Dr Slaa Atoa Madai Mapya Ya Kuongezwa Mshahara - CHADEMA

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Sep 18, 2011
7,149
3,817
Wana Ukumbi,

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, ametoa madai mapya ya kuongezewa mshahara na stahiki zake kufuatia mafanikio aliyoyapata ya kuongezewa mshahara katika madai yake yaliyopita ambayo yalikuwa ni ongezeko la asilimia 40 tu ya kile kiwango alichokitaka!

Mchanganuo sahihi wa mshahara wa katibu mkuu wa CHADEMA na stahiki zake:

Mshahara anaolipwa Dr Slaa kwa sasa ni Tshs. 9,300,000 kwa mwezi wakati kabla ya madai yake ya mara ya mwisho alikuwa akilipwa Tshs. 6,600,000. Ambalo ni ongezeko la 40%.

Stahiki za Dr Slaa kama Katibu Mkuu:

Dr Slaa anawekewa kiasi cha lita 1000 za mafuta ya Petrol kila mwezi ambayo kwa wastani ni Tshs milioni 2,000,000 katika gari lake alilokabidhiwa na chama ambalo pia ulitumia kwa shughuli zake binafsi na za chama. Ifahamike, hii ni nje ya mshahara!

Haijaishia hapo, Dr Slaa pia anapewa pesa kiasi cha Tshs 2,500,000 kama fedha ya matumizi ya ofisi ya katibu mkuu wa chama kila mwezi. Hii pia ipo nje ya mshahara wake na matumizi yake hayaeleweki.

Kama hiyo haitoshi, Dr Slaa kila afanyapo vikao vya chama vya ngazi mbalimbali uinuka na wastani wa Tshs. 1,500,000 kwa kikao kimoja.

Madai Mapya:

Mshahara: Dr Slaa kwa sasa ameitaarifu CHADEMA kuwa wakati wa kukamilisha asilimia 60 zilizobaki za madai yake ya awali ya mshahara wake umewadia. "Hii ni kutokana na ongezeko la gharama za maisha na pia kuongezwa mkataba wa kutumikia chama kwa nafasi ya ukatibu mkuu" alieleza Dr Slaa.

Hivyo basi, kama CHADEMA itaridhia madai hayo mapya na kumuongeza Dr Slaa kiasi cha asilimia 60 kilichobaki, Dr Slaa ndiye atakuwa katibu mkuu wa chama cha siasa anayelipwa pesa nyingi kuliko wote katika nchi za ukanda wa Afrika mashariki! Kiasi hicho kitafikia Tshs. 13,200,000 kwa mwezi huku kikienda sambamba na kuongezeka kwa posho na stahiki zingine.

Habari hii, kama zilivyo nyingi za wapinzani wa CHADEMA (CCM and its cronies) hazina ukweli wowote zaidi ya kuendeleza mradi wa kufanya diversion na kuwa-keep busy watu makini kulazimika kuangalia na kujadili propaganda muda wote huku masuala muhimu yanayohusu wananchi yakionekana kuwa side issues...

Kwa sababu upuuzi kama huu unakuwa unaendekezwa katikati ya mijadala muhimu, kuna wakati tunalazimika kutopuuza kama tunavyopuuza upuuzi wao mwingi kama huu.

Katibu Mkuu Dk. Slaa hajatoa sharti wala dai lolote katika kutumikia nafasi hiyo ambayo kila Mtanzania makini na maisha yake (anayefuatilia siasa) anajua amekuwa akiitumikia kwa uwezo, weledi, utayari na uadilifu wa hali ya juu.

Tangu ameanza kutumikia nafasi hiyo hajawahi katika wakati wowote ule wa utumishi wake kutoa sharti au dai kwa ajili ya kutoa utumishi wake kwa Watanzania kupitia CHADEMA.

Mshahara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA unajulikana. Summa umewahi kuelezwa kwa kinagaubaga hapo nyuma wakati mjadala wa upotoshaji kama huu ulipoibuka.

Kama watu wale wale kwa malengo yaleyale wamerudisha tena upotoshaji wao wakati huu, kisha wakaruhusiwa kuweka uongo huo hapa, kisha ukaendelea kuwepo basi tuko tayari kurudia ufafanuzi ule ili Watanzania wasiendelee kulazimika kujadili taarifa potofu wakati kuna masuala ya msingi sana kwa sasa.
 
riwaya na hekaya za abunuasi.eh katika kitabuchako umefikia chapter namba ngap?
 
Wana Ukumbi,

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, ametoa madai mapya ya kuongezewa mshahara na stahiki zake kufuatia mafanikio aliyoyapata ya kuongezewa mshahara katika madai yake yaliyopita ambayo yalikuwa ni ongezeko la asilimia 40 tu ya kile kiwango alichokitaka!

Mchanganuo sahihi wa mshahara wa katibu mkuu wa CHADEMA na stahiki zake:

Mshahara anaolipwa Dr Slaa kwa sasa ni Tshs. 9,300,000 kwa mwezi wakati kabla ya madai yake ya mara ya mwisho alikuwa akilipwa Tshs. 6,600,000. Ambalo ni ongezeko la 40%.

