The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Dodoma nipo kikazi tu lakini uliza historia yangu uambiwe.
Jina Mwita, Kazi Dodoma.................. Halafu unajifanya wa mjini. Possibly ulikulia kwenye kambi ya jeshi vilevile!!!
Dodoma nipo kikazi tu lakini uliza historia yangu uambiwe.
kwa bahati nzuri hatapata hiyo nafasi ya kitaifa zaidi ya kuwa na ya kichama tuuu, kwa hiyo wala usipate tabu mkuu muache avae tu.
Dr. Slaa na Spika Makinda Hospitali ya CCBR, Slaa ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo.
Dr. Slaa anatakiwa kutofautisha akiwa katika harakati za kichama na shughuli za umma. Si kila anakokwenda ni magwanda tu, siku akiingia ikulu itakuwa ni ikulu nzima full sare za magwanda. Kwa vyo vyote viongozi wetu watofautishe nafasi za kuvaa sare za chama na nafasi ambazo za umoja wa kitaifa ambapo nguo za kwaida zinavaliwa ili mwingine asisikie vibaya kuchangamana kwa kufikiria kiitikadi.
Dr. Slaa na Spika Makinda Hospitali ya CCBR, Slaa ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo.
Dr. Slaa anatakiwa kutofautisha akiwa katika harakati za kichama na shughuli za umma. Si kila anakokwenda ni magwanda tu, siku akiingia ikulu itakuwa ni ikulu nzima full sare za magwanda. Kwa vyo vyote viongozi wetu watofautishe nafasi za kuvaa sare za chama na nafasi ambazo za umoja wa kitaifa ambapo nguo za kwaida zinavaliwa ili mwingine asisikie vibaya kuchangamana kwa kufikiria kiitikadi.
Kama Mtanzania mpenda amani siwezi kuvaa Magwanda hata siku mmoja!
Una wazimu ww?
Mbona Polisi,JW, Magereza,Immigration na wengineo wanavaa magwanda? Ina maana siyo wapenda amani?
Wewe inaonekana hujui nini maana ya amani wala hujui maana ya ukombozi na uhuru!