Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Usilete maneno ya kilatini kutetea malaya wa kiume.Huyo mushumbusi walifunga naye ndoa wapi? Toka lini dini ikatambua hawara kuwa mke?


Wewe kweli ni mbumbumbu wa kufikiri
Mwaka 975 Bc na 1123-1884, Watanganyika walikuwa wakifunga ndoa za aina gani?
 
MUSSA ALLAN @ Ritz dont panick data zote ziko wazi unaweza kupewa, M/Kiti na Katibu wameimalisha chama na taasisi zake hilo halina ubishi!!
Tegemeo la Watanzania kukomboa nchi toka mikono ya nafisi na mafisadi kina Chenge, Lowasa & CO ni DR SLAA kupitia UKAWA!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mtumishi
 
Last edited by a moderator:
tecnoLOJIA kiboko ya MaCCM ni daftari la wapiga kura liboreshwe!
Vijana wengi wana usongo kuondoa mafisadi, tupo vijijini tunaona mwelekeo!!
Mfano Makambako, NEC makadilio voters 35,000.
Waliojiandikisha more than 50,000!!
Jibu unalo ndg yangu!!
 
Last edited by a moderator:
Emma hilo bango kichwani mwa kijana huyo nimelipenda!!
 
Last edited by a moderator:
Mzalendo mpiga kura.....je tume ya uchaguzi itakuwa huru ??? Tatizo sio kushinda ila tatizo ni kutangazwa mshindi.....Pia wananchi tunapenda kuona kipya vipi miaka yote hao hao wanashindwa mnawarudisha kama Lipamba na CAFA......Kama kweli UKAWA itadimu mpaka mwisho TUTAWAPA NCHI
 



Ccm kazi ya kwanza ilikuwa kuikata mizizi fumwale,kisha tutafuatia mizizi mikuu, mti umeanza kunyauka majani yake.Hebu tizama kauli za makada tu ujue 2015 ni homa ya malale
 
Amejenga umoja,upendo,mshikamano na uzingatiaji wa sheria na katiba.Hata walioshinda uongozi amewapiga marufuku kuonesha uchadema kazini,amesema wao wamekuwa watumishi wa serikali mambo ya chama wawaachie viongozi wa chama
 
Hujaandika kitu hapa. Undo
 
Kamanda hivi UKAWA wasipomchagua Dr.Slaa mtavunja huo umoja wenu wa maghumashi?

Hayawahusu vipi mmefikia wapi mikakati yenu na lowasa au ndio mnamuandalia kuchukua kadi ya a.c.t usiku kama mwenzake.
 
Dr Slaa ndiye tumaini la watz wazalendo wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…