Stahiki za Dr Slaa kama Katibu Mkuu:

Dr Slaa anawekewa kiasi cha lita 1000 za mafuta ya Petrol kila mwezi ambayo kwa wastani ni Tshs milioni 2,000,000 katika gari lake alilokabidhiwa na chama ambalo pia ulitumia kwa shughuli zake binafsi na za chama. Ifahamike, hii ni nje ya mshahara!

Haijaishia hapo, Dr Slaa pia anapewa pesa kiasi cha Tshs 2,500,000 kama fedha ya matumizi ya ofisi ya katibu mkuu wa chama kila mwezi. Hii pia ipo nje ya mshahara wake na matumizi yake hayaeleweki.

Kama hiyo haitoshi, Dr Slaa kila afanyapo vikao vya chama vya ngazi mbalimbali uinuka na wastani wa Tshs. 1,500,000 kwa kikao kimoja.

Madai Mapya:

Mshahara: Dr Slaa kwa sasa ameitaarifu CHADEMA kuwa wakati wa kukamilisha asilimia 60 zilizobaki za madai yake wa awali ya mshahara wake umewadia. "Hii ni kutokana na ongezeko la gharama za maisha na pia kuongezwa mkataba wa kutumikia chama kwa nafasi ya ukatibu mkuu" alieleza Dr Slaa.

Hivyo basi, kama CHADEMA itaamua kumuongeza Dr Slaa kiashi cha asilimia 60 kilichobaki, Dr Slaa ndiye atakuwa katibu mkuu wa chama cha siasa anayelipwa pesa nyingi kuliko wote katika nchi za ukanda wa Afrika mashariki! Kiasi hicho kitafikia Tshs. 13,200,000 huku kikienda sambamba na kuongezeka kwa posho na stahiki zingine.

Ili kushajihisha habari yako hebu tuwekee waraka wa madai. Vingine naogopa kuchangia nikijoandaa kutii sheria ya cybercrime bila shurti
 
Wana Ukumbi,

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, ametoa madai mapya ya kuongezewa mshahara na stahiki zake kufuatia mafanikio aliyoyapata ya kuongezewa mshahara katika madai yake yaliyopita ambayo yalikuwa ni ongezeko la asilimia 40 tu ya kile kiwango alichokitaka!

Mchanganuo sahihi wa mshahara wa katibu mkuu wa CHADEMA na stahiki zake:

Mshahara anaolipwa Dr Slaa kwa sasa ni Tshs. 9,300,000 kwa mwezi wakati kabla ya madai yake ya mara ya mwisho alikuwa akilipwa Tshs. 6,600,000. Ambalo ni ongezeko la 40%.

Stahiki za Dr Slaa kama Katibu Mkuu:

Dr Slaa anawekewa kiasi cha lita 1000 za mafuta ya Petrol kila mwezi ambayo kwa wastani ni Tshs milioni 2,000,000 katika gari lake alilokabidhiwa na chama ambalo pia ulitumia kwa shughuli zake binafsi na za chama. Ifahamike, hii ni nje ya mshahara!

Haijaishia hapo, Dr Slaa pia anapewa pesa kiasi cha Tshs 2,500,000 kama fedha ya matumizi ya ofisi ya katibu mkuu wa chama kila mwezi. Hii pia ipo nje ya mshahara wake na matumizi yake hayaeleweki.

Kama hiyo haitoshi, Dr Slaa kila afanyapo vikao vya chama vya ngazi mbalimbali uinuka na wastani wa Tshs. 1,500,000 kwa kikao kimoja.

Madai Mapya:

Mshahara: Dr Slaa kwa sasa ameitaarifu CHADEMA kuwa wakati wa kukamilisha asilimia 60 zilizobaki za madai yake ya awali ya mshahara wake umewadia. "Hii ni kutokana na ongezeko la gharama za maisha na pia kuongezwa mkataba wa kutumikia chama kwa nafasi ya ukatibu mkuu" alieleza Dr Slaa.

Hivyo basi, kama CHADEMA itaamua kumuongeza Dr Slaa kiashi cha asilimia 60 kilichobaki, Dr Slaa ndiye atakuwa katibu mkuu wa chama cha siasa anayelipwa pesa nyingi kuliko wote katika nchi za ukanda wa Afrika mashariki! Kiasi hicho kitafikia Tshs. 13,200,000 huku kikienda sambamba na kuongezeka kwa posho na stahiki zingine.

Ngoje niwaachie makamanda wangu bavicha mi napita tu
 
Mtoa mada hivi wajua kulingana na sheria ya mitandao ukitoa information za uwongo kuhusu mtu akikushtaki unaenda jela?

Hivi kweli inaingia akilini mwamtu kuutangazia umma mshahara wa mfanyakazi?Hivi siri ya Dr.Slaa na CDM ilipitia kwako?

Hivi unapoweka kwenye maandishi Dr.Slaa anatumia kwa siku lita 33.33 huyu mtu inaelekea anapuyanga sana na hilo gari.Kweli kabisa kumaliza lita 33 kwa siku?

