Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Uzuri wa Pro-Chadema mwenzao yeyote akija na pumba kama zinawafurahisha uwa hawezi kuhoji zaidi ya kishangilia tu bila kutimia akili zao.

Huyu mleta mada anawadanganya wenzake kuwa Bavicha na Bakwata wana wanachama milioni 4.

Ukiangalia uchaguzi mkuu ulioshapita Dr.Slaa alipata kura milioni 2 tu Tanzania.


Watu wajinga hufanya mambo ili wawafurahishe watu,bali wenye hekima hufanya mambo wayatakayo" Rode Rockey

Huhitaji taa,kuona hatua ya chadrms iliyopigwa,mlisema chadema iko kilimanjaro tu,leo hii iko hadi Litui mbambay,Mulisema chadema ni ya wachanga,lro hii iko mpaka Tanangozi,mlisema ni ya udini leo waislamu kama akina Salm Mwalimu,akina Jamal Mfaume walioko Mgazini na Mwanamonga wapo,mlisema chama ni cha ukanda leo hii kiko mikia ya Lindi,Mtwara,Songea,Rukwa,Mbeya,njombe,Morogoro,kigoma,Tabora,Singida,Dodoma,Pwani na Mikoa ya ziwa viktoria.

Wakati mkikalia hilo chadema inakata mbuga taratibu kama moto ulao tena kwa uhakika.
 
Dr.Slaa ndio kiboko ya magamba! Hajawai kuiba hata mia tano, anajielewa, nchi hii ataiweza.
 
mkuu umenena vema Sana Dr slaa ni hazina tuliyopewa na Mungu

Mmesikia kwa Musa imenenwa kuwa "USIZINI" lakini Mimi nawaambia mtu atakaemwangalia mwanamke kwa jicho la kumtamani,amekwisha kuzini nae moyoni. Dr.Slaa yeye ndiye kajisogezea kabisa pasina hata ndoa.
Ni Mungu gani huyo anae shabikia uzinzi? Neema ya Mungu haiwezi kushuka sehemu yenye uchafu kama huo.

Hivi Mzee Slaa anaweza kukemea zinaa kama kweli yeye ni neema iliyotoka kwa Mungu?
 
Imenichukua miezi 36, kujifunza ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo( chadema), nimejifunza mengi.

Tangu kuondoka kwa ward Kabour aliyekuwa katibu Mkuu kutokea kigoma na nafasi yake kushikwa na mtaalamu wa sheria,na falsafa ya theolojia,Dr wilbroad Slaa,nimeona hakika kiongozi huyu ni wa kutukuka.

Kuonesha kuwa amefanya kazi kubwa pale alipofanya yafuatayo:

KUIMARISHA TAASISI ZA CHAMA

Alianza na kuwajengea uwezo watumishi wa makao makuu katika nyanja ya kitaalamu na kitaaluma,akawapa nafasi kwenda nje kusoma,akaanzisha kurugenzi ya sheria,kurugenzi ya habari,kurugenzi ya ulinzi na usalama,kurugenzi ya fedha,na kurugenzi nyingine nyingi ambazo zimeiweka chadema kuwa taasisi.

Usishangae unapoona timu ya Tundu Lissu,Tumaine Makene, Mohamed Mtoi,Lwakatare,na John Mrema ( kutaja wachache), ccm imepata kazi kweli kiasi cha kuishi wasiyoyatengeneza.kwa mujibu wa katiba ya chama aliitekeleza


KUUNDA TAASISI

Baada ya kazi hiyo,alianza kujenga taasisi za Bawacha,Bavicha,Chaso na Baraza la wazee..

Hii ilikuwa kazi yake aliyopewa na wanachama wa chadema.amefanya kazi kubwa sana.

Bawacha ambaye ilikuwa na wanachama laki tano 2000,imepelekea kuwa na wanachama milioni tatu nchi nzima.2015

Baraza la vijana,Bavicha kutoka wanachama laki mbili,2000, kwa sasa wanachama wamefikia milioni moja. Na si kuongezeka kwa idadi tu,bali pia mabaraza haya yapo ngazi za chini kabisa ya tawi nchi nzima,huwezi kwenda Itungu,Ikungi,mahaha,longido,kyaka,matemanga,nyamagoto, Misenyi,Madabank usikute ofisi za bawacha na bavicha.

