Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

Hebu ona ccm ilivyoaibu,kama m/ kiti wa chama anaongoza baraza la mawaziri anakubali mawaziri kupeleka hoja bungeni,anashiriki kunadi Ilani ya ccm inayoweka maazimio ya kuwapatia mahakama ya kadhi,leo hii unasimama live kwenye vyombo vya habari na kusema serikali haitajihusisha na uanzishwaji wa mahakama hiyo,serikali haina dini, wakitaka waianzishe wenyewe!

Kiomgozi kama huyu hawezi kuitwa mwenye maono,na chama anachokiongoza kinasawiri kauli ya Horace Korimba kuwa ccm imepoteza mwelekeo.Daima Dr,Slaa ataendelea kuwa nambari one!
 
Dr. Slaa almtuma binti mtiifu Halima Mdee kufika Magu,kilichotokea tangu Uhuru 1961 kata ya Magu mjini Chadema mitaa14,ccm 4, kata ya Mahaha chadema 17 ,ccm 4, vijiji kama salama,jinjimili,shishani,igombe,kabila,Lumeji,kitongo,nk ambavyo vilikuwa chini ya ccm viko chini ya chadema.

Lakini pia,Vijibweni ambapo ccm imeongoza tangu Uhuru chadema 5, ccm 1,Kisaraweii chadema 6, ccm 4, bado maeneo kama kwa Mwakyembe.Dr.Slaa amejenga chama,anaweza
 
Bado nashawishika kusema,Dr.slaa aliyetangaza Elimu bure,kushusha bei ya simenti na misumari na bati tutafuta nyuma za matembe kule Dodoma.
 
Hebu ona ccm ilivyoaibu,kama m/ kiti wa chama anaongoza baraza la mawaziri anakubali mawaziri kupeleka hoja bungeni,anashiriki kunadi Ilani ya ccm inayoweka maazimio ya kuwapatia mahakama ya kadhi,leo hii unasimama live kwenye vyombo vya habari na kusema serikali haitajihusisha na uanzishwaji wa mahakama hiyo,serikali haina dini, wakitaka waianzishe wenyewe!

Kiomgozi kama huyu hawezi kuitwa mwenye maono,na chama anachokiongoza kinasawiri kauli ya Horace Korimba kuwa ccm imepoteza mwelekeo.Daima Dr,Slaa ataendelea kuwa nambari one!

Dr slaa ni kiongozi maagano ndiye aliyeteremshwa kwa ajili ya kizazi,bila slaa mustakibali wa nchi hii uko shakani
 
Hata Fisi wenyewe wanaotembezwa kwenye mikutano ya Kinana wanatambua hilo.
 
Kumpata tena mtu kama Slaa iwapo tutachezea bahati hii itakuwa ndoto na ngumu sana, Nyerere alipita sokoine kapita mrema kasaliti, SLAA tu sasa tusifanye makosa
 
Kumpata tena mtu kama Slaa iwapo tutachezea bahati hii itakuwa ndoto na ngumu sana, Nyerere alipita sokoine kapita mrema kasaliti, SLAA tu sasa tusifanye makosa


Ccm inaaminisha kuwa ili uwe kiongozi wa nchi ni lazima Vyombo vya dola vikukubali,ni lazima matajiri wa nje na ndani wajue maslahi yao na ni lazima pia matajiri wakuweke wao
Ni lazima uwe tajiri,nchi nyingi tajiri duniani hazijanaswa na kumpatia fisadi madaraka,anayeweka fedha nyingi kwa raia ila baadae aje kuuza raslimali zetu.Mawazo mfu haya na yale ya kila mtu akiingia madarakani hatawatumikia lazima, arudi achukue chake mapema.

Niwape taarifa watanzania hoja ya kwanza tunataka kuwa tuziache propaganda za ccm tuzingatie;
* kiongozi huyu lazima ahakikishe tuna katiba bora
* Lazima tuwe na maadili ya uongozi ndani ya katiba
* Lazima kipaumbele kiwekwe kupambana na rushwa,ufisadi,udini na ukabila
*Lazima kiongozi huyu atambue kuwa Tabia ya nchi kuiweka kwenye mikopo isiyo na tija ufe
* Lazima awe mlipa kodi mzuri na atasimamia ukusanyaji mapato

* Aonyeshe intergrity &Trust, kubwa
* Lazima awe accountable kwa Raia
* Lazima ahakikishe vyombo vya habari vinalindwa na kupewa msaada kila hali
*Lazima awe mwenye vision and communicative with clear transparenne
 
Dr slaa ni mtu makini mno hata ukifatilia utendaji wake wakati akiwa katibu mkuu TEC,inasemekana hakuna kiongozi km slaa aliewahitokea TEC

Huko ndio kunanafasi za Mapdri sio ikulu ya TZ.
 
Mtalia sana lakn mtu mwema yuko miongoni mwetu na vyovyote itakavyokua mtu huyo anadini anaiamini wala sio mungu ni mtu hivyo tukonae katk maisha haya haya
 
hivi mh slaaa alianza kugombea uraisi mwaka gani wadau
 
Uzuri wa Pro-Chadema mwenzao yeyote akija na pumba kama zinawafurahisha uwa hawezi kuhoji zaidi ya kishangilia tu bila kutimia akili zao.

Huyu mleta mada anawadanganya wenzake kuwa Bavicha na Bawacha wana wanachama milioni 4.

Ukiangalia uchaguzi mkuu ulioshapita Dr.Slaa alipata kura milioni 2 tu Tanzania.

Pia uchaguz uliopita Ccm Walijinasibu kuwa wana mtaji wa.wanachama milioni 5, Kura zilipohesabiwa wakapata hzohzo Milioni tano, Hapo Ritz unataka kunambia kwamba ccm haikupata kura nje ya ccm au ule mtaji wa milioni 5 uligeuka hasara??????
 
Huko ndio kunanafasi za Mapdri sio ikulu ya TZ.

........."hatutaacha kumchagua mtu kwa sababu ya dini yake,kabila lake au rangi yake,lakini pia hatutamchagua mtu kwa sababu ya dini yake,kabila lake au rangi yake...."jk Nyerere

Watanzania watampa mtu uongozi kwa sababu anasifa
 
Hata Fisi wenyewe wanaotembezwa kwenye mikutano ya Kinana wanatambua hilo.

Tunahitaji kujenga nchi sasa,mambo ya danganya toto anaingia mtu ikulu asiyekidhi matarajio ya nchi hii ni hatari.
 
........."hatutaacha kumchagua mtu kwa sababu ya dini yake,kabila lake au rangi yake,lakini pia hatutamchagua mtu kwa sababu ya dini yake,kabila lake au rangi yake...."jk Nyerere

Watanzania watampa mtu uongozi kwa sababu anasifa

Ila sio dr slaa,Mapenzi tu yanamwendesha hivi je ataweza kuhimili mikikimikiki ya nchi?
 
Back
Top Bottom