya siasa wameona jitihada za Mheshimiwa Karume kuwekwa mstari wa mbele katika shughuli nyingi za Kichama hapa Tanzania Bara na Chama chake.
Embu rudieni hapa
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-...-muungano.html
 
The husband whose wife was messing around with Mr Slaa has the right to defend his marriage. Vote JK.
Vote CCM for the better life, transparency and equality for all Tanzanians regardless of national origin, religious back ground or race.
Chadema and CUF are anti-business, anti-foreign investment, and full of fear mongerers and xenophopic.
Give CCM another 5 years to take care the unfinished business.
Let's build Tanzania together! Tanzania is for all
Vote CCM

PEOPLE IN WORK; UCHAGUZI UKIISHA MNAKUWA MMEMALIZA KAZI ZENU

RAJ PATEL JR
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateWed Sep 2010Posts25Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.


Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.


Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.


Wanaotumiwa na na kuhongwa na CCM wanajulikana kirahisi sana!
 
Wishful thinking!!! Ili uishinde CCM inabidi uwashinde wafuatao:-


  • Ofisi ya Rais
  • Wizara, idara za serikali, na mashirika ya umma
  • Tume ya Uchaguzi
  • Msajili wa Vyama
  • Jeshi la Polisi
  • Jeshi la Wananchi wa Tanzania
  • Idara ya Usalama wa Taifa
  • Mahakama
  • Serikali za Mikoa kwa maana ya wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya
  • Halmashauri za manispaa, miji na wilaya - kwa maana ya wasimamizi wa uchaguzi - ambao ndio wanatangaza mshindi (na si lazima awe na kura nyingi)
  • Kundi kubwa la mafisadi ambao wanamiliki vyombo vya habari na magazeti.
Je CHADEMA wamejipanga kuwashinda wote hapo juu au wanamwangalia Makamba na Kinana pekee?

Kwenye idara zote hizo za Serikali ulizotaja kuna Watanzania, wanaoiunga mkono CCM na wanaoiunga mkono CHADEMA. Haiwezekani wote wakawa upande wa CCM pekee.

CHADEMA na wapenzi wake kwenye idara zote hizo, ndio maana unaona taarifa ambazo hazipaswi kutolewa hadharani zimetolewa na hakuna aliyechukuliwa hatua kali za kisheria.

Usiwadharau Watanzania tafadhali!
 
kwa hiyo atakayeshinda ni huyo Professor Lipumba? Your joking dude! Kwa taarifa yako labda mshirikiane na boss wenu sisi m kuchakachua kula sio rahisi huyo Lipumb..... ashinde. Bila shaka yeye atakuwa wa tatu nyuma ya sisi m

That means mnajua kuwa nyie ni wa pili na hamtashinda sasa hamuoni kama mnakubali kama meingia kuharibu uchaguzi? wenzenu wanawalalamikieni ilhali mlikuwa mtuache sisi na cuf tujifue wenyewe tumeshazoena maana tukimaliza uchaguzi wanalia kisha tunawabembeleza tunasahau yaliyopita tunajenga nchi....

CUF sio kama chadema wao wanaangalia maslahi ya nchi kwanza nyie chadema mmeweka udini mbele na chuki za kijinga... angalieni sana
 
kweli kabisa hataukaribia ushindi kwa sababu:
-ccm wanatumia pesa nyingi kurubuni wapiga kura (kila baada ya miaka5 watz wananunuliwa pilau na pombe za kienyeji)
-ccm wanachakachua kura hata za upinzani rejea mambo ya mbeya
-ccm ina uwezo wa kutumia mabango ya serikali bila kuchukuliwa hatua

nguvu ya slaa imo mikononi mwa wananchi...........NA DR.SLAA ATASHINDA KWA KISHINDO CHA AJABU KWANI WATZ WAMECHOKA NA HII SIO LAZIMA UWAULIZE KWANI NDIYO HALI HALISI YA MAISHA YAO.
-watz wa sasa wameanza kubadilika taratibu bado hawajaacha kula rushwa ila na hawaichagui ccm
 
One day nilipita maeneo ya fulani nikamkuta mtu anaishi a very miserable life amembeba mkewe kwa mkokoteni wa kukokotwa na Punda anampeleka kwa disp kama 10 km ivi.
Nikamuonea huruma,nikampa lift ili afike haraka na mkewe bse ni matendo ya huruma hayo +thawabu.
Njiani nkawa namhoji mbona uku hamna ata disp karibu na makazi ya watu akanambia mbunge ameahidi sasa ni 10years na mwaka huu tutampigia labda atajenga.
YAANI Hajui kuwa his miserable life kwa kiasi kikubwa imesababishwa na huyo mbunge wa chama fulani na chama chake.
UNAWEZA KUTA ATA MWIBA HAJUI WHY TZ TUKO KWA DIMBWI LA UMASKINI WITH ALL THE MADINI,MBUGA,MABONDE ETC
 
One day nilipita maeneo ya fulani nikamkuta mtu anaishi a very miserable life amembeba mkewe kwa mkokoteni wa kukokotwa na Punda anampeleka kwa disp kama 10 km ivi.
Nikamuonea huruma,nikampa lift ili afike haraka na mkewe bse ni matendo ya huruma hayo +thawabu.
Njiani nkawa namhoji mbona uku hamna ata disp karibu na makazi ya watu akanambia mbunge ameahidi sasa ni 10years na mwaka huu tutampigia labda atajenga.
YAANI Hajui kuwa his miserable life kwa kiasi kikubwa imesababishwa na huyo mbunge wa chama fulani na chama chake.
UNAWEZA KUTA ATA MWIBA HAJUI WHY TZ TUKO KWA DIMBWI LA UMASKINI WITH ALL THE MADINI,MBUGA,MABONDE ETC


kama hukuwa na mawazo ya dr slaa ya kumrudia akipoa ubanjue basi ubarikiwe
 
Oh My God, I thought it has been given more than 40 years...is n't the business finished yet?

