Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Dr yupo Kg kwa siku kadhaa akiwa amekuja kutoa semina elekezi kwa madiwani wa cdm na meya. Amehutubia ktk mkutano mkubwa wa wakazi wa kigoma mjini. Jaman Dr ni kipenz cha wa tz. Kaongea mambo mengi ikiwe matamuko waliyoyatoa jana. Pia kasema aliokoa nchi baada ya matokeo ya uchaguz kutangazwa. Dr anapendwa jaman