Haikutosha akishirikiana na Mh.Mbowe,na timu yake,waliona chama bila wasomi, akaunda chaso ambaye kusema kweli limekuwa zao la vijana wabunge akina Kafulila,Zitto kabwe, Halima Mdee,Mnyika na wengineo wengi wanaotarajiwa kuwatumikia watanzania kupitia Udiwani na Ubunge Mwaka huu 2015.

Baraza la wazee amelifanikisha kuliimarisha likikishauri chama kwa kiasi kikubwa.
Dr.Slaa akiamini nidhamu,uvumilivu,utu,kiasi na umoja ndio njia ya kujenga Taifa lenye Usawa,na uchapakazi alishauri chama kuwa mwaka 2013 kisingefanya uchaguzi bali kiende ngazi ya kata,tawi na kisha msingi.Uchaguzi wa serikali za mitaa umeonesha matunda ya ushauri wake.kwani chadema imeshinda kwa kishindo kuliko wanavyojinasibu ccm kuwa ushindi mdigo,maana yapo maeneo ambapo tangu uhuru 1961 ccm imekuwa ukitawala vijiji,vitongoji na mitaa,lakini safari hii maeneo hayo yameenda na chadema yote.

Watu makini,kwa kazi makini,hakika Dr.Slaa ni mtu makini asiyeyumba kwenye kusimamia kanuni,katiba sheria na taratibu. Kiongozi ambaye ni very strategic katika mipango yake.
Inaonesha,katika mahojiiano binafsi niliyofanya na watumishi wa serikali ya Tanzania,wanamuona kama kiongozi wa kupigiwa mfano ameijenga chadema viliyo kutoka falsafa ya mtu,kwenda falsafa ya kitaasisi.

Si ajabu unapoongea na watu kupitia mitandao ya kijamii nje na ndani ya nchi, kwenye twitter,facebook,jamiiforum na sciber utakuta wanasema" Dr Slaa ni hazina ya watanzania,
Na hata angepewa nchi hatawaangusha watanzania"

Chadema Kwanza

Nampenda sana Dr Slaa,but I am afraid hujatoa hoja za kushawishi Wana CHADEMA,Wana CUF,Wana NCCR-Mageuzi,Wana CCM na wasio na vyama kuhusu sifa alizo nazo za kiuongozi za kuliongoza taifa hili.
Kuongoza chama ni tofauti na kuongoza taifa,mtu anaweza kuwa kiongozi mbovu wa chama lakini akawa kiongozi mzuri sana wa nchi.Watu wanapotaka kuchagua kiongozi wa nchi,sifa za uongozi wa chama si miongoni mwa vigezo watakavyotilia maanani labda kama mgombea aliwahi kuongoza taasisi kubwa isiyo ya kisiasa kwa mafanikio hiyo wananchi wasiokuwa Wana CHADEMA watatilia maanani.
 
Mmesikia kwa Musa imenenwa kuwa "USIZINI" lakini Mimi nawaambia mtu atakaemwangalia mwanamke kwa jicho la kumtamani,amekwisha kuzini nae moyoni. Dr.Slaa yeye ndiye kajisogezea kabisa pasina hata ndoa.
Ni Mungu gani huyo anae shabikia uzinzi? Neema ya Mungu haiwezi kushuka sehemu yenye uchafu kama huo.

Hivi Mzee Slaa anaweza kukemea zinaa kama kweli yeye ni neema iliyotoka kwa Mungu?

Ni watanzania wangapi mmewafunza zinaa kupitia sheria ya ndoa dhaifu ya 1971?,Unataka tukutajie wabunge wa ccm wenye watoto lakini baba hajulikani,tukianza na viti maalum?

Dr.Slaa ameoa,na anaishi na Mkewe,jifunze sheria za Magna carta na za Mungu na Kanisa utanielewa si kubwabwaja tu! ,NI WATU WENYE FIKRA DUNDUIZI WATAKAA KUTIZAMA MAMBO MANYONGE BADALA YA KUFIKIRIA MAMBO MAKUBWA kama umeme wa uhakika,tiba ya uhakika,na Elimu bora na si bora Elimu!
 
Uzuri wa Pro-Chadema mwenzao yeyote akija na pumba kama zinawafurahisha uwa hawezi kuhoji zaidi ya kishangilia tu bila kutimia akili zao.

Huyu mleta mada anawadanganya wenzake kuwa Bavicha na Bawacha wana wanachama milioni 4.

