Dr. Slaa, chagua maneno...

Dr. Slaa, chagua maneno...

Kwani kazi ya Mungu ni ipi na kazi ya shetani ni ipi?


Kazi ya mungu ni kuchunga kondoo wa bwana na kazi ya shetani ni kuvunja ndoa za watu na kukimbilia kwa wanadamu kusema kwamba upewe mamlaka una weza kusimamia haki zao

Have you got my point?
 
Hahahahahh,hivi Ze marcopolo toka lini kada wa CCM akaona uchafu na ujinga wao..ni nyani gani anaweza weza kuona ----- lake?? Nadhani unatafuta hoja za kufifisha harakati za chadema. Dr Slaa ni msomi he reaps his words and neva underestimate his thoughts. Jamani ebu ifike kipindi tu sema mambo ya kutakia maendeleo nchi yetu sio kushinda humu unatafuta ulaji kamanda. Mengi ulioandika ni upuuzi na uongo kwa waelewa. We ndiye mwanasiasa mlaghai. Kabla ujaandika kitu make a vivid research.
 
Watu wenyewe JF hawafiki asilimia 15% lakini wakivamia thread kama viwavi kutetea thread za kijinga utafikiri JF ni wao tu. Hebu nendeni mkapige kura kwenye "poll" tuwaone mko wangapi kwani kwenye hii mada tayari mnaitawala kwa asilimia 75%! Bila shaka huko mmeshuhudia maamuzi ya the silent majority!

attachment.php
 
Watu wenyewe JF hawafiki asilimia 15% lakini wakivamia thread kama viwavi kutetea thread za kijinga utafikiri JF ni wao tu. Hebu nendeni mkapige kura kwenye "poll" tuwaone mko wangapi kwani kwenye hii mada tayari mnaitawala kwa asilimia 75%! Bila shaka huko mmeshuhudia maamuzi ya the silent majority!

attachment.php

Mkuu,

Hii ina uhusiano gani na mada inayojadiliwa?

Tabia hii ya Slaa kuongea ovyo imesababisha apigwe mawe huko Kasulu leo...
 
Hahahahahh,hivi Ze marcopolo toka lini kada wa CCM akaona uchafu na ujinga wao..ni nyani gani anaweza weza kuona ----- lake?? Nadhani unatafuta hoja za kufifisha harakati za chadema. Dr Slaa ni msomi he reaps his words and neva underestimate his thoughts. Jamani ebu ifike kipindi tu sema mambo ya kutakia maendeleo nchi yetu sio kushinda humu unatafuta ulaji kamanda. Mengi ulioandika ni upuuzi na uongo kwa waelewa. We ndiye mwanasiasa mlaghai. Kabla ujaandika kitu make a vivid research.

Yaani wewe ndio hujaelewa kabisa kinachojadiliwa!
 
Kazi ya mungu ni kuchunga kondoo wa bwana na kazi ya shetani ni kuvunja ndoa za watu na kukimbilia kwa wanadamu kusema kwamba upewe mamlaka una weza kusimamia haki zao

Have you got my point?
Alinda ni mlaghaika, hawezi kukuelewa...
 
Last edited by a moderator:
Acha porojo. Lete ushahidi wa tuhuma ulizo leta juu yangu.

Ukiondoa msaada wa policcm,uwizi wa kura na rushwa ya yale makofia yenu kama chujio,kanga zile nyepesi kama kondom,t.shirt zile kama madekeo,pombe za kienyeji huko vijijini na nyamba+pilau,ccm uwezo wenu jilinganisheni na kile chama cha mtikila.
 
Ukiondoa msaada wa policcm,uwizi wa kura na rushwa ya yale makofia yenu kama chujio,kanga zile nyepesi kama kondom,t.shirt zile kama madekeo,pombe za kienyeji huko vijijini na nyamba+pilau,ccm uwezo wenu jilinganisheni na kile chama cha mtikila.

Sijafanikiwa kuelewa ulichoandika...
 
Watu wenyewe JF hawafiki asilimia 15% lakini wakivamia thread kama viwavi kutetea thread za kijinga utafikiri JF ni wao tu. Hebu nendeni mkapige kura kwenye "poll" tuwaone mko wangapi kwani kwenye hii mada tayari mnaitawala kwa asilimia 75%! Bila shaka huko mmeshuhudia maamuzi ya the silent majority!

attachment.php

Kwanini wanaume msichanganikiwe? Mmeshangilia baada ya treason mliomfanyia Zitto na sasa Rais wenu wa taasisi yenu maalumu anasuffer na kupata humiliation na kutosha kutoka kwa wananchi. Jiulize zitto akifungua mdomo kweli atapona mtu? Lol, poleni sana. Hahahahahahahahahaha. Mzinzi kaipataaa.
 
Kwanini wanaume msichanganikiwe? Mmeshangilia baada ya treason mliomfanyia Zitto na sasa Rais wenu wa taasisi yenu maalumu anasuffer na kupata humiliation na kutosha kutoka kwa wananchi. Jiulize zitto akifungua mdomo kweli atapona mtu? Lol, poleni sana. Hahahahahahahahahaha. Mzinzi kaipataaa.
Mrema aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kubebwa na kusukumwa kwenye gari.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kurushiwa mawe na kufukuzwa jukwaani kwa mabango.

Lipumba aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kupewa kibano na polisi.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kuwaamrisha polisi wawadhibiti wananchi na kuokolewa na kuhifadhiwa na polisi ili asidhuriwe.

Haya yote ni maendeleo...

Cc Mu-Israel
 
Last edited by a moderator:
Kama Ulimboka na Kibanda wangesoma hoja yako hii wangesema nini? Namkumbuka Dr. Mvungi na Mwangosi R.I.P.
 
Unazungumzia ccm hii ya wapigwe tu maana tumechoka, ccm ya liwalo na liwe, ccm inayofungia magazet, ccm iliyopeleka jesh mtwara??
 
Combination za masalia,MM na maccm ndo huzaa thread kama hivi.
Mnazidi kuiimarisha CDM kwa gharama zenu kwa kifupi kama
Mlikua hamjui mnafanya nini.
#CDM_FOREVER •
 
Back
Top Bottom