Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

watanzania kwa sasa wanafahamu fika kwamba Dr Slaa ni mtu makini sana, hata ccm wakitoa maneno yasio na maana ndivyo wanavyozidi kujidhalilisha uwezi kusema eti Dr ni mwizi wa wake za watu ukategemea eti ni point mabo hayo yamebaki kwa watanzania wachache sana tena wale wenye hakili kama za Nape
 
watanzania kwa sasa wanafahamu fika kwamba Dr Slaa ni mtu makini sana, hata ccm wakitoa maneno yasio na maana ndivyo wanavyozidi kujidhalilisha uwezi kusema eti Dr ni mwizi wa wake za watu ukategemea eti ni point mabo hayo yamebaki kwa watanzania wachache sana tena wale wenye hakili kama za Nape

Umenena hakika Kamanda
 
watanzania kwa sasa wanafahamu fika kwamba Dr Slaa ni mtu makini sana, hata ccm wakitoa maneno yasio na maana ndivyo wanavyozidi kujidhalilisha uwezi kusema eti Dr ni mwizi wa wake za watu ukategemea eti ni point mabo hayo yamebaki kwa watanzania wachache sana tena wale wenye hakili kama za Nape

Ha ha ha haaa! mkuu unatuvunja mbavu na viroja vya CCM. Wameishiwa hao usipime. Siasa za karne hii watu wanataka issues....
 
huyo babu kisha zeeka na hatuna mpango nae mpango mzima ni zitto

Kinachokuwewesesha nini kwenye hii thread? mkisikia jina Dr Slaa Lumumba nzima anzia tezidume hadi nyie mabuku 7 mnajiharishia
 
Ukiona MTU anaogopwa sana na ccm tambua huyo ni mzalendo, mwadilifu na mchapa kazi.
 
Bwana mkubwa na kinacho msaidia sana nidhamu anayo kiujumla ni mwanaharakati wa ukweli
 
Dr Slaa anasema anachotenda anapinga ufisadi ukimuangalia usoni anamaanisha ukiangalia maisha yake yanathibitisha ni kiongozi wa vitendo na maneno sawa

Kweli Dr. Slaa ndiyo mkombozi Wa watanzania...
 
Dr Slaa anasema anachotenda anapinga ufisadi ukimuangalia usoni anamaanisha ukiangalia maisha yake yanathibitisha ni kiongozi wa vitendo na maneno sawa

Kweli Dr. Slaa ndiyo mkombozi Wa watanzania...
 
Sema ni mkombozi wangu na si watanzania maana mi ni mtanzania ila Dr slaa si mkombozi wangu

waambie NEC waweke matokeo halisi ya uchaguzi Wa Mwaka 2010 utajua nani rais Wa nchi hii...
 
Slaa ana mapepo saba, aliyapata baada ya kuuasi upadre...hawezi kuongoza nchi kama hana mawasiliano mazuri na mungu wake...simuhukumu ila aendelee tu na biashara zake na hisa alizowekeza chagadema...lakini naamini pamoja na dr slaa kumuasi mungu bado anaweza kumshauri mwekezaji mkuu ndani ya chagadema yao namaanisha mbowe, waweke akili mpya uongozi mkuu wa cdm hasa kwa hizo nafasi wanazoatamia
 
Hata akishnda au asishnde atansaidia nini mimi au we slaa ndugu yako

Kama hujui nguvu ya siasa kwenye nyanja zote za maisha kama ulinzi,huduma za jamii kama maji,umeme,hospitali,kilimo,madini,viwanda,ajira,shule,kodi,bei ya vitu,miundombinu kama bei ya vitu,nauli, nk basi unahaki ys kusema hivyo,vinginevyo tutajua tu kuwa wewe ni ccm unayerukaruka na kujifanya hamnazo.
 
Slaa ana mapepo saba, aliyapata baada ya kuuasi upadre...hawezi kuongoza nchi kama hana mawasiliano mazuri na mungu wake...simuhukumu ila aendelee tu na biashara zake na hisa alizowekeza chagadema...lakini naamini pamoja na dr slaa kumuasi mungu bado anaweza kumshauri mwekezaji mkuu ndani ya chagadema yao namaanisha mbowe, waweke akili mpya uongozi mkuu wa cdm hasa kwa hizo nafasi wanazoatamia

kamwambie bwana ako upuuzi huo..huna unalolijua
 
Back
Top Bottom