Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Wachawi utawajua tu,wanapenda heshima kwenye mazishi

Next time chagua maneno vizuri unapochangia mijadala kwenye public arena.

Kuna wachawi leo uwanja mzima wa mpira huko SA wameenda kwenye mazishi ya Madiba kutoka kila pembe ya dunia. Huwaoni?
 
Mkuu Molemo tunashukuru kwa taarifa muhimu hii ya kuelekea ukombozi wa fikra!

Big up kwa kamanda Tumaini Makene anayetufanya tuonekane tupo eneo la tukio
 
Last edited by a moderator:
Kuna wachawi leo uwanja mzima wa mpira huko SA wameenda kwenye mazishi ya Madiba kutoka kila pembe ya dunia. Huwaoni?

Poleni kwa kushindwa kusherekea sikukuu ya uhuru. Sherehe ilionekana kama watu waliopo jandoni
 
No photoz/videoz no right for propaganda!
 
Last edited by a moderator:

...

....Mungu ni mwema!!
 

Umenena Mkuu. Tunatakiwa sasa tujipange kikomandoo kwa kila hatua ya mabadiliko chanya na tupeane nyenzo za kutosha kuweza kuangamiza huu ukoo wa panya na baadhi ya mende wa siasa, ili tuwe na taifa la watu wenye akili timamu, wenye hofu ya Mungu, wanaoenzi maisha ya kila Mtanzania katika nyanja za elimu, umiliki wa uchumi wetu, rasilimali, nidhamu, uwazi na uwajibikaji. tupo pamoja wanamageuzi tumeshajiweka tayari,na sasa ni kwamba, 'LET US WALK TOGETHER FOR THE LIBERATION OF ALL TANZANIANS who are in need of improved livelihoosS.
 
Huyu molemo ni muongo tena ni muongo kweli hakuna msafara wowote uliopita kigoma mjini hivi uongo huo uwongo unakisaidia nini chama kwanza hakuna barabara yoyote inayotoka wilaya yoyote ianaingilia kigoma mjini, mods futa hii thread
Dr. Amelala kigoma mjini, so mida ya saa sita katoka mjini kwenda Nyarubanda na msafara wa magari machache including police. Ni kweli watu wamemshangilia kwa alama ya Victory.
 
zitto akiwa mwenyekiti wa chadema hatimaye rais wa nchi hii utahamia nchi gani?

Mbona tayari ni Mwenyekiti wa CDM masalia a.k.a CDM Wasaliti, na bado Ben anadunda tu kwa raha zake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…