Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Mkuu inawezekana ujielewi na utambui nni unafanya!!!!!!kadi ni VITENDO haiwezekani uwe na kadi ya CCJ kisha uvae gamba.cha kujiuliza kadi hii inamdhara gani kwa CDM? je imelipiwa? Lipumba mbona ajarudisha na amsemi?Dr.kawashika pabaya.ENDELEENI KUCHEZEA BOMBA MTALOWA
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.

Unaitaka hiyo kadi?
 
kweli shule na vyuo vyetu vina kazi sana kama ndio watu wanafikiri hivi. Kama hajarudisha manake kuwa anayo? Yaani hakuna uwezekano mwingine wowote ule? Mimi pia niliwahi kuwa na kadi ya CCM na hadi leo sijairudisha na sina mpango wa kuirudisha....

CLUE: Uanachama wa CCM unakomaje?

Mkuu hukuwahi kuisikia MEMKWA? Hayo ndio matunda yake , usishangae
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.

kukabidhi kadi kwani imekuwa nyumba?
 
Kweli magamba mnaokoteza ya kumsema Dk. Kuna hajagani ya kurudisha likadi la Ccm ofcn? Huzionagi kadi zinazokusanywa kwnye m4c? Mimi niliamua kulichoma moto nahic hata dk alifanyahvo.

Mimi pia nilikuwa UVCCM na nilichokifanya kwenye likadi la MAGAMBA nilibandua picha yangu kisha nilichoma moto kudhihirisha kuwa nimemchoma SHETANI na mambo yake yote. Hivyo ndivyo zoezi linavyofanywa hata kama utarudisha mbele za watu.
 
Kama anayo aitunze, ili mbeleni aiweke kwenye makumbusho (museum) baada ya kukamilisha ukombozi wa Tanzania. Iwe kama Mzee Mandela pale South West Town museum.

Atawaonesha wajukuu na vizazi vijavyo alikotoka na minyororo ya uonevu ya ccm mpaka akachukua hatua ya kujiunga na CHADEMA na hatimaye kufanikisha ukombozi toka kwa mkolono mweusi i.e. CCM
 
labda tukumbushane sheria ya uanachama wa vyama vya siasa na adhabu zake ndo tutajua nani ana kadi na nani hana na kwa nini!anaejua tafadhali "mie siasa kwa mbali kutokana na mambo yanayoambatana nayo"
 
hilo sio tusi ispokuwa najaribu kubashiri source ya data zako, huwezi kupost ujinga afu nikuvumilie tu. mtu asiporudisha kadi haina maana bado ni active member kwani kadi inaweza kupotea, kuteketezwa au kupelekwa chama pinzani ili kuonesha umma kwamba umekihama chama fulani mfano mzuri ni pale wanaCCM wanavyopeleka kadi zao kwenye mikutano ya M4C. ina maana haya yote ulikuwa hujayafikiria? bac huenda we ni KILAZA.
kwa taarifa tu ni kwamba Dr bado analipia ada ya uanachama
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania , mtakumbuka ya kwamba Dr Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa ccm kabla ya kuasi chama na kukimbilia cdm. Hata hivyo, mpaka leo hii Dr Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya ccm.

Kwan huwa zinarudishwa?au hamkumuona Sugu alivyokuwa anazikanyaga kanyaga pale Jangwani?
 
Kwani ni kosa la Jinai? kuwa na kadi mbili hadi tatu hakuna ubaya wowote mm ninayo ya NCCR (ina picha ya trekta na ni ya bluu na nyeupe) ninayo ya CHADEMA (ya light blue na ina picha ya vidole viwili) na nina ya CCM (niliipata JKT Operesheni Nidhamu) saa yoyote nazihuisha hakuna atakaye nikataa kwani sio DINI
 
Back
Top Bottom