Slaa ana mapepo saba, aliyapata baada ya kuuasi upadre...hawezi kuongoza nchi kama hana mawasiliano mazuri na mungu wake...simuhukumu ila aendelee tu na biashara zake na hisa alizowekeza chagadema...lakini naamini pamoja na dr slaa kumuasi mungu bado anaweza kumshauri mwekezaji mkuu ndani ya
chagadema yao namaanisha mbowe, waweke akili mpya uongozi mkuu wa cdm hasa kwa hizo nafasi wanazoatamia
Ccm ndiyo yenye mapepo saba ;
1. Iliua Azimio la Arusha,
2.iliuza nyumba za serikali kwa bei ya chee,
3. Ilibinafsisha benki yetu ya NBC,
4. Iliua viwanda vyetu vya Mwatex,Mutex,Kilitex nk
5. Ilianzisha sheria ya Takrima,
6.Ilibariki rushwa,
7.imeendelea kuruhusu wazungu kuiibia nchi yetu kwa kutoa mirahaba na sisi kutembeza bakuli kila kona ya dunia kwa kuomba msaada,
Kwa nini msipate mapigo saba dhidi ya mapepo haya yanayokumbatia ujinga,maradhi na umaskini?