Mkuu, hujamuelewa huyo Patel. Anasema kuna unfinished business inayotakiwa iachiwe ifikie kikomo kabla hatujaondoa tonge mdomoni. Anasema, miaka mitano tu inatosha kutumaliza kabisa, sasa tumuachie Rais aliewawezesha wao kufurahia matunda ya uhuru wa wengi na kuwaacha wengi wakiwa watumwa katika nchi yao.

Yuko very clear on the agenda. Ni ombi tu la kuiachia serikali iliyomaliza muda wake kuwaachia akina Patel kuendelea kumiliki uchumi wote wa nchi hii. Tatizo ni kwamba, CCM ikishinda this time, nchi haitaweza kufikia demokrasia kamili tena. Uchumi utakuwa irreparable, na masikini watabaki na umasikini wao wakati kundi dogo litaamua mustakbali wa nchi nzima kwa miaka mingi. Kitakachotuondoa katika hali hiyo itakuwa ni revolution pekee.

Tanzania ina nafasi ya pekee kurudisha nchi kwa wananchi na kuweka nidhamu mpya ya uongozi wa nchi. Tukipoteza nafasi hii adimu, nina uhakika kuwa hatutaweza kuipata tena bila kumwaga damu.

Kuna watu wanaodhani uchaguzi huu unamlengo wa vyama. Hakuna kitu kama chama katika uchaguzi wa 2010. Wananchi wameamua bila kujali itikadi zao kuwa, sasa inatosha na mabadiliko ni lazima. Imani yangu ni kuwa azma hii itafanikiwa kama kila mtu ataamua kwa dhati kuilinda na kuitetea nchi yake kwa kuamua kuchagua kiongozi bora zaidi kwa taifa letu.

Mimi ni mwana CCM, ila sitampigia kura Rais wa CCM this time. Niko tayari kwa lawama kutoka kwa mtu yoyote. Maana imani yangu itanisuta kama nitaendelea kuendekeza imani za chama hata kama nchi inateketea.
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.

Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.

Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.

Hayo ni mawazo ya kipumbavu ambayo ni wapumbavu wenzio tu wanaweza kuyaelewa.
 
Huyu mgombea wa Chadema mheshimiwa Dr W.Slaa hatoweza kuukaribia ushindi kabisa na hapo alipo ni kuanguka kwake kisiasa au kwa lugha ingine tunasema ndio mwisho wake.

Ukiangalia migongano ndani ya Chadema ambayo inawaka kama moto wa makumbi ameshindwa kuiweka sawa ,baada ya uchaguzi huu Chadema itakuwa na wakati mgumu sana ,inaweza kufa au kugawika na zaidi wanachama wake wakuu kwa kuwakusudia viongozi kuhama na kurejea CCM au kujiunga na vyama vingine kama tulivyoona.

Wananchi wengi wameanza kupoteza imani baada ya Dr.Slaa kupita akimnadi mke mpya au tuseme mchumba mpya baada ya kueleza sera amekuwa akizungumzia mambo ya maisha yake binafsi ya kindoa kubwa zaidi kuwa sasa inasemekana ameeiba mke wa mtu au anatembea na mke wa mtu ,yaani hata ile mke akiishi nae hakuwa mke wa ndoa ni kuishi maisha ya kuhurumiana ,jambo ambalo wananchi wengi wameliona kuwa halifai kuwa nalo mtu ambae anaomba Uraisi na kutaka kuwa kiongozi katika nchi yenye watu masikini.

Sasa Dr Slaa yumo katika mbio za kutaka kujisafisha badala ya mbio za kunadi sera ,amepoteza mvuto wa kisiasa na kuwa kivutio wa story za mapenzi na mipasho kwa wale wanaomuona amepoteza dira ,wengi ya wanaohudhuria mikutano huenda kusikiliza muendelezo wa story zake binafsi huku wakishangiria anapomsimamisha huyo mke mtarajiwa. Sielewi wapi tunaelekea.

wewe mtu wa nchi nyingine... unatakia nini mambo yetu.... rudi huko huko kwenu Zanzibar!
 
Wacheni hasira ,narudia tena Slaa hashindi uchaguzi na wala Chadema hawashindi ,tayari vyama rafiki vya Chadema vimemtaka ajiuzulu kutokana na kashfa iliyomkumba.

Nyie mnaomtetea Slaa kwa hili mnakasoro au kwa lugha ingine ni mataahira (samahanini kwa kutumia neno hilo) nikimaanisha ya kwamba hapa JF paliwahi kutolewa picha za Kikwete na hata blogu moja kufungwa ,sababu na mambu ni haya haya ya akina Slaa.Wacheni kumkumbatia Slaa kwani ameshapoteza sifa ya kuwa Raisi ,labda kama mmekusudia kuweka dictetor sawa.
 
Back
Top Bottom