Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Kazi ya mavazi ni kuficha mwili wako,hata kama angeamua kuvaa rubega ni sawa tu.
N i kweli Halima Mdee alikuwa anatafuta houseboy lakini mbona kashapata, nadhani umechelewa jaribu kuwasiliana na Mnyika.
Tunakoelekea hilo ndo litakuja kuwa VAZI LA TAIFA.
Vazi la taifa gani mkuu?
huyu mama posho kila kukicha anavaa kichwani makatani ya ulaya lakini hatusemi
Dr. Slaa anatakiwa kutofautisha akiwa katika harakati za kichama na shughuli za umma. Si kila anakokwenda ni magwanda tu, siku akiingia ikulu itakuwa ni ikulu nzima full sare za magwanda. Kwa vyo vyote viongozi wetu watofautishe nafasi za kuvaa sare za chama na nafasi ambazo za umoja wa kitaifa ambapo nguo za kwaida zinavaliwa ili mwingine asisikie vibaya kuchangamana kwa kufikiria kiitikadi.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hususani huku Tanganyika 2015 chini ya Utawala wa CDM
Kama Mtanzania mpenda amani siwezi kuvaa Magwanda hata siku mmoja!
Slaa ana suti moja tu ya rangi ya jani la mgomba. Kila siku alikuwa anapiga hiyohiyo wakati akiiingia bungeni. Alivyotangaza kugombea ubunge ndiyo akapewa hivyo vijipea viwili vya magwanda ili awe anabadili na kale kasuti kake.
Slaa ana suti moja tu ya rangi ya jani la mgomba. Kila siku alikuwa anapiga hiyohiyo wakati akiiingia bungeni. Alivyotangaza kugombea ubunge ndiyo akapewa hivyo vijipea viwili vya magwanda ili awe anabadili na kale kasuti kake.
kwa hiyo?
Matatizo ya Slaa na washamba wenzake yapo wazi sana. Haya ni matokeo ya kuzaliwa vijijini na kuja mjini ukubwani. Mtu kama Halima Mdee hawezi kufanya ushamba kama huo hata siku moja.