Hebu tufike mahali tuache propoganda zisizokuwa na maana,tuache uzushi na pia tuache kuingilia maisha binafsi ya mtu.Si kwa Dr.Slaa hata kwa watu wengine pia.Inatia kinyaa kila siku Dr.Slaa.Haaaaaaatumewachoka sasa ,tuleteeni mada za kuijenga nchi yetu.

Tuna uchaguzi na Katiba isiyoeleweka hayo ndiyo mambo ya kujadili siyo issue za mishahara ya watu ambayo ahatuna hata sababu ya kuijua.
 
Ili kushajihisha habari yako hebu tuwekee waraka wa madai. Vingine naogopa kuchangia nikijoandaa kutii sheria ya cybercrime bila shurti

Kaka naona hawa wanataka kutuingiza majaribuni...................
 
Mtoa mada hivi wajua kulingana na sheria ya mitandao ukitoa information za uwongo kuhusu mtu akikushtaki unaenda jela?

Hivi kweli inaingia akilini mwamtu kuutangazia umma mshahara wa mfanyakazi?Hivi siri ya Dr.Slaa na CDM ilipitia kwako?

Hivi unapoweka kwenye maandishi Dr.Slaa anatumia kwa siku lita 33.33 huyu mtu inaelekea anapuyanga sana na hilo gari.Kweli kabisa kumaliza lita 33 kwa siku?

Hebu tufike mahali tuache propoganda zisizokuwa na maana,tuache uzushi na pia tuache kuingilia maisha binafsi ya mtu.Si kwa Dr.Slaa hata kwa watu wengine pia.Inatia kinyaa kila siku Dr.Slaa.Haaaaaaatumewachoka sasa ,tuleteeni mada za kuijenga nchi yetu.

Tuna uchaguzi na Katiba isiyoeleweka hayo ndiyo mambo ya kujadili siyo issue za mishahara ya watu ambayo ahatuna hata sababu ya kuijua.

Unashangaa mafuta Lita 30 kuisha kwa siku moja? Au unadhani Dr Slaa anatumia Vitz? By the way, nadhani hujui shughuli za kichama zinaendeshwaje hivyo nisingependa kukulaumu.

Pia umegusia suala la maisha binafsi, hemu wewe Tetty jaribu kutembea na chup.i mtaani uone kama nitaleta uzi hapa wa kukuhusu wewe kutembea na chup.i. Kamwe siwezi, because you're no body. Huyu Dr Slaa nimeweka habari yake hapa kwa kuwa huo mshahara na matumizi yake mengine yanakuwa covered na pesa za chama ambazo kimsingi ni ruzuku zinazo tokana na kodi zetu wananchi.

Sasa kama kichwani mwako unachowaza ni katiba mpya tu na huoni kama kuna ishu zingine, basi wewe baki na umbumbumbu wako.
 
Mtoa mada hivi wajua kulingana na sheria ya mitandao ukitoa information za uwongo kuhusu mtu akikushtaki unaenda jela?

Hivi kweli inaingia akilini mwamtu kuutangazia umma mshahara wa mfanyakazi?Hivi siri ya Dr.Slaa na CDM ilipitia kwako?

Hivi unapoweka kwenye maandishi Dr.Slaa anatumia kwa siku lita 33.33 huyu mtu inaelekea anapuyanga sana na hilo gari.Kweli kabisa kumaliza lita 33 kwa siku?

Hebu tufike mahali tuache propoganda zisizokuwa na maana,tuache uzushi na pia tuache kuingilia maisha binafsi ya mtu.Si kwa Dr.Slaa hata kwa watu wengine pia.Inatia kinyaa kila siku Dr.Slaa.Haaaaaaatumewachoka sasa ,tuleteeni mada za kuijenga nchi yetu.

Tuna uchaguzi na Katiba isiyoeleweka hayo ndiyo mambo ya kujadili siyo issue za mishahara ya watu ambayo ahatuna hata sababu ya kuijua.
Sijui kama unaendesha gari au umewahi kuendesha gari kubwa ukaona zinavyokula mafuta sijui unabisha unachojua au unajisikia kubisha hata kama hujui.
 
Nahisi huyu ni Juliana Shonza kaja na ID nyingine. Hivi si tuliambiwa jana amepigwa ban, sasa kaja kivingine. Chadema mjipange
 
Safi sana mtoa mada hapo ingekua ndo katibu wa CCM naisi mtoa mada mgempa zawadi kawa CDM mnataka kupasuka huyu slaa ana chembe chembe za ufisadi hafai kupewa nchi!
 
Kifungu cha 16 cha muswada wa cybercrime kinahusika hapa.

JK akisaini mbona itakuwa majanga.
 
Ungeweka vithibitisho ungeutendea haki majadala, otherwise kwa hivi ilivyo hoja imelegea sana imekuwa kama zile za kijiwe cha kahawa.
 
Ungeweka source ili tupate uhakika wa taarifa zako, la sivyo ni salama kuziita propaganda.
 
Sikunyingine usiwe unatoa post zako ukiwa malitoni unashusha ........kubwa....matokeo yake ndiyo haya unaandika bula kushirikisha akili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom