Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Pole saana, labda haufahamu Dr. Slaa ni nani? Yeye ni Katibu Mkuu Wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Kwa hiyo anapoalikwa mahali popote anakwenda kama katibu wa CHADEMA, na si vinginevyo, kwa hiyo muda wote yupo kazini anatuwakilisaha watanzania tulio wengi kwa sababu kimsingi yeye ndo chaguo la wengi japokuwa hakuwa chaguo la tume ya uchaguzi