Ukiangalia uchaguzi mkuu ulioshapita Dr.Slaa alipata kura milioni 2 tu Tanzania.

ni muda gani umepita toka hiyo 2010? kuna mamilioni wamejiunga.Pili, lazima utambue kuwa ni Dr Slaa aliyeleta msisimko kwenye siasa za tz hiyo 2010 na bahati mbaya watz wengi walikuwa wameshakata tamaa hivyo hawakuwa wamejiandikisha kwenye daftari.
 
Mmesikia kwa Musa imenenwa kuwa "USIZINI" lakini Mimi nawaambia mtu atakaemwangalia mwanamke kwa jicho la kumtamani,amekwisha kuzini nae moyoni. Dr.Slaa yeye ndiye kajisogezea kabisa pasina hata ndoa.
Ni Mungu gani huyo anae shabikia uzinzi? Neema ya Mungu haiwezi kushuka sehemu yenye uchafu kama huo.

Hivi Mzee Slaa anaweza kukemea zinaa kama kweli yeye ni neema iliyotoka kwa Mungu?

naona unabwabwaja, unaongelea zinaa wakati ana make na ana ishi naye? pole sana kwa fikra finyu
 
Nampenda sana Dr Slaa,but I am afraid hujatoa hoja za kushawishi Wana CHADEMA,Wana CUF,Wana NCCR-Mageuzi,Wana CCM na wasio na vyama kuhusu sifa alizo nazo za kiuongozi za kuliongoza taifa hili.
Kuongoza chama ni tofauti na kuongoza taifa,mtu anaweza kuwa kiongozi mbovu wa chama lakini akawa kiongozi mzuri sana wa nchi.Watu wanapotaka kuchagua kiongozi wa nchi,sifa za uongozi wa chama si miongoni mwa vigezo watakavyotilia maanani labda kama mgombea aliwahi kuongoza taasisi kubwa isiyo ya kisiasa kwa mafanikio hiyo wananchi wasiokuwa Wana CHADEMA watatilia maanani.



Mambo matano yanayomfanya awe kiongozi bora
1. Mwenye dira
2.Anaheshimu katiba,
3.Ni muwazi na Mkweli,
4.Mbunifu,
5.Mwadilifu
 
Aliwaambia hawa waliopatwa na balaa hili kuwa mfuko wa cement ungekuwa 5,000 wakapuuzia, sasa ona kuta za nyumba zao zinabomoka kama biskuti!

mafuriko_kahama.jpg

Yeye Slaa mbona ameshindwa kujenga ofisi za makao makuu ya chama, amezidiwa hata na CUF ambao wanapata ruzuku ndogo zaidi? Ndoa yake na familia tu vimemshinda, ofisi ya makao makuu ameshindwa kujenga, uwezo wake mnaousema uko kwenye nini?
 
kiukweli huyu ndio aina ya kiongozi anayeweza kuinyoosha hii nchi!
 
Mambo matano yanayomfanya awe kiongozi bora
1. Mwenye dira
2.Anaheshimu katiba,
3.Ni muwazi na Mkweli,
4.Mbunifu,
5.Mwadilifu

Whether we like it or not, we need to take a leaf from Kenyan politics to achieve our goals as opposition parties. Wakati wa Presidential debate ktk uchaguzi mkuu wa Kenya,nilipata kumsikia Kenyatta aki_outline policies atakazozifanyia kazi akiwa rais na akawakumbusha Wakenya kwamba mabadiliko anayonuia kuyaleta nchini Kenya alishaanza kuyafanyia kazi akiwa Waziri wa Biashara kama sikosei,kwahiyo alikuwa na supportive argument to backup his claims. Wapinzani mngeanza kukusanya information za kutosha Dr Slaa na historia yake kama kiongozi ili muweze kumnadi kwa mafanikio kwa Watanzania.Msidhani uchaguzi huu utakuwa mwepesi kwenu kwasababu tu CCM wana mgogoro,Mimi sijawahi kuwaamini CCM hata siku moja na hii yaweza ikawa ni moja kati ya mbinu zao nyingi za kuwazubaisha mjisahau halafu mkaja kupigwa vibaya ktk uchaguzi.In fact mimi ninaamini CCM hawana mgogoro wowote na kwakweli Wapinzani mjipange hasa.
 
Back
Top Bottom